Ripoti ya CAG 2021-2022: Rais Samia ataka baadhi ya mashirika yasiyo na tija kufutwa

Ripoti ya CAG 2021-2022: Rais Samia ataka baadhi ya mashirika yasiyo na tija kufutwa

Baada ya ripoti ya CAG Kutolewa na kueleza madudu ya GPSA, Rais Samia Hassan amependekeza taasisi hiyo ya umma ifutwe au iundwe upya.

Kwa kauli hii ya Rais bila shaka huu ni uamuzi kamili wa kuizika rasmi GPSA .

Gpsa case it is similar to ttcl. Haya mashirika yameangushwa na kitu kimoja, usimamizi na creativity 0
 
Mbona nimekueleza vizuri tu kuwa Tanesco waliuza madeni yao kwa serikali. Au hujui hasara inapatikanaje?

Tanesco walikua na deni la zaidi ya trilioni 2, Kama hili deni lisingehamishiwa kwa serikali ni napatao yapo ya Tanesco yangeweza kufunika hilo deni? Sababu za kuhamishiaa deni serikalini ni ili kuweka vitabu vyao vizuri na waweze kukopa wao kama wao
Wakikopa tena hovyo hivyo deni likafika let say 500m usd .watahamishia tena serikalini nauliza tu mkuu maana kwa mtindo huwa si nchi itafilisika kwa madeni
 
Wamemtuma kijana wao neppie ili kuua ttcl wameona haitoshi. Hivi kusema ttcl wana mkongo eti hakuna ushindani sawa, hapo ni suala la hasara kwa shirika la ttcl au ni kukingia kampuni binafsi ushindani. Kwani serikali kukusanya kodi toka raia ni biashara? Kazi ya kodi ni nini kama sio pia kuendesha mashirika ya huduma muhimu kwa faida ya jamii. Kwa nini waone uchungu shirika kama ttcl likitoa huduma kwa bei nafuu kwa raia. Halafu ujue huyu mama hakuna kitu anajua. NDC ni shirika la biashara? Au hajui kazi ya NDC? Wanaacha kusimamia uadilifu na tija badala yake wanalihujumu ttcl kwa maslahi yao kwenye mashirika binafsi. Mtu kama magufuli asiye na mawaa alitoa nguvu yake kuimarisha ttcl sasa wahuni wameingia kutaka kuliua shirika.

Hili shirika miaka ya 2000 lilikuwa on the same path tonsuccess They were coming good.. but then something happened.
Hili shirika limeanza kufa hata kabla ya ujio wa nape, ni mawaziri wangapi wamekuwepo kwenye hiyo position na bado no body paid attention kwa ttcl?

Nape limemuangukia but ttcl wa doomed before him. Lilikuwa suala la muda
 
Ifike muda mheshimiwa rais aruhusu mchakato wa katiba mpya uendelee ili tupate viongozi kutoka vyama vyote vya siasa.
Viongozi wengi wa CCM ndio wezi wa mali za watanzania maskini.
Halafu utasikia waziri fulani anasema "tuwe wazalendo".
Na wengine wanavaa tai na suti zenye rangi ya bendera ya Taifa.

Inauma sana.
Wanavaa bendera kwa lengo lakuzipumbaza mamlaka za uteuzi wakitenguliwa nafasi zao wanavaa masweta na skafu zenye rangi za bendera ya taifa.
Wanatumia mbinu nyingi kuziteka mamlaka
 
Umeshaondoka kwenye point, Mimi sio mtumishi mimi napambana na box. Shirika kufanya vibaya solution yake sio kulifuta.

Shirika kufanya vibaya tafsiri yake ni uongozi mbaya. Ndio maana nikasema kama shirika ambalo lipo ndani ya wizara linafanya vibaya vipi kuhusu wizara?

Kuna wizara mara nyingi amekua akilalamika kufanya vibaya, mbona hatuzifuti?
Naunga mkono mkuu

Tutafuta mangapi? Kama ni Solutions kufanya vibaya na kufuta?
 
