Ridhwaa Seminary Kinondoni yafanya vizuri kwenye matokeo kidato cha nne mwaka huu (Wapata div 1 &2 ) only

Ridhwaa Seminary Kinondoni yafanya vizuri kwenye matokeo kidato cha nne mwaka huu (Wapata div 1 &2 ) only

Na mmekaa kimya.

Screenshot_20230131-061548.jpg
Screenshot_20230131-061411.jpg
 
Alikua ameshakufa!!!!Nilivyozaliwa na kubalehe nilinyonywa sana mhogo wangu wa jang'ombe a.k.a MANDINGO na jinsia KE!!!!!!Lakini sio kama kiongozi,,yeye alikua ananyonyana na wanaume wenzie!!!!Wewe vipi mdau????
Kumbe!

Mie nataka nikunyonye wewe.
 
Watoto wetu wa kiislamu wanalazimishwa kula nguruwe au??????Tupatie wadau waliosoma peramiho hapo watudhibitishie,kesho tumfuate mkuu wa shule!!!!
Mbona umekaza kwenye nguruwe??

Nimekuambia ni ratiba ya msosi, na half waliosoma hapo wapo huko wanatawa.
 
Mbona umekaza kwenye nguruwe??

Nimekuambia ni ratiba ya msosi, na half waliosoma hapo wapo huko wanatawa.
Wewe umesema watoto wetu wa kiislamu hapo peramiho wanalazimishwa kula nguruwe!!!Nipatie uhakika leo hii mkuu wa shule hana kazi hapo"Asituletee ukafir kwa watoto wetu""
 
Mleta uzi anataka kumpeleka kijana wake hiyo shule na hakuna ubaya!!!Shule ni shule tu,iwe ya kiislamu au kipagani au kihindi au kikirsto shule ni shule!!!!Cha msingi watoto wetu wafaulu ndio furaha ya wazazi!!!!
Nilikuwa namuelewesha huyo zezeta kuhusisha kufaulu mtu na shule ya dini. Hata kwenye somo la dini pamoja na kufaulu unaona zimejaa C na D.
Kufaulu mwanafunzi inategemea juhudi ya mwanafunzi japokuwa shule inachangia kiasi chake.
Hizo shule nyingi za seminary unaona zinachukua wanafunzi cream, walimu wazuri na mazingira mazuri.
Wabebe ovyo kama shule za kata bila kufanya usaili, wanafunzi wapite bila wastani kila darasa uone ugumu wake kujaza A zote.
Unakuta mwanzo mwisho 'spoon feeding', kumaliza syllabus kwa wakati, unapigwa mitihani karibia kila wiki hadi unajikuta maswali unayazoea.
 
Nilikuwa namuelewesha huyo zezeta kuhusisha kufaulu mtu na shule ya dini. Hata kwenye somo la dini pamoja na kufaulu unaona zimejaa C na D.
Kufaulu mwanafunzi inategemea juhudi ya mwanafunzi japokuwa shule inachangia kiasi chake.
Hizo shule nyingi za seminary unaona zinachukua wanafunzi cream, walimu wazuri na mazingira mazuri.
Wabebe ovyo kama shule za kata bila kufanya usaili, wanafunzi wapite bila wastani kila darasa uone ugumu wake kujaza A zote.
Unakuta mwanzo mwisho 'spoon feeding', kumaliza syllabus kwa wakati, unapigwa mitihani karibia kila wiki hadi unajikuta maswali unayazoea.
Upo sawa kaka!!!Dini na shule ni vitu viwili tofauti!!!Zipo shule za kiislamu nyingi tu na zinafanya vizuri na zipo shule za kikrsto nyingi tu zinafanya vizuri pia
 
Angalia matokeo aliyoweka hapo juu halafu linganisha na haya uliyoweka wewe hapa kama yana fanana Acha kukaza shingo utavunjika.
Wewe ndio unakaza shingo sasa, matokeo aliyoweka yule wa kwanza ni ya Private Candidates na aliyoweka huyo ni ya School Candidates,

Acheni wivu tuwapongeze Watoto kwa kufanya vizuri.
 
Yeah kila pahala na Sheria zake,najua hata nawe mtu akija kuishi kwako pia afuate Sheria zako.
Lakini sio kuwalisha watoto wetu wa kiislamu nguruwe!!!!Kama wanavyofanya hapo peramiho secondary school!!!!Asante kwa taarifa Mawardat wacha tukaripoti hili suala polisi ili mamlaka husika zitusaidie zaidi!!!!!Asante sana kwa taarifa
 
Wewe unakula nguruwe?
Mimi nakula sababu sisi wabantu tunakula kila kitu mpaka panya!!!Waarabu,wahindi na wayahudi ndio hawalii nguruwe na nyie watu wa dini za kigeni ndio mnaita nguruwe haram!!!Sisi waafrika wabantu halisia tunakula tu
 
Kwanza wanajua maana ya Seminary? Au wamependa tu
 
Back
Top Bottom