ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
TTCL ni kampuni ya umma, naiona hatari simu nyeti kama za ikulu na Usalama zikipitia kampuni binafsi, ambazo wanahisa ni wale mabeberu.
TTCL wabaki na land line na miundombinu wezeshi ya mawasiliano
Samia anatumia Vodacom,Jpm na jk walitumia Voda na AirtelTTCL ni kampuni ya umma, naiona hatari simu nyeti kama za ikulu na Usalama zikipitia kampuni binafsi, ambazo wanahisa ni wale mabeberu.
TTCL wabaki na land line na miundombinu wezeshi ya mawasiliano
Dah...umeua.Hata serikali ikiwemo Ikulu ikifanyiwa tathmini tunaweza kuja na pendekezo ivunjwe kwa kukosa tija.
Na hii midege ya mizigo iliyokuja juzi kati?Hazitarudi kamwe, hizo ndo imetoka hivyo
Kama inafanya vizuri record si zitaibeba?Target ni hapa TRC, ATCL lazima miradi ya hayati ipukutishwe
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo amepokea ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) pamoja na TAKUKURU. Katika ripoti hiyo CAG aliyataja mashirika 14 yanayoendeshwa kwa hasara ikiwemo TRC, ATCL na NDC. Rais Samia alisema kwa muda baadhi ya makampuni yamekuwa yakiendeshwa kwa hasara lakini hayaingizii serikali chochote ni bora yakafutwa ili kutoendelea kuleta hasara.
"Kuna haja ya kufanya tathimini kama baadhi ya mashirika ya umma yanafaa kuendelea kuwa nayo, yale yanayofaa yaendelee na yasiyo na tija yafutwe. Mashirika mengi yanachuma fedha kutoka serikalini lakini yenyewe haileti fedha serikalini" - Rais Samia Suluhu.
Lakini kwa upande wa TTCL, Rais Samia Suluhu anasema "TTCL na biashara ya simu kusema kweli imewashinda, tujiulize hivi kweli wanaweza kuendelea kufanya biashara ya sekta ya simu, kwanza wao wana mkongo, kwa kufanya biashara ya simu hakuleti mazingira sawa ya ushindani katika biashara hiyo na kampuni nyingine."
Naunga mkono hoja.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo amepokea ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) pamoja na TAKUKURU. Katika ripoti hiyo CAG aliyataja mashirika 14 yanayoendeshwa kwa hasara ikiwemo TRC, ATCL na NDC. Rais Samia alisema kwa muda baadhi ya makampuni yamekuwa yakiendeshwa kwa hasara lakini hayaingizii serikali chochote ni bora yakafutwa ili kutoendelea kuleta hasara.
"Kuna haja ya kufanya tathimini kama baadhi ya mashirika ya umma yanafaa kuendelea kuwa nayo, yale yanayofaa yaendelee na yasiyo na tija yafutwe. Mashirika mengi yanachuma fedha kutoka serikalini lakini yenyewe haileti fedha serikalini" - Rais Samia Suluhu.
Lakini kwa upande wa TTCL, Rais Samia Suluhu anasema "TTCL na biashara ya simu kusema kweli imewashinda, tujiulize hivi kweli wanaweza kuendelea kufanya biashara ya sekta ya simu, kwanza wao wana mkongo, kwa kufanya biashara ya simu hakuleti mazingira sawa ya ushindani katika biashara hiyo na kampuni nyingine."
SahauKama Trc inajiendesha kwa hasara hizo pesa zinazoendelea kuwekwa Sgr , zitarudi?
Unajua principal za biashara? Wakitaka waende kibiashara hakuna nauli wewe mnyonge utalipa..Serikali haifanyi biashara, mashirika kama TRC au TTCL waachiwe wawekezaji alafu serikali iwe mbia tu awe anakula tozo na gawio lake
AiseeHata serikali ikiwemo Ikulu ikifanyiwa tathmini tunaweza kuja na pendekezo ivunjwe kwa kukosa tija.
Unaweza kuwa sahihi, lakini kuna baadhi ya mashirika yameuwawa na hawahawa tuliowaamini. TANESCO bila mikataba feki kama IPTL na kina DOWANS ingekuwa inajiendesha kwa faida.Namuunga mkono kwa hili, hakuna haja ya kung'ang'ana na mavitu yanayotafuna pesa za walipa kodi tu bila umuhimu wowote.
Na ripoti maalum ya account ya Plea bargain wanamsingizia malaika wenu?Target ni hapa TRC, ATCL lazima miradi ya hayati ipukutishwe