Ripoti Kamili ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa Mwaka wa Fedha 2017/2018

Najitahidi kuanzisha threads zenye kuleta sehemu muhimu za kuangalia ambapo CAG amebaini upigaji mkubwa.
Mkuu kwanza nashukuru kwa jitihada kubwa ya kutuletea habari na taarifa muhimu kwa ajili ya mustakabali mzima wa uhimilivu na uendelevu wa nchi yetu. Kula gwala
 
200
kwa kuainisha kiwango cha malipo ya posho la hitimisho la kazi."
Tusisahau kuwa Katiba inayoainisha mipaka ya spika, cag na wengine ndiyo hiyo hiyo iliyompa rais mamlaka makubwa ya kifalme. Kwa nini asitumikishe mali ya taifa kifalme?
199 na 2015 tayari kulikuwa na upinzani!..... kwenye maslahi yao binafsi jamaa wote kwa pamoja huwa jambo moja kutunga sheria legelege.
 
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji851] Nchi ina vituko, si tulisema akisaini Prof. Assad hatupokei au? Jamani kwani kiswahili kigumu sana au? [emoji86][emoji86][emoji86][emoji86] LMFAO...!! haaa
Mkuu lakini si ni wana-ccm wenzako waliotoa hilo azimio?
 
Miongoni mwa mapendekezo ya kaguzi zilizopita ambayo hayakutekelezwa ni: Benki ya Azania kutokuwa chini ya usimamizi wa Msajili wa Hazina, Wizara ya Nishati kutokulipa deni la pango la Sh. bilioni 1.12 kwa Kampuni ya Umeme Tanzania (TANESCO), kukosekana kwa mkataba na dhamana kwa mkopo wa Sh. bilioni 44.29 uliotolewa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF); Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania kuchelewa kuanzisha mradi wa utafutaji wa gesi katika vitalu 4/1B na 4/1C, Sheria kutompa mamlaka Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali kukagua Sekta ya Madini, Mafuta na Gesi pamoja na Mamlaka ya Maji Safi na Majitaka Mwanza (MWAUWASA) kuchelewa kukamilisha Mradi wa maji wa Sh. bilioni 6.66.


Hii sekta ina nini hadi isikaguliwe?
 
Kwa hili la CAG siwaungi mkono ng'ooooo... Mm sio CCM wa NDIOOOOOO, jua hilo vizuri kabisa, am an intellectual..!! Uliwahi sikia wapi Bunge likatae kufanya kazi na CAG? Na iko kikatiba..!! Hapa natofautiana na bunge na CCM yeyote yule..!!
Hongera kwa hilo kama kweli limetoka rohoni
 
Du!! Imejaa madudu usipime. Ngoja nikapige kazi, ccm ni ile ile, hata hivyo unategemea kibajaji na msukuma wabadili hali ya matumizi ya nchi?
 
Wale wenye kusubiri MATUKIO ili waseme basi tukio ni hilo hapo. Someni hiyo ripoti, tafute na zusheni ubovu na kisha muusemee kwa nia na lengo la kuichafua serikali hii. Nasema hivyo kwani siku hizi HAWANA HOJA tena bali wanagoja MATUKIO ili wapate cha kusema kwani vile vihoja vyao walivyoviona in the 3rd and 4th phase governments vimevyekeelwa mbali na kutekelezwa na hili LI AWAMU LA TANO! Hongera sana Rais Magufuli kwa kazi nzuri ya kuongoza na kuisimamia serikali hii ya Awamu ya Tano. Keep it up.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…