Mzalendo120
JF-Expert Member
- Jul 2, 2022
- 1,842
- 2,410
Waliofilisi nao wafilisiwe na wanyongweNaunga mkono mkuu
Tutafuta mangapi? Kama ni Solutions kufanya vibaya na kufuta?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waliofilisi nao wafilisiwe na wanyongweNaunga mkono mkuu
Tutafuta mangapi? Kama ni Solutions kufanya vibaya na kufuta?
Tozo zinapigwatu na hao ma stupidUkiangalia receipt baada ya kununua luku utaona taasisi lukuki wanabeba tozo
Huyu ni mkuu wa nchi wa aina gani huyu?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo amepokea ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) pamoja na TAKUKURU. Katika ripoti hiyo CAG aliyataja mashirika 14 yanayoendeshwa kwa hasara ikiwemo TRC, ATCL na NDC. Rais Samia alisema kwa muda baadhi ya makampuni yamekuwa yakiendeshwa kwa hasara lakini hayaingizii serikali chochote ni bora yakafutwa ili kutoendelea kuleta hasara.
"Kuna haja ya kufanya tathimini kama baadhi ya mashirika ya umma yanafaa kuendelea kuwa nayo, yale yanayofaa yaendelee na yasiyo na tija yafutwe. Mashirika mengi yanachuma fedha kutoka serikalini lakini yenyewe haileti fedha serikalini" - Rais Samia Suluhu.
Lakini kwa upande wa TTCL, Rais Samia Suluhu anasema "TTCL na biashara ya simu kusema kweli imewashinda, tujiulize hivi kweli wanaweza kuendelea kufanya biashara ya sekta ya simu, kwanza wao wana mkongo, kwa kufanya biashara ya simu hakuleti mazingira sawa ya ushindani katika biashara hiyo na kampuni nyingine."
![]()
Naunga mkonoWaliofilisi nao wafilisiwe na wanyongwe
Mtoto akinyea mguu wako unaukata kisha unautupa kule ..short is short ways alwaysHuyu ni mkuu wa nchi wa aina gani huyu?
Suluhisho la utendaji mbovu ni kufuta shirika?
Sasa tutafanya kitu gani na utendaji mbovu wa serkali yake na yeye mwenyewe?
Inafaa kabisa kuwafuta hawa wote watuachie nchi yetu.
Hovyo Kabisa!
Sawa mkuu, 'Zithro' nasubiri "kuukata huu mguu" ambayo ndiyo serikali yenyewe!Mtoto akinyea mguu wako unaukata kisha unautupa kule ..short is short ways always
😂 🙄😂😂😂Hata serikali ikiwemo Ikulu ikifanyiwa tathmini tunaweza kuja na pendekezo ivunjwe kwa kukosa tija.
Kauli ya Nani vile😅kauli ya rahisi haipingwi
Kauli ya Nani vile[emoji28]
Hahahaha,,,stupid wanaopenda Raha kamwe hawawezi bila kuwezeshwa..
Ahahahahahahahah noma sana.Hata serikali ikiwemo Ikulu ikifanyiwa tathmini tunaweza kuja na pendekezo ivunjwe kwa kukosa tija.