Ripoti ya CAG 2021-2022: CAG apendekeza iundwe Tume Huru kuchunguza ukiukwaji kwenye Plea Bargain

Kabisa !!
 
Yego Biswalo, fanya juu chini ukimbie musoma fasta ukawaone wazee, inaonekana huyu bundi sio wa kawaida, ni wa kutumwa kishirikina, na Kila siku analia kwenye dirisha la chumba unacholala. Cha ajabu analia usiku na mchana, haogopi hata watu wanaopita, tena akiona watu ndio analia kwa sauti kubwa ya uchuro. Macho kayatumbua Wala hayapepesi kama mwali kigoli

Heeee!!! Bundi gani huyu jamani mwana wa Mai!!? mwana wasu!!!

Sasa sijui anatabiri kifo Cha mtu au Cha ajira ya mtu!
 
Tutaishia na kuona,kusoma ya (PESA ZA UMMA ZIMEIBIWA,ZIMEYEYUKA)
lakini mwisho wa siku hakuna hatua inayochukuliwa

Ova
Abracadabra tu ! Funika kombe mwana……… apite !! Mijitu ilikuwa inabeba mihela kwenye sandarusi na kugawa mabilioni wengine wakawa wanadai hizo ni pesa za mboga tu ! Hakuna chochote kilichofanyika !
 
Too much speculations. Mwaka upi report ya CAG haikusomwa?
Labda ule mwaka wa pesa zilizokuwa zikibebwa kwenye masandarusi kutoka kibenki ambacho sijui kama bado kipo pale kariakoo mpaka sasa !!
 
Kumbe ni bilioni 3 tu

Kelele zote kumbe ni bilioni 3?

Bilioni 3 mbona awamu hii huo ni ufisadi wa afisa elimu pekee?

Waache upumbavu
Mkuu 3b ni kidogo? Wanyonge tunakuangalia ujue? Sasa kama utawala wa sasa unachukua zaidi ya hizi, hii ndio kuhalalisha kubwa kwa hizi 3b mkuu?[emoji24]
 
Hahaa mkuu kinachotakiwa kusomwa sasa ndicho chenye taarifa za marehemu sio kwamba anatafutwa ndio wakati wa taarifa yake kujadiliwa umefika. Nimeumia sana kuona mtetezi wetu wanyonge alikuwa alitunyonga huku tukimuimbia pambio za ushujaa hahaa
 
Hahaa mkuu kinachotakiwa kusomwa sasa ndicho chenye taarifa za marehemu sio kwamba anatafutwa ndio wakati wa taarifa yake kujadiliwa umefika. Nimeumia sana kuona mtetezi wetu wanyonge alikuwa alitunyonga huku tukimuimbia pambio za ushujaa hahaa
Kumbe
 
Mkuu 3b ni kidogo? Wanyonge tunakuangalia ujue? Sasa kama utawala wa sasa unachukua zaidi ya hizi, hii ndio kuhalalisha kubwa kwa hizi 3b mkuu?[emoji24]
Angalia kina zitto wanakomalia bilioni 3 za plea bagain wakati kuna watu wamechota mabilioni awamu hii!

Huu ndio upumbavu ninao sema mimi
 
Angalia kina zitto wanakomalia bilioni 3 za plea bagain wakati kuna watu wamechota mabilioni awamu hii!

Huu ndio upumbavu ninao sema mimi
Jikite kwenye mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…