Ridhwaa Seminary Kinondoni yafanya vizuri kwenye matokeo kidato cha nne mwaka huu (Wapata div 1 &2 ) only

Ridhwaa Seminary Kinondoni yafanya vizuri kwenye matokeo kidato cha nne mwaka huu (Wapata div 1 &2 ) only

Nenda shule husika uwaone viongozi wa shule!!!Ipo wazi shule za kiislamu baadhi upokea watoto wa dini nyingine(Watoto wa makafir)!!!!Na nyingine hazipokei!!!!Na lazima ufuate sheria zote za shule na dini husika!!!Shule za wakatoliki zipo tofauti kidogo watoto wa dini zote(Wakrsto,wapagani,waislamu) wanapokelewa!!!Kaka
Hata hizo za kikristo ni lazima ufuate Sheria zao,kwani haujui kila pahala na Sheria zao???


Nipo mkoa ambao seminary kitovu

Peramiho girls ni lazima kusali no kuvaa hijabu,

Chipole girls hivyohivyo nilisomaga yakanishinda masista Wana roho mbaya Sana na hamsemi,

St Louis girls/

St William/



St huruma hii yaani nisiseme Sana maana ni jicho na mdomo na home,
 
Kuhusu papa si wameitimisha kua papa hana tofauti na yule kiongozi ambae katika aya na adithi anasifia kubusu midomo na ndimi za wanaume wenzie!!!Au bado mjadala unaendelea wadau tuchangie??????
Bado haujaisha wamekausha tu.
 
Mimi ndio nilifunga mjadala kaka kwa kusema watu wasimshangae papa peke yake bali pia wamshangae na yule kiongozi wa dini anaebusu ndimi na midomo ya wanaume wenzie na kuita hiyo ni suna ya kwenda akhera!!!Papa ni muendelezo tu
Kiongozi gani Tena??

Vipi nawe kashawahi kukunyonya?
 
Hata hizo za kikristo ni lazima ufuate Sheria zao,kwani haujui kila pahala na Sheria zao???


Nipo mkoa ambao seminary kitovu

Peramiho girls ni lazima kusali na kula kitimoto no kuvaa hijabu,

Chipole girls hivyohivyo nilisomaga yakanishinda masista Wana roho mbaya Sana na hamsemi,

St Louis girls/

St William/



St huruma hii yaani nisiseme Sana maana ni jicho na mdomo na home,
Hapana kaka!!!Kuhusu peramiho na issue za kitimoto umeongea kishabiki na sio kisomi!!!!Kuhusu masista kua na roho mbaya hiyo ni sawa si wanakuona NYEGEMA!!!Hata watoto wa kikrsto wakienda huko watakutana na maustadhat wenye roho mbaya sababu wataonekana MAKAFIR!!!!!Kila mwamba ngoma huvutia kwake
 
Nilitaka nishangae,seminari ya Kiislamu kufanya Vizuri.
Kanisani mnadanganywa kupitiliza. Shule nyingi zinafanya vizuri tu.
Ukiona shule ya kiislamu imefanya vibaya unakuta hadi masomo ya dini wamefanya vibaya pia.
Screenshot_20230131-061036_Chrome.jpg
 
Kanisani mnadanganywa kupitiliza. Shule nyingi zinafanya vizuri tu.
Ukiona shule ya kiislamu imefanya vibaya unakuta hadi masomo ya dini wamefanya vibaya pia.
View attachment 2500865
Mleta uzi anataka kumpeleka kijana wake hiyo shule na hakuna ubaya!!!Shule ni shule tu,iwe ya kiislamu au kipagani au kihindi au kikirsto shule ni shule!!!!Cha msingi watoto wetu wafaulu ndio furaha ya wazazi!!!!
 
Hata hizo za kikristo ni lazima ufuate Sheria zao,kwani haujui kila pahala na Sheria zao???


Nipo mkoa ambao seminary kitovu

Peramiho girls ni lazima kusali na kula kitimoto no kuvaa hijabu,

Chipole girls hivyohivyo nilisomaga yakanishinda masista Wana roho mbaya Sana na hamsemi,

St Louis girls/

St William/



St huruma hii yaani nisiseme Sana maana ni jicho na mdomo na home,
Utaendaje shule ya wakatoliki afu utake kuvaa hijab???????Ni sawa na kwenda Ridhiwan sec afu utake kuvaa kimini sketi kama upo loyola sec au jangwani sec 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haiwezekani!!!!
 
Hapana kaka!!!Kuhusu peramiho na issue za kitimoto umeongea kishabiki na sio kisomi!!!!Kuhusu masista kua na roho mbaya hiyo ni sawa si wanakuona NYEGEMA!!!Hata watoto wa kikrsto wakienda huko watakutana na maustadhat wenye roho mbaya sababu wataonekana MAKAFIR!!!!!Kila mwamba ngoma huvutia kwake
Usiniambie!!!

Habari ndiyo hiyo Kama mnajua hatujui,

Huwezi nidanganya kuhusu ratiba za misosi na Sala ktk hizo shule.
 
Utaendaje shule ya wakatoliki afu utake kuvaa hijab???????Ni sawa na kwenda Ridhiwan sec afu utake kuvaa kimini sketi kama upo loyola sec au jangwani sec [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Haiwezekani!!!!
Ndiyo mjue kuwa kila sehemu na Sheria zake,ndiyo maana nimetoa huo mfano,
 
Shule ambazo hazina div 3 na 4 huwa zinapambana sana kufanya mchujo.

Wakisha ona hawa vilaza watatuharibia shule huwa wanawapiga panga

Wakatafute shule nyingine
 
Tutafute wadau waliosoma peramiho watuambie kama ni kweli watoto wetu wanalazimishwa kula kiti moto!!!!Tuandamane shule ifungiwe
Na St lues pia,

Sio kulazimishwa Bali hiyo ni ratiba ya chakula/mboga,. Maana hayo manguruwe wanayafuga Kama kuku.
 
[emoji23][emoji23] mtoa post huenda ni Academic Master[emoji23] anatafuta uteuzi kama jamaa zake waliopigwa 'stop' na mamlaka ya uteuzi iliyowateua baada ya lile gazeti kuandika kuwa 'Mteuzi' aivuruga CWT!!
Hiyo ni center tafuta school ndio anayomaanisha mleta mada
 
Back
Top Bottom