Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu zipi hizo? Maana huyu dogo dzain kama sio wa ukwelii au mambo ya [emoji304]Leo ndo nimekubali rasmi tuhuma za ridhiwani kama kweli huyu alikua msaidizi wake
Nilitaka nishangae nisiione hii comment[emoji23][emoji23][emoji23]R.I.P CLASSMATE
Huyu marehemu hakuwa na nguo nyingine zaidi ya hii minguo ya kishirikina!Nimepokea kwa masikitiko Makubwa sana taarifa za Kifo cha Huyu Rafiki yangu na mwana JF mwenzetu.
Dunia tunapitia ama kweli😭😭😭
View attachment 2732894View attachment 2732895
Poleni sana, nini kimetokea? Very sad kupoteza nguvu kazi kama hiyoAlikuwa msaidizi wa Ofisi ya Mbunge wa Chalinze.
Je, kuna jambo gani la Siri ambalo liko nyuma ya kifo cha mtu huyu???Nimepokea kwa masikitiko Makubwa sana taarifa za Kifo cha Huyu Rafiki yangu na mwana JF mwenzetu.
Dunia tunapitia ama kweli😭😭😭
View attachment 2732894View attachment 2732895
uyu mwamba juzi kuna mwenyekiti wa uvccm mkoa fudenge niliona kampost kua amepotea yapata siku ya tatu. Nashangaa kukuta taarfa amefark! Cjui nini kimempata uyu kijana. R.I.PKuna kitu ningesema ila ngoja nitumie hekima
Mmmh!!!Dah! Bora umetumia hekima kunyamaza. Maana marehemu hasemwi. Ila hicho kitu kiko wazi kabisa!
RIP kijana wa ccm.
Soma hiyo comment Juu yaJe, kuna jambo gani la Siri ambalo liko nyuma ya kifo cha mtu huyu???
Tafadhali uujuze umma juu ya hilo.
John Wickzer Mulhollanduyu mwamba juzi kuna mwenyekiti wa uvccm mkoa fudenge niliona kampost kua amepotea yapata siku ya tatu. Nashangaa kukuta taarfa amefark! Cjui nini kimempata uyu kijana. R.I.P
Twitter kwenye account ya nan mkuuJohn Wickzer Mulholland
Hiki ndicho kilitokea Kwa kijana mwenzetu,na hata Twitter Tangazo lake la kupotea lilipostiwa, inasemekana alikuwa amepigwa mpaka umauti ukamkuta..
Nishakuelewa itoshe kusema kaa tu kimnyaKuna kitu ningesema ila ngoja nitumie hekima
Duh, cold blooded manslaughter and every body is ok!!! God have mercyJohn Wickzer Mulholland
Hiki ndicho kilitokea Kwa kijana mwenzetu,na hata Twitter Tangazo lake la kupotea lilipostiwa, inasemekana alikuwa amepigwa mpaka umauti ukamkuta..
Alikua liccm apumzike panapostahiliNimepokea kwa masikitiko Makubwa sana taarifa za Kifo cha Huyu Rafiki yangu na mwana JF mwenzetu.
Dunia tunapitia ama kweli[emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2732894View attachment 2732895
Kila mtu yupo njia panda Mkuu,haileweki shida ilikuwa Nini...Maana alipotea tu mpaka kila mtu akawa hajui alipo ndio akakutwa Amefariki Kwa kupigwa sana...Kisa cha kutekwa na kupgwa had umauti n nin? Funguken mnaogopa nn? Toeni ata code tuelewe