Haki itendeke na ionekane inatendeka !Chini ya serikali sikivu na imara ya Dr.SSH.ni imani ya waTanzania walio wengi kwamba,
hakuna muhuusika hata moja alie tajwa kwenye report ya CAG na kulalamikiwa na waheshimiwa wabunge atasalimika na mkono wa Sheria, wote watawajibika na kuwajibishwa kulingana na makosa yao...
Nko nae hapa na washkaji zetu mafusadiMjanja sana,anataka mafisadi wampoze weekend hii kabla ya Jumatatu!!
Ngoja Tusubiri tuone !Igizo ndiyo limeishia hapo subiri episode nyingine
Hakuna kitachoendelea bc's hii ni FAILED STATE.Kwa siku kadhaa, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Spika Dkt. Tulia Ackson limejadili Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG).
Kimsingi, Wabunge wengi wameuona, wameusemea na kuukaripia ufisadi na ubadhirifu mkubwa ulioainishwa kwenye
Yeye mwenyewe aliwahi kuchaguliwa lini ?Rais avunje bunge
Majina?Kwa siku kadhaa, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Spika Dkt. Tulia Ackson limejadili Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali(CAG).
Kimsingi, Wabunge wengi wameuona, wameusemea na kuukaripia ufisadi na ubadhirifu mkubwa ulioainishwa kwenye Ripoti ya CAG. Wabunge wamesikika hata wakishauri adhabu kali wapewe wahusika.
Bunge limehitimisha mjadala wa Ripoti husika. Nini kitafuata? Wahusika wa ufisadi na ubadhirifu huo mkubwa watafanywa nini na ni nani hasa mchukua hatua hizo?
Kiukweli, sisi walipa kodi wa nchi hii tungependa kuona hatua kali zinachukuliwa dhidi ya mafisadi na wabadhirifu waliotajwa au kuhusishwa na mambo hayo ndani ya Ripoti ya CAG.
Tunalipa kodi kwa maendeleo yetu. Kutumiwa isivyo kwa kodi na wale tuliowapa dhamana ya matumizi ya kimaendeleo ya kodi zetu kunaumiza sana. Tunatamani na kutaka hatua zichukuliwe. Wabunge wameona na kusema; wachukua hatua wafanye hivyo.
Akina Lucas mpo wengi, siyo? Samia atapata matatizo sana akirudi kwenye kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa kutegemea kupigiwa debe na watu kama nyie. You are not objective. Unamwita Rais ni mnyenyekevu na msikivu atafanyia kazi ripoti ya CAG baada ya mjadala wa bunge, swali langu lilikuwa raisi tu kwamba, "hii ripoti ni mpya"? Rais amekuwa nayo miezi kadhaa kabla ya kujadiliwa na bunge, je nani kesha wajibishwa?Usikivu wa Dr.SSH unadhirika zaidi na uko wazi na bayana.
Taifa ni tulivu haijawahi kutokea, ulinzi na usalama ni madhubuti kupindukia, uhuru wa maoni, habari na uwazi serikalini ni vya kupigiwa mfano, umoja na utangamano miongoni mwa waTanzania imeimarika mara dufu.
Kwenye Maendeleo sasa heheeheee,
Dr.SSH anaonekana kwa uwzi zaidi kwenye maji, afya, elimu, kilimo, biashara,miundombinu, michezo, usafirishaji nakadhalika nakadhalika dah.....
unamkosa wapi na kenye nini Dr. SSH nchin Tanzania.....
Sema wezi chipukiziCcm yyete ni mwizi hata wale watoto chipukizi nao ni wezi tu
Hapo watakao wajibika ni dagaa tu ( wakurugenzi, watendaji wa vijiji, walimu wakuu, wahasibu wa halmashauri na madaktari) makambale hakuna wakuwagusaChini ya serikali sikivu na imara ya Dr.SSH.ni imani ya waTanzania walio wengi kwamba,
hakuna muhuusika hata moja alie tajwa kwenye report ya CAG na kulalamikiwa na waheshimiwa wabunge atasalimika na mkono wa Sheria, wote watawajibika na kuwajibishwa kulingana na makosa yao...
Kwanza sijaona mahala popote ambapo jina la Waziri specific limetajwa achilia mbali kuhusika.Chini ya serikali sikivu na imara ya Dr.SSH.ni imani ya waTanzania walio wengi kwamba,
hakuna muhuusika hata moja alie tajwa kwenye report ya CAG na kulalamikiwa na waheshimiwa wabunge atasalimika na mkono wa Sheria, wote watawajibika na kuwajibishwa kulingana na makosa yao...
Hata kama wezi wa mali za Umma wapiga Dili wangekuwa wanafungwa kutokana na ubadhirifu wanaoufanya ingetosha kwa kuanzia !!Wabunge walipendekeza wanyongwe
Kama kazi kama dawa !!Kama Waswahili wanavyosema,IMEENDA HIYO! Mafisadi yataendelea kupeta mitaani kama kawaida.
Niwaombee mafisadi na wanafki kama ninyi ili mpate nn labda?sasa endelea kuamini wanadamu upate makwazo na maradhi ya Moyo.
Amini Mungu, na umtumainie yeye pekee.
Jiombee wewe mwenyewe na uwaombee maadui zako na watenda maovu wote ikiwa ni pamoja na mafisadi na Utabarikiwa