Ripoti ya CAG: Bunge limehitimisha mjadala leo, nini kitafuata? Waliohusika na ufisadi na ubadhirifu watafanywaje?

Petro Mselewa wakati Bunge linahitimishwa, nini azimio la Bunge juu ya ubadhitifu ulioonekana katika ripoti ya CAG? Kama Bunge halikuazimia chochote basi tusitarajia chochote.
 
Ombea adui zako waishi siku nyingi ili wewe mnyonge fundi wa manung'uniko unapobarikiwa huyo adui yako fisadi ajionee mwenyewe,

Nami nakuombea wakati huu unapojongea kwenye mahangaiko yako ya kujitaftia chochote kitu kinywani kwaajili yako na na familia yako, Baraka na Neema za Mungu ziambatane nawe leo, kesho daima na milele Aimen.
Aimen ..
Niwaombee mafisadi na wanafki kama ninyi ili mpate nn labda?
 
Dua yako kwako nasema AMIN..... ila uo utumbo wa juu baki nao mwenyewe chawa wa mafisadi
 
Kwanza sijaona mahala popote ambapo jina la Waziri specific limetajwa achilia mbali kuhusika.

Labda Maafisa masuuli lkini pia Serikali imeshachukua hatua nyingi tuu.
napenda nikusaidie kajambo kidogo tu, labda umeghafilika ama hujui.
Kupanga ni kuchagua,
Shughuli za bunge zinaendeshwa kwa kanuni taratibu na Sheria, hawakurupuki tu kufanya mambo....

Lipo bunge kwaajili ya bujeti ya serikali, lipo Bunge kwaajili ya Miswada na sheriaa mbalimba, lipo Bunge kwaajili ya Report ya CAG na kadhalika na kadhalika.....

Haiwezekani kikoa cha bunge la bajeti kujadili report ya CAG, wakati huo ukijadili hivyo inakua kama reference tu Lakini kinachojaduliwa ni bajeti.....

Huu ndio Muda muafaka kujadili report ya CAG, sawala la upya au uzamani linabaki binafsi kwako peke yako.

Jambo la mwisho,
Nikuhakikishie kwamba uchaguzi wa 2025 kwa CCM ni miongoni mwa chaguzi raihisi sana Tz hapajawahi kutokea kwasabb moja kubwa...

Hakuna kabisaa Upinzani.
Chama tawala hata kisimamishe gunzi kuwa mgombea urasi, Ushindi wa uhakika wa kishindo ni dhahiri....
Upinzani umeathirika sana na ukaribisho wa vibaraka ndani yake ndio maana umegawanyika na kukosa uelekeo kabsaa....
 
Dua yako kwako nasema AMIN..... ila uo utumbo wa juu baki nao mwenyewe chawa wa mafisadi
mimi kwangu,
anae kubali au kubeza maoni au mtazamo wangu ktkt mambo ya dunia hii, sina neno nae, awe huru kufanya vyovyote impendezavyo,

Lakini kwa kazi ya kwenda kwa Mungu wa mbinguni nitahakikisha naataambatana nawe na wengine wenge kwa maombi katika ulimwengu wa Roho na hata ukigoma ntakuburuza hadi nifike nawe pamoja kwa Baba yetu wa Mbinguni tukafurahi pamoja nae katika ufalme wake,
Kwa Jina La Baba, Mwana na Roho Mtakatifu....
Ubarikiwe sana with happier and very long smile.....
 
Hakuna kitu hapo.., maana serikali na Bunge ni mtu mmoja ni sawa na wew kutoa buku ten mfuko wa kushoto ukaihamishia mfuko wa kulia.

Hakimu ni Mjomba na aliyeiba ni Binamu, huku Hakimu ni baba mdogo aliyepewa kazi na Shangazi, Kule Hakimu ni mtoto wa baba mdogo aliyepewa kazi na baba, ha ha ha haaaa hakuna kitu hapo. Watafungwa tu kina Maria wanaokutwa na nyama za pori.
 
Bado kupewa bahasha mmoja tu na Dr. Samia ili akupelekee moto
 
Nimeupenda sana huu ukweli mkuu😀💪💪
 
Bado kupewa bahasha mmoja tu na Dr. Samia ili akupelekee moto
mie kwanza ncheke....
🤣tssastssaaaatsszzaaaaaaaahhhhh

🐒sijui niwe upandree wa bwashee Mbowe, sijui upandre wa homeboy now puppet mtoa taarrifa msaidizi Taifa, sijui nijiunge Nov 9 na wasaka tonge watetezi wa wanyonge au na huyu muenezi ambae anazungumzwa sana ufipani🐒
 
Ila aliyelalamikiwa Sana ni mwigulu na ndo kipenzi cha mama je atamtengua
 
Hahahah
Tssastsaaaatsszaaaaah nimecheka sana kusikia hiyo kitu 🤣🤣
 
Ila aliyelalamikiwa Sana ni mwigulu na ndo kipenzi cha mama je atamtengua
Tatizo ni moja tu,
analalamikiwa pakubwa kwa tuhuma za kusadikika nje ya report ya CAG.
Na hivyo kisiasa tunasema thuhuma dhidi yake ni political motivated allegations na opponents wake binafsi wa kisiasa na hivyo hazina madhara kisheria wala kiutendaji.
hivyo basi waziri husika atasavive vizuri tu hadi 2025,
ikitokea kaguswa ni basi ni kuhamishwa wizara tu na sio kutupwa nje ya Baraza.
 
mkuu sio Tuhuma za kusadikika ila tuhuma zote zinarudi nyuma kuanzia miaka ya 2020 na 2019 ambayo miaka hiyo aliyekuwa Waziri wa Fedha kwa sasa ni Makamu wa Rais na hiyo ndyo ngumu kumeza hata mwigulu aliposema kweli hela zimechukuliwa kimahesabu alipoambiwa ataje ni nani akasema yeye hafahamu..
Ni kwamba kipindi hicho alikuwepo mheshimiwa Mpango na hiyo ndo ngoma ngumu kumsakizia Makamu wa Rais maana unaweza shangaa umemtaja ukala Tenguzi 🤣🤣

Na ndo maana wanaishia kusema tu hela zimepigwa ila wakiulizwa na nani hawasemi
 
Cha kwanza ilitakiwa Baraza la Mawaziri livunjwe na baadhi wakamatwe na kufikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi haswa hawa(Majaliwa, Makamba, Ummy, Bashe, Mwigulu, Nape, Angela, Aweso, Kijachu, Jafo, Mbarawa na Masa

Cha kwanza ilitakiwa Baraza la Mawaziri livunjwe na baadhi wakamatwe na kufikishwa mahakamani kwa uhujumu uchumi haswa hawa(Majaliwa, Makamba, Ummy, Bashe, Mwigulu, Nape, Angela, Aweso, Kijachu, Jafo, Mbarawa na Masauni).
Unataka kutuambia hawa wote uliowataja ndo Mafisadi wenyewe???
 
skiza,
Uwajibikaji wa viongozi wa kitaifa siku zote hokea kwa mipango Mahiri na mahususi ya kisiasa, kinyume cha hapo ni mbinyo au mgandamizo kutoka chini kwenda juu na kusalitiani kisiasa....

Lakini ninachokiona hivi sasa bungeni na kwenye mitanda ya kijamii ni ni mipasho na sarakasi za siasa kwamba nani anajua nini kuhusu fulani, whether ni kweli au si kweli, as results hili nalo litapita kama ilivyopita issue ya katiba mpya, tume huru na Bandari .......

Political statements never work, it remain political statements
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…