Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Hayo ni matokeo ya centre,yupo na Jambo lake Hana lolote,matokeo ya shule husika Kuna 3 moja tu,
Kawaida ya binadamu ni kujiona mbora zaidi kuliko mwingine.
Haya maswali muulize ustaadhat mawardat!!!!Sawa 2500qwewe ulicho kiona kibaya ni nguruwe tu kutoswali je????
Hana lolote huyo ni kristo,,wewe ulicho kiona kibaya ni nguruwe tu kutoswali je????
Ni kawaida ya binadamu,tuvumiliane tuSipendagi Watu wanaopindisha pindisha Mambo.
Kujiona wao ni Bora au dini au makabila au taifa Lao ni Bora kuliko jingine.
Hapo ndipo tunapishanaga na wengi
Ni kawaida ya binadamu,tuvumiliane tu
Haya maswali muulize ustaadhat mawardatkwani ulilazimishwa kumpeleka mwanao hapo?
Shule ile ya makafir inatoa elimu nzuri ndio maana tunapeleka watoto wetu hapo kwa makafir wapate elimu dunia nzuri!!kama utaratibu wao nguruwe ndio kitoeo lazima ufate utalatibu huo kama aukufai usimpeleke mwananao huko
Hiyo nilisema pale kwenye Sheria za shule,Haya maswali muulize ustaadhat mawardat!!!!Sawa 2500q
Ada shilingi ngapi?Tafuta hela upeleke mtoto kemebos mtoto azoee kupanda ndege kutoka dar to bk akiwa mdogo🤣, kubwa kuliko yote div one ni lazima kupata, kula vizuri na kulala pazuri ni lazima.
Am just saying you know😉
Tuvumiliane kwenye umma,faragha hakuna kuvumiliana.Mbona wewe hukunivumilia ukanikimbia, au tuvumiliane Mtandaoni?
Tuvumiliane kwenye umma,faragha hakuna kuvumiliana.
Nguruwe ni haramu!!!!Makafir hawawezi kulisha watoto wetu nguruwe!!!!Mda si mrefu tutangaza jihad hapo!!!!wewe ulicho kiona kibaya ni nguruwe tu kutoswali je????
Hao Ni private candidatesAcha ghilba kuhadaa wasomaji. Asante.
Nikajua hii comment Kaandika lemutuz [emoji1787]Tafuta hela upeleke mtoto kemebos mtoto azoee kupanda ndege kutoka dar to bk akiwa mdogo[emoji1787], kubwa kuliko yote div one ni lazima kupata, kula vizuri na kulala pazuri ni lazima.
Am just saying you know[emoji6]
[emoji125]Haya bhana.
DuhDuh!Kwa hili Waislamu mlipaswa muwe na nchi yenu peke yenu muishi kivyenu TU[emoji848]
Hujaangalia vizuri nilikua namjibu huyu jamaa aliyeweka haya matokeo!!!hivyo usikurupuke mzee!!!!!Angalia matokeo aliyoweka hapo juu halafu linganisha na haya uliyoweka wewe hapa kama yana fanana Acha kukaza shingo utavunjika.
Hayo ni matokeo ya private candidates walio fanyia mtihani hapo ila school candidate kuna one na two pekee. Wapo vizuri sana wasiwasi wangu ni kama wanawapokea watoto wa kikristo bila kuwa na hitaji la kwenda kuswali msikitiniNilitaka nishangae,seminari ya Kiislamu kufanya Vizuri.