REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Nyie ajira za watu hizo mnataka watu wadondoke kwa kihoro,.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili TRC, SGR,MGR zipate faida yatakiwa ibebe mizigo.Eti TRC ifutwe kwa kuwa inapata hasara kwani kuna mshindani mwingine kwenye biashara ya Reli.
Mama awe mkali kila Jambo litakaa sawa,akiwachekea walamba Asali itakula kwake!!Namuunga mkono kwa hili, hakuna haja ya kung'ang'ana na mavitu yanayotafuna pesa za walipa kodi tu bila umuhimu wowote.
Ikumbukwe NDC ni Moja ya mashirika ambayo hupata hasara Kila mwaka..
Naunga mkono hoja,yapo mengi ya dizaini hiyo ,pia Kuna utitiri wa wakala na mashirika ya serikali yasiyo na Tija yanafanya kazi zinazoendana.
No. Masuala mengi alikuwa "anaomba" yafanyiwe kazi. Raisi hatakiwi "kuomba". Anatakiwa kuagiza yafanyiwe kazi. Angefuata mfano wa Mzee Magufuli, ni amri tu. Hawa kina halmashauri ukiwaomba wafanye kitu hawafanyi, ndio sababu kila mwaka makosa ni yale yale kwa halmashauri zilezile.Samia great thinker........
Unamuunga mkono haaya mashirika yafutwekwa kuwa tumesindwa kuyaendesha? Mashirika haya yapo chinj ya wizara, Kama mashirika tumeshindwa hata wizara pia tumeshindwa kwann nazo tusizifute?Namuunga mkono mama
Bado ndege haijaja ila itakuja mwezi wa 4Na hii midege ya mizigo iliyokuja juzi kati?
Watendaji huendana mdundo wa boss anataka niniCAG anaropoka? Tena ni CAG aliyeteuliwa na huyo huyo malaika wenu wa kuzimu.
TTCL ndiye mwenye Mkongo wote, abakie na Mkongo, yeye auze Data tu kwa makampuni, ajiondoe kwenyebiashara ya voiceSerikali haifanyi biashara, mashirika kama TRC au TTCL waachiwe wawekezaji alafu serikali iwe mbia tu awe anakula tozo na gawio lake
Ni rahisi waweke sheria kali tu wanawezaSasa viongozi wote Wana biashara za ma bus na Malori, wwe unategemea TRC itaachwa kuhujumiwa! Magu alitaka kukomesha hizi hujuma kwa mashirika ya Umma wengine wakamuona Kama mnoko! Sasa twendeni na mwendo mnaotaka tutafika tu na wala msijali!!
Hapana havihusiani maana unaweza kuta katika hio wizara kuna mashirika mengine yanafanya vizuri.... inawezekna wewe ni mtumishi humo usijali utahamishwa taasisi hutofukuzwa kaziUnamuunga mkono haaya mashirika yafutwekwa kuwa tumesindwa kuyaendesha? Mashirika haya yapo chinj ya wizara, Kama mashirika tumeshindwa hata wizara pia tumeshindwa kwann nazo tusizifute?
Short n clearMama awe mkali kila Jambo litakaa sawa,akiwachekea walamba Asali itakula kwake!!
Mbona nimekueleza vizuri tu kuwa Tanesco waliuza madeni yao kwa serikali. Au hujui hasara inapatikanaje?Wewe umetoa wapi hizo hasara maana leo tanesco hajatajwa kabisa
Ukikubali kila ushauri basi jua unapotea. Ndio maana ilikua rahisi tu kwa waziri kwenda kwake na kumueleza anataka trilioni 11 ili kubadilisha mfumo wa usambazaji umeme.Hana ''kichwa'' cha kuweza kujisimamia chenyewe. Japokuwa sikatai akubali ushauri lakini kuna mambio mengine hata kwa common sense ya mwenyekiti wa kijiji ni upumbavu kukubaliana nayo.
TRC isifutwe bali atafutwe mwendeshaji, ikiwezekana kampuni ya nje ya nchi. Watumishi wa Serikali jawana kabisa weledi wa biashara au uchumi.Target ni hapa TRC, ATCL lazima miradi ya hayati ipukutishwe
TUOMBE JAPAN MAATA SEKTA HII WANAITENDEA VYEMATRC isifutwe bali atafutwe mwendeshaji, ikiwezekana kampuni ya nje ya nchi. Watumishi wa Serikali jawana kabisa weledi wa biashara au uchumi.
Hata sheria za sasa ni kali ila kila mtu anamuogopa mwingine. Kama raisi kutengua tu mtu anasema Kuna magodfather wanamfata mbio kulalamika, unafikiri kuchukua hatua kali kwao itakuwaje?Ni rahisi waweke sheria kali tu wanaweza