Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana apokee mshahara wa matendo yake na ya bosi wake CCM anayemtumikiaR.i.P Memba/shemeji...😥
Leo sitaki kujali dhambi na itikadi zako, kwani huo ulikua ni utashi wa haja ya mwili na mapenzi yako kwa chama.
Naomba niishie hapa
Maneno ya kukosa hekima na kukufuru thamani ya mwanadamu...Hapana apokee mshahara wa matendo yake na ya bosi wake CCM anayemtumikia
Upenzi wa uvyama usitupelekee tukakosa utu,ni upuuzi, mavyama ni kama ushabiki tu, wengine simba wengine yanga, lakini utu wetu unasimama palepale!Hapana apokee mshahara wa matendo yake na ya bosi wake CCM anayemtumikia
Kwa Amani kumejaa wengi wamepunzika huko ..waende kupumzika hata Kwa Mawazo jameni..... R.I.PApumzike kwa amani mwenzetu.
Mpangwa wa Ludewa NjombeMuhehe wa wapi huyu mkoani Iringa ?
Hahaha, tunaombeana mema.Kwa Amani kumejaa wengi wamepunzika huko ..waende kupumzika hata Kwa Mawazo jameni..... R.I.P
Kwa hiyo kauliwa na upinzani au.....leteni habari kamili jamani.Ni kada wa CCM