ATCL, TRC na NDC ni mashirika muhimu kwa uchumi wa nchi.

Kuyavunja kutarudisha nyuma maendeleo ya nchi.

Pia kufanya hivyo kwamfanya raisi Samia nae aonekane ni sehemu ya tatizo kwa kukubali kushindwa kuwa ameshindwa kusimamia ukuaji wa mashirika hayo na uendeshaji wake.
Naunga mkono

Nashangaa tunakimbilia kutaka kuyafuta tutafuta mangapi na kitu gani tutaweza kufanya kama watanzania?

Ndio tatizo la kuwa na nchi ya wapigaji.
 
Naunga mkono mkuu

Tutafuta mangapi? Kama ni Solutions kufanya vibaya na kufuta?
Kama mashirika yanafutwa lakini walioyafilisi wafilisiwe kisha wanyongwe tusitaniane.

Watu wanapewa mamilioni ya mishahara kisha wanaiba

Stupid zao mama amewaambia
 
Naunga mkono

Nashangaa tunakimbilia kutaka kuyafuta tutafuta mangapi na kitu gani tutaweza kufanya kama watanzania?

Ndio tatizo la kuwa na nchi ya wapigaji.
Soon mtaambiwa TANESCO wazalishe tu umeme, na kuwauzia makampuni binafsi yatakayotuhudumia wateja.

Unit moja ya umeme tutanunua kwa zaidi ya alfu.
 
Naunga mkono

Nashangaa tunakimbilia kutaka kuyafuta tutafuta mangapi na kitu gani tutaweza kufanya kama watanzania?

Ndio tatizo la kuwa na nchi ya wapigaji.
Samia anapenda sana shortcut watu hawataki kabisa kuumiza kichwa kufikiria nje ya box kitu kikifanya vibaya solution yake ni kukifuta .mpaka hapa tulipo taasis ya ikulu inapaswa nayo kufutwa maana sioni tija ya kuwa nayo
 
So nape akamzuia Elon asitupe net jamani. Binafsi Mambo yangu yakiwa POA nawahama jamani nchi hii watu Wana njaa mno bado wanawanya damu wanyonge Kama swala ,wild beast mpaka washibe ndio nchi itaendelea
 
Samia anapenda sana shortcut watu hawataki kabisa kuumiza kichwa kufikiria nje ya box kitu kikifanya vibaya solution yake ni kukifuta .mpaka hapa tulipo taasis ya ikulu inapaswa nayo kufutwa maana sioni tija ya kuwa nayo
Kama vipi ifutwe tu, maana imeshindwa kuleta tija
 
Soon mtaambiwa TANESCO wazalishe tu umeme, na kuwauzia makampuni binafsi yatakayotuhudumia wateja.

Unit moja ya umeme tutanunua kwa zaidi ya alfu.
Nakubaliana na wewe mkuu.

Kwa mwendo huu itakuwa hivyo
 
Nakubaliana na wewe mkuu.

Kwa mwendo huu itakuwa hivyo
So sad. Wakati bwawa la kuzalisha umeme mto Rufiji linaanza kujengwa, tuliambiwa umeme ungepungua bei, tungeweza kupata umeme kwa sh 100 kwa unit. Sasa hivi hata waliokuwa kwenye tariff ya chini, wanaoitwa wanyonge wanaondoshwa.

2025 wasipoiba kura hawawezi kupata hata 20%.
 
So sad. Wakati bwawa la kuzalisha umeme mto Rufiji linaanza kujengwa, tuliambiwa umeme ungepungua bei, tungeweza kupata umeme kwa sh 100 kwa unit. Sasa hivi hata waliokuwa kwenye tariff ya chini, wanaoitwa wanyonge wanaondoshwa.

2025 wasipoiba kura hawawezi kupata hata 20%.
Ukiangalia receipt baada ya kununua luku utaona taasisi lukuki wanabeba tozo
 
Back
Top Bottom