Nashikalila
Member
- Oct 27, 2022
- 58
- 58
Imbofu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuaga analiwaHuyu sio class mate wako ?
True,sijui hao wenye Hila walikuwa na Nia gani Kwa kijana mwenzetu..Extremely dangerous moment, series is still growing up today. Who is next?
Be watchful and cautious. Biggest Tragedy.
Nimeshakuelewa..Going too soon son.
Jina ni kama siyo geni MASIKIONI mwangu.
Ameondoka mapema. Naogopa kuleta maneno msibani, mimi ni mama, ngoja niishie hapa
Kwani 2025 unaiona iko Marekani? Iko hapo Kericho tu bwasheeeUnaweza kukuta Mbio za ubunge zimeanza huko Ludewa kwa akina Masanja Mkandamizaji 🤣🤣
Mmm kada🤭🤭🤭😎Ni kada wa CCM
We live always ,we die onceSioni ubaya wowote life is ILLUSION wengine hatuna hata watu wa kututokea taarifa....
We live once, We die once...And that once is enough...
R.i.p Mtweve
Kwamba Huenda sio miongoni mwenu au?[emoji848]Kuna kitu ningesema ila ngoja nitumie hekima
Carasco Putin classmate njoo upokee pole.Ndugu Zangu usimuamini mtu,haijulikani hao waliomuua walikuwa na ajenda gani Kwa kijana mdogo hivi...Kijana alikuwa mstaarabu sana,aliweza kutengeneza kazi zake nzuri sana na mavazi.
Duniani watu Wana wivu mbaya sana..
Pole Kwa Wanafamilia wote,pole sana Kwa Wanachalinze wote , Classmates wake na Viongozi wengine wote wa Nchi hii waliofanya kazi nae Kwa kuondokewa na kijana Oscar Mtweve.
Upinzani wameanza kuteka watu?au wao Kwa kwao wanatekana?uyu mwamba juzi kuna mwenyekiti wa uvccm mkoa fudenge niliona kampost kua amepotea yapata siku ya tatu. Nashangaa kukuta taarfa amefark! Cjui nini kimempata uyu kijana. R.I.P
Na roho pia... alikuwa Hana bayaMareheumu alikuwa mzuri wa sura.
Apumzike Kwa Amani.Na roho pia... alikuwa Hana baya
Nn??Mmmhh!!!??!!
Dah ila watu [emoji119][emoji23]Kwa Amani kumejaa wengi wamepunzika huko ..waende kupumzika hata Kwa Mawazo jameni..... R.I.P
Mdomo komaa, sijasema kitu mie.Hali ipi hiyo mkuu