Ridhwani Kikwete awe Rais baada ya Rais Samia

Ridhwani Kikwete awe Rais baada ya Rais Samia

Tanzania haijawahi kuwa na Rebel Leader ( Muasi wa Kivita ) au War Lord ( Mbabe wa Kivita ), ila GENTAMYCINE nakuhakikishia na nawataarifuni mapema tu kuwa Ridhiwani Kikwete au Paul Makonda wakiwa Marais nchi hii hawatadumu, nitawatesa na Kuwasumbua mno Kivita kwani nina nchi Mbili najua zitanipa 'Sapoti' ya kuwa 'Muasi' na hawatodumu Ikulu.
Huo uasi nenda kafanye kwenye ukoo wenu kwa nchi hii ya TZ utachemka.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na uzalendo, uadilifu, unyenyekevu, ucha Mungu na mapenzi yake kwa Watanzania basi mtoto huyu wa Rais anafaa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia naomba mkumbuke hata kwa kumpa uwaziri wa michezo kwani kijana huyu anauwezo mkubwa wa kuongoza.

Imewezekana vipi kwa Huseni Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Ridhwani asiwe Rais wa JMT?

Nakushauri Kaka yangu Ridhwani usibaki nyuma, ukifika muda wa kuchukua fomu nenda kachukue.Usiogope, huna mambo mengi. Wewe sio kama vihelehele akina Polepole ingawa baba yako alikuwa Rais wa nchi hii.

Vijana wote tuko nyuma yako,
wewe ni muadilifu kama baba
yako Jakaya Kikwete.
umeshaanza kudanga sasa. Tuliza wezere hilo.
 
🤣
🤣 🤣 🤣 🤣

Kweli nilisikia Utubu akielezea wasifu wake. Anajua kufunga scaff za CCM. CCM waone uwezekano wa hii sifa ya kufunga scaff ikiwezekana iongezwe kwenye kigezo cha wagombea uongozi ndani ya CCM mwakani kumuenzi mkt wao mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi.
 
imekwisha hiyo

na waziri mkuu awe Makongoro,maana Mwigulu,Kigwangalla,Gambo,Bashite wameshapoteana mazima
 
TE="Kukakuona, post: 41131625, member: 657324"]
Hao ndiyo Chawa wa Tanzania,wanaopiga kura Kwa wali,kofia na kanga.Tunasafari ndefu sana
[/QUOTE]

Ulisahau bia Na paketi ya sigara kali
 
Kutokana na uzalendo, uadilifu, unyenyekevu, ucha Mungu na mapenzi yake kwa Watanzania basi mtoto huyu wa Rais anafaa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia naomba mkumbuke hata kwa kumpa uwaziri wa michezo kwani kijana huyu anauwezo mkubwa wa kuongoza.

Imewezekana vipi kwa Huseni Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Ridhwani asiwe Rais wa JMT?

Nakushauri Kaka yangu Ridhwani usibaki nyuma, ukifika muda wa kuchukua fomu nenda kachukue.Usiogope, huna mambo mengi. Wewe sio kama vihelehele akina Polepole ingawa baba yako alikuwa Rais wa nchi hii.

Vijana wote tuko nyuma yako,
wewe ni muadilifu kama baba
yako Jakaya Kikwete.
nchi hii kuna watu viazi kwel kwel iv hii nchi n nchi ya kifalme au vp khaaaa umeongea pumba tupu
 
Kutokana na uzalendo, uadilifu, unyenyekevu, ucha Mungu na mapenzi yake kwa Watanzania basi mtoto huyu wa Rais anafaa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia naomba mkumbuke hata kwa kumpa uwaziri wa michezo kwani kijana huyu anauwezo mkubwa wa kuongoza.

Imewezekana vipi kwa Huseni Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Ridhwani asiwe Rais wa JMT?

Nakushauri Kaka yangu Ridhwani usibaki nyuma, ukifika muda wa kuchukua fomu nenda kachukue.Usiogope, huna mambo mengi. Wewe sio kama vihelehele akina Polepole ingawa baba yako alikuwa Rais wa nchi hii.

Vijana wote tuko nyuma yako,
wewe ni muadilifu kama baba
yako Jakaya Kikwete.
hii tabia kunywa kunywa pombe za ofa mchana ni mbaya....usirudie tena
 
Kutokana na uzalendo, uadilifu, unyenyekevu, ucha Mungu na mapenzi yake kwa Watanzania basi mtoto huyu wa Rais anafaa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia naomba mkumbuke hata kwa kumpa uwaziri wa michezo kwani kijana huyu anauwezo mkubwa wa kuongoza.

