Tetesi: Rihanna na Asap Rocky wameachana

Yule mama ana moyo sio kwa matukio anayopigwa
Yaan mababy mamas wote HOV aliowapiga mimba akasepa wameungana wanampeleka mahakamani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Lilivyo lijanja hata DNA halitaki maana mitoto yote inafanana na yy anajua anaumbuka hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatari khaaa!!!
 
Haaah pisi imesimama Arabic skin iyo
 
Shida ya wanawake wengi tabia ya kubania papuchi wanayo, haijalishi ana hela au lah [emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuta mwana anapewa papuchi mara 1 kwa miezi miwili [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shida ya wanawake wengi tabia ya kubania papuchi wanayo, haijalishi ana hela au lah [emoji23][emoji23][emoji23]
Utakuta mwana anapewa papuchi mara 1 kwa miezi miwili [emoji23][emoji23][emoji23]
😁😁😁😁😁😁
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Haka kadada ingekua huku bongo tungekakodia kigoma na tukashonee vijora[emoji57][emoji57][emoji57]au tukaende sumbawanga[emoji1787]
Haaah huko insta tu kashaanza kuonja joto na ubaya picha ya mwisho aliopost ilikuwa ya Rihanna
 
Ila A$ap Rocky ile mob yao ya A$ap MOB hakuna hata aliyetulia wote ni malaya mbwa,Kuna dogo pale anaitwa Playboi carti "Asap Carti" (zingatia kwanza hata jina lenyewe la playboi) huyu huwa hafikishi mwezi katika mahusiano yake ni full of cheating Mob imekaa kimalayamalaya tupu, ila Rihanna kwa Asap huwa hachomoi kwanza mahusiano yao yana zaidi ya miaka kumi wanakulana kimyakimya mpk ilipokuwa official majuzi hapa na kuna rumors ilienea ya kwamba Asap rocky alishawahi kumcheat Rihanna kwa yule dada mwenye msambwanda rapper Megan Thee Stallion lakini Rihanna akasamehe!!,vipi kuhusu sasa na ule ujauzito? Ni wazo kwamba hasira zikipungua atamtafuta tena mhuni, Kwanza wanaendana,na wanapendana pia hawatoachana hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…