imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Huyo Fisadi alitokea wapi?Kwa ile gear iliyobadilishwa angani bado tu unasubiri uambiwe? Yani Mbowe hana akili akamchukue fisadi kumfanya kuwa mgombea wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo Fisadi alitokea wapi?Kwa ile gear iliyobadilishwa angani bado tu unasubiri uambiwe? Yani Mbowe hana akili akamchukue fisadi kumfanya kuwa mgombea wake?
Mbona wewe ndio mwenye akili ndogo!Hivi wewe ni mwanchama wa cdm? I'd yako ya uanachama ni mamba ngapi vile?
Una low thinking capacity ndio maana topic zako zipo shallow mno! Yaani unaona wananchi ni wajinga Sana eeh!
Unajaribu ku-spin hoja ya cag kijinga mno! Mataga Kama mnaowalipa buku Saba ni aina hii ya walevi wa mkangafu, Bora muachane nao kwani kwenye vichwa vyao wamejaza mabosi yaani machicha ya ulanzi!
Umeliona hilo la cdm isiyoongoza nchi na ukasahau mabilioni yaliyopigwa na serikali ya ccm! Ccm mjinga kabisa wewe!
Ona ulivyo mpumbavu! Yaani Hadi Leo hujui tofauti na mfanano wa ccm na CDM? Toka huko idegenda uje angalau kihesamgagao walikopungua funza!Mbona wewe ndio mwenye akili ndogo!
Yani unatetea ujinga kisa kafanya boss wa chama chako?
Utofauti wa ccm na hilo chama lenu ni upi sasa?
Unaniuliza mie tena mkuu hilo swali wa kumuuliza ni Lissu maana ndio aliyetuambia kuwa huyo jamaa ni fisadi ila baada ya kupiga mpunga wa mzee wa watu et Lissu anatuambia kama Lowassa fisadi mbona hajapelekwa mahakamani? Dah! huwa inaniuma hadi leo hii.Huyo Fisadi alitokea wapi?
Lissu huyo hyuo alisema Raisi kafa kwa hiyo aliyatoa wapi je alikuwa sahihi?Unaniuliza mie tena mkuu hilo swali wa kumuuliza ni Lissu maana ndio aliyetuambia kuwa huyo jamaa ni fisadi ila baada ya kupiga mpunga wa mzee wa watu et Lissu anatuambia kama Lowassa fisadi mbona hajapelekwa mahakamani? Dah! huwa inaniuma hadi leo hii.
Hahahaaa!!🏋️..ngapi ngapi hukoo?
Inunue akalale ndugai?Chadema na wizi wa ruzuku ni kama mgonjwa na uji!
Chadema haiwezi kununua nyumba sh milioni 50 huko porini.
Kumbe walinunua si kwamba walisema watanunua wakaacha, walinunua, okay CCM hata haijatumia , ni kuibaaaWanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?
Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.
Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
Halafu wafuasi wake wanarukaruka humu kumsema vibaya Dk. Kigwangalla. Kwani wana tofauti gani?Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?
Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.
Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
CAG kawa mchungu sasa....Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?
Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.
Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
Kwahiyo wizi wa Chadema ni afadhali?Magari 5 ya CHADEMA ............................................................................................ sh. 227M
Gari 1 la Mkurugenzi wa Halmashauri aliyesamehewa na JPM ...................... sh. 400M
Kumbe yalinunuliwa? Nilidhani hela zimetolewa na risiti hamna. Kumbe yote yapo ila bureaucracy tu haikufuatwaWanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?View attachment 1747489
Hati chafu mwaka jana? Upo serious? Unaweza kuthibitisha huu uongo wako?CHADEMA viongozi wake ni Malaika hawakosei,hata mwaka jana kilipata hati chafu.Humu JF ukithubutu kuikosoa CHADEMA watakuandama na kuingia mpaka PM kukutukana (yalishanikuta).
Ikiwa unakosa uamnifu kwa maswala madogo,je utakiwa muaminifu kwa mambo makubwa?
Ngojea tumpongeze Malaika Mbowe,aliye pokea kijiti kutoka kwa mkwe wake.
Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?
Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.
Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.