Imewezekana vipi kwa Huseni Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Ridhwani asiwe Rais wa JMT?

Nakushauri Kaka yangu Ridhwani usibaki nyuma, ukifika muda wa kuchukua fomu nenda kachukue.Usiogope, huna mambo mengi. Wewe sio kama vihelehele akina Polepole ingawa baba yako alikuwa Rais wa nchi hii.

Vijana wote tuko nyuma yako,
wewe ni muadilifu kama baba
yako Jakaya Kikwete.
Nonsense
 
Ni kwanini Bomba la Gesi ya Mtwara ime angalia Dar pekee? Badala yakuja Katikati ya Nchi?
 
Kutokana na uzalendo, uadilifu, unyenyekevu, ucha Mungu na mapenzi yake kwa Watanzania basi mtoto huyu wa Rais anafaa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia naomba mkumbuke hata kwa kumpa uwaziri wa michezo kwani kijana huyu anauwezo mkubwa wa kuongoza.

Imewezekana vipi kwa Huseni Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Ridhwani asiwe Rais wa JMT?

Nakushauri Kaka yangu Ridhwani usibaki nyuma, ukifika muda wa kuchukua fomu nenda kachukue.Usiogope, huna mambo mengi. Wewe sio kama vihelehele akina Polepole ingawa baba yako alikuwa Rais wa nchi hii.

Vijana wote tuko nyuma yako,
wewe ni muadilifu kama baba
yako Jakaya Kikwete.
WAZO LAKO NI WAZO HURU PIA KUONYESHA MAPENZI AU MAHABA KWA MTU SI VIBAYA, VIBAYA NIKUONYESHA UJINGA WAKO KWA WATU WENGINE NA KUTAKA KUWAAMINISHA HUO SI UJINGA.
 
Kutokana na uzalendo, uadilifu, unyenyekevu, ucha Mungu na mapenzi yake kwa Watanzania basi mtoto huyu wa Rais anafaa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia naomba mkumbuke hata kwa kumpa uwaziri wa michezo kwani kijana huyu anauwezo mkubwa wa kuongoza.

Imewezekana vipi kwa Huseni Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Ridhwani asiwe Rais wa JMT?

Nakushauri Kaka yangu Ridhwani usibaki nyuma, ukifika muda wa kuchukua fomu nenda kachukue.Usiogope, huna mambo mengi. Wewe sio kama vihelehele akina Polepole ingawa baba yako alikuwa Rais wa nchi hii.

Vijana wote tuko nyuma yako,
wewe ni muadilifu kama baba
yako Jakaya Kikwete.
Tayari mmeanza tena 🤣🤣🤣🤣
 
Kutokana na uzalendo, uadilifu, unyenyekevu, ucha Mungu na mapenzi yake kwa Watanzania basi mtoto huyu wa Rais anafaa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia naomba mkumbuke hata kwa kumpa uwaziri wa michezo kwani kijana huyu anauwezo mkubwa wa kuongoza.

Imewezekana vipi kwa Huseni Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Ridhwani asiwe Rais wa JMT?

Nakushauri Kaka yangu Ridhwani usibaki nyuma, ukifika muda wa kuchukua fomu nenda kachukue.Usiogope, huna mambo mengi. Wewe sio kama vihelehele akina Polepole ingawa baba yako alikuwa Rais wa nchi hii.

Vijana wote tuko nyuma yako,
wewe ni muadilifu kama baba
yako Jakaya Kikwete.
Mateja kigakeleleeeeeeeeeee
Wauza ngada pigaaaaakeleeeeeeee
Wafilaji piga keleleeeeee
Mabasha na mashoga pigaaakeleleee
Mafisadi piga keleleee
 
U
Kutokana na uzalendo, uadilifu, unyenyekevu, ucha Mungu na mapenzi yake kwa Watanzania basi mtoto huyu wa Rais anafaa kuwa raisi wa Jamhuri ya Muungano.

Rais Samia naomba mkumbuke hata kwa kumpa uwaziri wa michezo kwani kijana huyu anauwezo mkubwa wa kuongoza.

Imewezekana vipi kwa Huseni Mwinyi kuwa Rais wa Zanzibar na Ridhwani asiwe Rais wa JMT?

Nakushauri Kaka yangu Ridhwani usibaki nyuma, ukifika muda wa kuchukua fomu nenda kachukue.Usiogope, huna mambo mengi. Wewe sio kama vihelehele akina Polepole ingawa baba yako alikuwa Rais wa nchi hii.

Vijana wote tuko nyuma yako,
wewe ni muadilifu kama baba
yako Jakaya Kikwete.
Una kichaa?
 
Back
Top Bottom