Ripoti ya CAG: Bunge limehitimisha mjadala leo, nini kitafuata? Waliohusika na ufisadi na ubadhirifu watafanywaje?

Haki itendeke na ionekane inatendeka !
Wanasemaga !!
 
Ukiwaangalia bungeni wanajadili kama wako serious kumbe sasa hayo yameisha nadhan kilakitu kimeisha tusubiri uchaguzi nasikia wanaweka technology hata bibi aliyeko ndan hawez kutoka apge kura ila maji masaf hayawezi kumfikia
 
Hakuna kitachoendelea bc's hii ni FAILED STATE.
 
Majina?
 
Akina Lucas mpo wengi, siyo? Samia atapata matatizo sana akirudi kwenye kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa kutegemea kupigiwa debe na watu kama nyie. You are not objective. Unamwita Rais ni mnyenyekevu na msikivu atafanyia kazi ripoti ya CAG baada ya mjadala wa bunge, swali langu lilikuwa raisi tu kwamba, "hii ripoti ni mpya"? Rais amekuwa nayo miezi kadhaa kabla ya kujadiliwa na bunge, je nani kesha wajibishwa?

Tumeona marumbano yasiyokuwa na tija kwa taifa kati ya Wabunge na Mawaziri, hasa Mawaziri ambao ni washahuri wa karibu wa Rais wakiwatetea wezi, unategeme kuna kitu pale. Endeleeni kumpotosha kwa kumpamba lakini mnamuaribia. Kumsaidia mwambieni ukweli hali ilivyo huku mtaani.
 
Hapo watakao wajibika ni dagaa tu ( wakurugenzi, watendaji wa vijiji, walimu wakuu, wahasibu wa halmashauri na madaktari) makambale hakuna wakuwagusa
 
Kwanza sijaona mahala popote ambapo jina la Waziri specific limetajwa achilia mbali kuhusika.

Labda Maafisa masuuli lkini pia Serikali imeshachukua hatua nyingi tuu.
 
Tunasubiri kuona hatua zikichukuliwa, ikiwa ni pamoja na kurudisha fedha iliyoibiwa na kutaifisha mali zao hao majizi.
 
Kama Waswahili wanavyosema,IMEENDA HIYO! Mafisadi yataendelea kupeta mitaani kama kawaida.
 
sasa endelea kuamini wanadamu upate makwazo na maradhi ya Moyo.

Amini Mungu, na umtumainie yeye pekee.
Jiombee wewe mwenyewe na uwaombee maadui zako na watenda maovu wote ikiwa ni pamoja na mafisadi na Utabarikiwa
Niwaombee mafisadi na wanafki kama ninyi ili mpate nn labda?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…