Wajanja watagawana.Na hii midege ya mizigo iliyokuja juzi kati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajanja watagawana.Na hii midege ya mizigo iliyokuja juzi kati?
Na ripoti maalum ya account ya Plea bargain wanamsingizia malaika wenu?
Ni swali zuri sana umeuliza. Lakini Samia hawezi kuepuka lawama.Hivi inakuwaje Shirika kama TRC kuendeshwa kwa Hasara?
CAG anaropoka? Tena ni CAG aliyeteuliwa na huyo huyo malaika wenu wa kuzimu.Mkuu kumbe una malaika wako aisee hongera. Hio account uloshawekewa documents hadharani au unaamini tu maneno ya kuropoka?
Umeona mbali mkuu. Rias Samia kwenye kulinda mashirika yetu simuamini kabisa. Anaweza kupotoshwa na ''wajanja'' ili wapate nafasi ya kugawana au kuanzisha biashara zao zinazofanana na za hayo mashirika.Wajanja watagawana.
Namuunga mkono mamaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu leo amepokea ripoti ya Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) pamoja na TAKUKURU. Katika ripoti hiyo CAG aliyataja mashirika 14 yanayoendeshwa kwa hasara ikiwemo TRC, ATCL na NDC. Rais Samia alisema kwa muda baadhi ya makampuni yamekuwa yakiendeshwa kwa hasara lakini hayaingizii serikali chochote ni bora yakafutwa ili kutoendelea kuleta hasara.
"Kuna haja ya kufanya tathimini kama baadhi ya mashirika ya umma yanafaa kuendelea kuwa nayo, yale yanayofaa yaendelee na yasiyo na tija yafutwe. Mashirika mengi yanachuma fedha kutoka serikalini lakini yenyewe haileti fedha serikalini" - Rais Samia Suluhu.
Lakini kwa upande wa TTCL, Rais Samia Suluhu anasema "TTCL na biashara ya simu kusema kweli imewashinda, tujiulize hivi kweli wanaweza kuendelea kufanya biashara ya sekta ya simu, kwanza wao wana mkongo, kwa kufanya biashara ya simu hakuleti mazingira sawa ya ushindani katika biashara hiyo na kampuni nyingine."
![]()
Kama mashirika tumeshindwa kuendesha si hata serikali yenyewe tumeshindwa pia? Shirika lililopo chini ya wizara tunasema tumeshindwa, alafu wizara tumeweza? Haiingii akiliniNamuunga mkono kwa hili, hakuna haja ya kung'ang'ana na mavitu yanayotafuna pesa za walipa kodi tu bila umuhimu wowote.
CAG anaropoka? Tena ni CAG aliyeteuliwa na huyo huyo malaika wenu wa kuzimu.
Tanesco walichofanya wameuza madeni yao yote kwa serikali. Hata hayo mashirika yakifanya hivyo hutaona hasara.Limetajwa wapi kuwa lapata hasara?
Tanesco hajatajwa
Unamaanisha na yeye mwenyewe ameshafanyiwa tathmini atoshi? 😂Hata serikali ikiwemo Ikulu ikifanyiwa tathmini tunaweza kuja na pendekezo ivunjwe kwa kukosa tija.
Hapa ndiko CCM yenu ya wezi na wavivu ilipotufikisha. Shirika kama hili linashindwaje kuendeshwa kwa faida kama siyo hujuma? Mkurugenzi, bodi na mazagazaga kibao si yanateuliwa na rais?TTCL ni kampuni ya umma, naiona hatari simu nyeti kama za ikulu na Usalama zikipitia kampuni binafsi, ambazo wanahisa ni wale mabeberu.
TTCL wabaki na land line na miundombinu wezeshi ya mawasiliano
Wewe umetoa wapi hizo hasara maana leo tanesco hajatajwa kabisaTanesco walichofanya wameuza madeni yao yote kwa serikali. Hata hayo mashirika yakifanya hivyo hutaona hasara.
Najiuliza ilikuwaje mama samia alikubaliana na hawa kina maharage kuuza madeni ya Tanesco kwa serikali
Kufanya vizuri inategemea sas na timu iliyopo. Sioni zikifanya vizuriKama inafanya vizuri record si zitaibeba?
Kwani hujui Rais hutumia namba ya Voda?TTCL ni kampuni ya umma, naiona hatari simu nyeti kama za ikulu na Usalama zikipitia kampuni binafsi, ambazo wanahisa ni wale mabeberu.
TTCL wabaki na land line na miundombinu wezeshi ya mawasiliano
Hana ''kichwa'' cha kuweza kujisimamia chenyewe. Japokuwa sikatai akubali ushauri lakini kuna mambio mengine hata kwa common sense ya mwenyekiti wa kijiji ni upumbavu kukubaliana nayo.Tanesco walichofanya wameuza madeni yao yote kwa serikali. Hata hayo mashirika yakifanya hivyo hutaona hasara.
Najiuliza ilikuwaje mama samia alikubaliana na hawa kina maharage kuuza madeni ya Tanesco kwa serikali
Sasa viongozi wote Wana biashara za ma bus na Malori, wwe unategemea TRC itaachwa kuhujumiwa! Magu alitaka kukomesha hizi hujuma kwa mashirika ya Umma wengine wakamuona Kama mnoko! Sasa twendeni na mwendo mnaotaka tutafika tu na wala msijali!!Hivi inakuwaje Shirika kama TRC kuendeshwa kwa Hasara?
TTCL ilihujumiwa na hawahawa wanasiasa tangu enzi bunge likiwa chini ya Msekwa.Hapa ndiko CCM yenu ya wezi na wavivu ilipotufikisha. Shirika kama hili linashindwaje kuendeshwa kwa faida kama siyo hujuma? Mkurugenzi, bodi na mazagazaga kibao si yanateuliwa na rais?
Mf Anaenda Kigoma kwa Milioni 10 ila mapato yake ni milioni 3TRC inaletaje hasara?
Au tumeshindwa kuliendesha?
Walishadanya hivyo ikashindikana. Tumesahau ATCL tuliingia ubia na South Africa? Mwisho shirika ndio likawa mfuSerikali haifanyi biashara, mashirika kama TRC au TTCL waachiwe wawekezaji alafu serikali iwe mbia tu awe anakula tozo na gawio lake