Wakiendesha watu binafsi ndio mizigo haitaibiwa?Wakisema wabebe mizigo njiani watu wanaiba mizigo au wanatoa taruma moja mizigo inapotea, shirika linalipa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakiendesha watu binafsi ndio mizigo haitaibiwa?Wakisema wabebe mizigo njiani watu wanaiba mizigo au wanatoa taruma moja mizigo inapotea, shirika linalipa
Hii nchi ishalogwaHata sheria za sasa ni kali ila kila mtu anamuogopa mwingine. Kama raisi kutengua tu mtu anasema Kuna magodfather wanamfata mbio kulalamika, unafikiri kuchukua hatua kali kwao itakuwaje?
TANESCO hata kabla ya IPTL na DOWANS, haijawahi kutengeneza faida. Tatizo ni aina ya watu walioko huko.Unaweza kuwa sahihi, lakini kuna baadhi ya mashirika yameuwawa na hawahawa tuliowaamini. TANESCO bila mikataba feki kama IPTL na kina DOWANS ingekuwa inajiendesha kwa faida.
Serikali makini ingeshughulika na hawa waliotuingiza kwenye mikataba tata ili kuwafundisha wengine wanaokusudia kutuhujumu kuwa kuna kuwajibika.
Tumewahi kuwapa wahindi TRC, hali ilikuwa mbaya zaidi kuliko ilivyokuwa chini ya serikali.
TTCL itasimamaje mbele ya Rostam
ATCL itasimamaje mbele ya Rostam
Hapo ndo tuseme hatuna letu tena
Duh! Kumbe kina iptl si tatizo?!TANESCO hata kabla ya IPTL na DOWANS, haijawahi kutengeneza faida. Tatizo ni aina ya watu walioko huko.
Umeshaondoka kwenye point, Mimi sio mtumishi mimi napambana na box. Shirika kufanya vibaya solution yake sio kulifuta.Hapana havihusiani maana unaweza kuta katika hio wizara kuna mashirika mengine yanafanya vizuri.... inawezekna wewe ni mtumishi humo usijali utahamishwa taasisi hutofukuzwa kazi
TTCL ni kampuni ya umma, naiona hatari simu nyeti kama za ikulu na Usalama zikipitia kampuni binafsi, ambazo wanahisa ni wale mabeberu.
TTCL wabaki na land line na miundombinu wezeshi ya mawasiliano
Yule mpumbavu m'moja ninamchukia takataka yule.Ttcl haiwezi kufanikiwa sababu mafisadi papa kutoka CCM ndio wamiliki wa makampuni binafsi yanayoshindania soko. Juzi wamezuia kampuni ya kimarekani liyotaja kuwekeza mtandao wa intaneti wa bei nafuu kwa sababu za kitoto zilizotolewa na mtumishi wamafisadi Nape Mnauye
Target ni hapa TRC, ATCL lazima miradi ya hayati ipukutishwe
Sheria mbona zipo toka kitambo,sema huyo wa kuzisimamia hizo Sheria kwa uwadilifu ndiyo hatuna, watu wakija na Asali tu Sheria inawekwa pembeni ili watu walambe Asali kwanza!!Ni rahisi waweke sheria kali tu wanaweza
Kufuta shirika sio solution, Leo amesema kuwa wakati wa matengenzo ya ndege invoice ilikua ni bilion 60. Ghafla akaletewa tena invoice nyingine gharama zimeongezeka badi bil 200, alipouliza akaambiwa vifaa vimepanda bei.Hii nchi ishalogwa
Haaaà sasa unahic TTCL ipo salama unajua wanatumia satellite zipiTTCL ni kampuni ya umma, naiona hatari simu nyeti kama za ikulu na Usalama zikipitia kampuni binafsi, ambazo wanahisa ni wale mabeberu.
TTCL wabaki na land line na miundombinu wezeshi ya mawasiliano
Kwamba TRC na ATCL zilianza enzi zake
Kama mteja anahitaji mabehewa 80 ya kusafirisha mizigo hadi kigoma inayokwenda DRC,wao wanakwambia tunayo 15 tu!!hapo kuna nini?njia ya treni haifanyi kazi kwa kiwango chake inavyotakiwa,lazima tu gharama za uendeshaji zitakuwa juu!!Hivi inakuwaje Shirika kama TRC kuendeshwa kwa Hasara?
Sasa Nchi yote tuwakabidhi Wabia waiendeshe Kama sisi wenyewe tumeshindwa! Kama hatuwezi hata kuwajibishana kwenye hizi hasara zinazo thibitiswa na CAG unatagemea Kama Watu wataogopa kulamba Asali Kama Mchwa!!?TRC isifutwe bali atafutwe mwendeshaji, ikiwezekana kampuni ya nje ya nchi. Watumishi wa Serikali jawana kabisa weledi wa biashara au uchumi.
Gharama za uendeshaji wa shirikq ni kubwa kuliko mapato yake inapelekea shirika kuomba ruzuki toka serikalini ili lijiendesheTRC inaletaje hasara?
Au tumeshindwa kuliendesha?
Hata sekta ya urais Japan wanaitendea haki pia,kwa hiyo tuwape pia!? Au unashauri vp!!?TUOMBE JAPAN MAATA SEKTA HII WANAITENDEA VYEMA
Mawazo ya kizamani hayaTTCL ni kampuni ya umma, naiona hatari simu nyeti kama za ikulu na Usalama zikipitia kampuni binafsi, ambazo wanahisa ni wale mabeberu.
TTCL wabaki na land line na miundombinu wezeshi ya mawasiliano
Wanalipana hela nyingi mnoooooooHIVI inakuwaje Shirika kama TANESCO kuendeshwa kwa HASARA?