Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Ndo maana yake kaka we hauoni tuKwa hiyo yuko dubai na akili zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana yake kaka we hauoni tuKwa hiyo yuko dubai na akili zao.
chadema haijawai kumchukulia hatua mwizi yoyote, mbowe kaiba sana lakini hakuna alichofanywaMimi sio Meku na Chadema itashughulikia wezi wake nyie jee?
Magari 5 ya CHADEMA ............................................................................................ sh. 227M
Gari 1 la Mkurugenzi wa Halmashauri aliyesamehewa na JPM ...................... sh. 400M
Magari 5 ya CDM ni million 277 gari Moja ya mkurugenzi 400 million nani fisadi sasa??Chadema na wizi wa ruzuku ni kama mgonjwa na uji!
Chadema haiwezi kununua nyumba sh milioni 50 huko porini.
Sifahamu, magoli yanaingia kwa kasi ila CCM wamerudisha moja...ngapi ngapi hukoo?
Unaambiwa hizo hela zimetumika bila baraza kuu kuhusishwa na manunuzi. Kwa maana hiyo hizo hela zimepigwa juu kwa juu na mwenyekiti akishirikiana na genge lake huku akiwaacha wajumbe wa baraza kuu wakiwa hawajui kinachoendelea. Kwa kuwazuga akawasogezea magari mabovu na banda moja ili ionekane zilitumika kununua hivyo vitu. Hii inaitwa 'fumbo mfumbie mjinga' ila mjanja kama mimi nitang'amua tuSoma report ya CAG vizuri. Miradi mingi imetumia fedha nyingi kuliko ilivyoainishwa kwenye budget.
Hizo pesa za ziada zilienda wapi?
Nakuuliza tena ni chama gani unafikiri kinafaa kukaa madarakani baada ya kuitoa ccm?Hakuna upigaji hapo
Hii coment inaonyesha ukubwa wa elimu yako.Magari 5 ya CDM ni million 277 gari Moja ya mkurugenzi 400 million nani fisadi sasa??
Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinaweza tukipe ridhaa kweni kikiboronga si tunakitoa tuNakuuliza tena ni chama unafikiri kinafaa kukaa madarakani baada ya kuitoa ccm?
Ndio unahalalisha wizi wa Mbowe kwa staili hii?Magari 5 ya CHADEMA ............................................................................................ sh. 227M
Gari 1 la Mkurugenzi wa Halmashauri aliyesamehewa na JPM ...................... sh. 400M
Mwizi gani? anaitwa nani?kaiba nini?chadema haijawai kumchukulia hatua mwizi yoyote, mbowe kaiba sana lakini hakuna alichofanywa
chadema ni mafisadiChama cha Demokrasia na Maendeleo kinaweza tukipe ridhaa kweni kikiboronga si tunakitoa tu
Kwa hiyo ni wapi CAG kasema Mbowe kanyakuwa?Ila kuna unyakuaji?
Mbowe kapata watu jamani
Ufisadi wao nini?chadema ni mafisadi
chadema sio chama ni kikobaSifahamu, magoli yanaingia kwa kasi ila CCM wamerudisha moja.
Kuna unafki kama ule wa kula hela za Lowassa?Sisi huwa tunawajibika na hatunaga unafiki