Ripoti ya CAG 2021-2022: Rais Samia ataka baadhi ya mashirika yasiyo na tija kufutwa

Huyu ni mkuu wa nchi wa aina gani huyu?

Suluhisho la utendaji mbovu ni kufuta shirika?

Sasa tutafanya kitu gani na utendaji mbovu wa serkali yake na yeye mwenyewe?

Inafaa kabisa kuwafuta hawa wote watuachie nchi yetu.

Hovyo Kabisa!
 
Huyu ni mkuu wa nchi wa aina gani huyu?

Suluhisho la utendaji mbovu ni kufuta shirika?

Sasa tutafanya kitu gani na utendaji mbovu wa serkali yake na yeye mwenyewe?

Inafaa kabisa kuwafuta hawa wote watuachie nchi yetu.

Hovyo Kabisa!
Mtoto akinyea mguu wako unaukata kisha unautupa kule ..short is short ways always
 
Mhe rahisi kwa majina Wakukurupuka
Mhe acha niende kweny topic ninkwamba wale stupid wamegoma kuachia ofisi ili mimi wa kukurupuka nipate nafasi…
Ki sheria kauli ya rahisi haipingwi ila hawa stupid wamegoma…

Najua kwa sasa mhe upo kwenye mungo wa Ramadhan ila ikiisha fanya kweli..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…