Vipi wewe una elimu kubwa sana?? Hao the so called wenye elimu kubwa ndiyo wanafanya madudu hayo yoteHii coment inaonyesha ukubwa wa elimu yako.
Magari Yana bei fotauti kulingana na aina, unataka Bei ya Vitz iwe sawa na V8?
Kwa hiyo akiiba CCM ni safi??Kwahiyo wizi wa chadema ni safi?
Ndio alisema kafia Kenya ? Lissu huyo huyo juzi katuambia yule mlinzi wa Magufuli kafa.Lissu huyo hyuo alisema Raisi kafa kwa hiyo aliyatoa wapi je alikuwa sahihi?
Mlinzi wa Nyumba Chato hukusikia kuwa alikufaNdio alisema kafia Kenya ? Lissu huyo huyo juzi katuambia yule mlinzi wa Magufuli kafa.
Lissu hajasema mlinzi wa nyumba.Mlinzi wa Nyumba Chato hukusikia kuwa alikufa
Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?
Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.
Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
Wafuasi wa Jiwe bwana !!. Mnajaribu kutwist mambo .Chadema na wizi wa ruzuku ni kama mgonjwa na uji!
Chadema haiwezi kununua nyumba sh milioni 50 huko porini.
Kabisa yaaniSwala la ubadhirifu halina chama, yeyote aliefanya ubadhirifu awe chadema au ccm achukuliwe hatua
Sababu ya kuniuliza hilo swali ni ipi?Na wewe leta sababu za kwanini ccm ni wezi wa Kodi za wananchi?
Hapana, ila ule wizi wa Mkurugenzi ulipata msamaha hata kabla CAG hajapitaKwahiyo wizi wa Chadema ni afadhali?
Abrianna💥😍Swala la ubadhirifu halina chama, yeyote aliefanya ubadhirifu awe chadema au ccm achukuliwe hatua
Ufisadi mtupu.Hakuna upigaji hapo
Chadema kutumia mil 377 bila idhini ya baraza la chama ina uhusiano gani na kifo cha JPM?Wafuasi wa Jiwe bwana !!. Mnajaribu kutwist mambo .
Jiwe limeondoka na halirudi tena. CAG na kagongelea jeheneza 6" . Mungu ni fundi mkuu
Odhis *
CCM waliwahi kuwajibika??Chadema wajibikeni, mnanuka ufisadi
Report ya mwaka juzi ya CAG ilishawahi kuonesha namna Mwenyekiti anavyotumia pesa za chama kujilipa madeni kwa mikopo aliyoikopesha chama ilhali hakukuwa na vithibitsho vya kutosha kuonesha deni hilo
Hahahaa mbona mko wanyoonge kwenye hii taarifa?Hii taarifa hata siiamini, nadhani mtakuwa mmeiokota kwenye vile vi blog vyenu vilivyofunguliwa juzi.