RIPOTI YA CAG: CHADEMA ilitumia Tsh Milioni 377 bila idhini ya Baraza la Chama

RIPOTI YA CAG: CHADEMA ilitumia Tsh Milioni 377 bila idhini ya Baraza la Chama

Hivi wewe ni mwanchama wa cdm? I'd yako ya uanachama ni mamba ngapi vile?
Una low thinking capacity ndio maana topic zako zipo shallow mno! Yaani unaona wananchi ni wajinga Sana eeh!
Unajaribu ku-spin hoja ya cag kijinga mno! Mataga Kama mnaowalipa buku Saba ni aina hii ya walevi wa mkangafu, Bora muachane nao kwani kwenye vichwa vyao wamejaza mabosi yaani machicha ya ulanzi!
Umeliona hilo la cdm isiyoongoza nchi na ukasahau mabilioni yaliyopigwa na serikali ya ccm! Ccm mjinga kabisa wewe!
Mbona wewe ndio mwenye akili ndogo!

Yani unatetea ujinga kisa kafanya boss wa chama chako?

Utofauti wa ccm na hilo chama lenu ni upi sasa?
 
Naona kuna watu wanashangilia, wizi ni wizi tu......iwe Chauma, Cuf, CCM.........sasa wizi wa Chadema ni wizi kama wizi mwingine tu
 
Mbona wewe ndio mwenye akili ndogo!

Yani unatetea ujinga kisa kafanya boss wa chama chako?

Utofauti wa ccm na hilo chama lenu ni upi sasa?
Ona ulivyo mpumbavu! Yaani Hadi Leo hujui tofauti na mfanano wa ccm na CDM? Toka huko idegenda uje angalau kihesamgagao walikopungua funza!
 
Huyo Fisadi alitokea wapi?
Unaniuliza mie tena mkuu hilo swali wa kumuuliza ni Lissu maana ndio aliyetuambia kuwa huyo jamaa ni fisadi ila baada ya kupiga mpunga wa mzee wa watu et Lissu anatuambia kama Lowassa fisadi mbona hajapelekwa mahakamani? Dah! huwa inaniuma hadi leo hii.
 
Unaniuliza mie tena mkuu hilo swali wa kumuuliza ni Lissu maana ndio aliyetuambia kuwa huyo jamaa ni fisadi ila baada ya kupiga mpunga wa mzee wa watu et Lissu anatuambia kama Lowassa fisadi mbona hajapelekwa mahakamani? Dah! huwa inaniuma hadi leo hii.
Lissu huyo hyuo alisema Raisi kafa kwa hiyo aliyatoa wapi je alikuwa sahihi?
 
Haya na upinzani nao umeingia kwenye kitanzi cha CAG

Bado wana CCM mtasema ripoti ya CAG ni batili?
 
Nchi ya majambazi hii,
Sjui Lisu amshutumu Nani kwanza na amalizie Kwa nani
 
Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?

Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.

Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
Kumbe walinunua si kwamba walisema watanunua wakaacha, walinunua, okay CCM hata haijatumia , ni kuibaaa
 
Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?

Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.

Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
Halafu wafuasi wake wanarukaruka humu kumsema vibaya Dk. Kigwangalla. Kwani wana tofauti gani?
 
Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?

Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.

Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
CAG kawa mchungu sasa....
 
Magari 5 ya CHADEMA ............................................................................................ sh. 227M
Gari 1 la Mkurugenzi wa Halmashauri aliyesamehewa na JPM ...................... sh. 400M
Kwahiyo wizi wa Chadema ni afadhali?
 
Watanzania wacha tusimame Kati Kwa Kati,

Chadema hatuwataki na Ndugai hatumtaki
 
CHADEMA viongozi wake ni Malaika hawakosei,hata mwaka jana kilipata hati chafu.Humu JF ukithubutu kuikosoa CHADEMA watakuandama na kuingia mpaka PM kukutukana (yalishanikuta).

Ikiwa unakosa uamnifu kwa maswala madogo,je utakiwa muaminifu kwa mambo makubwa?

Ngojea tumpongeze Malaika Mbowe,aliye pokea kijiti kutoka kwa mkwe wake.
 
CHADEMA viongozi wake ni Malaika hawakosei,hata mwaka jana kilipata hati chafu.Humu JF ukithubutu kuikosoa CHADEMA watakuandama na kuingia mpaka PM kukutukana (yalishanikuta).

Ikiwa unakosa uamnifu kwa maswala madogo,je utakiwa muaminifu kwa mambo makubwa?

Ngojea tumpongeze Malaika Mbowe,aliye pokea kijiti kutoka kwa mkwe wake.
Hati chafu mwaka jana? Upo serious? Unaweza kuthibitisha huu uongo wako?

Then hapo hakuna pesa imeibwa bali imetumika ila tu hakuna kikao kilikaa kuidhinisha meaning ni bureaucracy tu hazikufuatwa ila bidhaa imenunuliwa na risiti zipo otherwise angetoa hati yenye mashaka.
 
Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?

Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.

Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.

sio ripoti ya kushangaza sana maaana mbowe tushamsema sana uku tukaonekana wanoko!
 
Back
Top Bottom