imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
YaanikeFisadi huyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YaanikeFisadi huyo.
Mkuu mimi nilijua chama kimekufa kama fisiemu walivyokuwa wanasema, kumbe bado kinawapa kiwewe[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]Hii ni kwa mujibu wa ripoti za CAG na hii ni picha kamili kuwa wanachama wa Chadema walishabariki ufisadi wa viongozi wao.View attachment 1747607
Hapanaleo ndiyo unajuwa hili
Manunuzi yamefanyika au hela zimepigwa?Magari matano na nyumba mmoja Serengeti. Chadema wanunue nyumba Serengeti badala ya kununua Dar ili muachane na upangaji?
Ndio maana mwenyekiti kajichimbia Dubai anakula kuku, huku akiwaacha wapambe wake wakichanika midomo kujaribu kuutetea ufisadi wake. Ukiweza kutembea na akili za nyumbu wa ufipa mfukoni kama mwenyekiti ni raha sanaWanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?
Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.
Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
Sasa kamanda kama baraza kuu halikujurishwa hata hizo mali zitakuwepo? Hapo ni upigaji wa hali ya juu.Kitu ambacho mmeshindwa kung'amua hapa ni kuwa huu sio upigaji. Hapo umeeleza kabisa matumizi ya hizo pesa kuwa zilitumika kununua magari, nyumba na kufanyia shughuli nyingine za chama.
Maana yake hizo hela zipo accountable for.
Kosa hapo ni baraza kuu la chama kutohusishwa lakini hakuna hela iliyopigwa, yote imetumika kwa manufaa ya chama.
MATAGA mnahangaika sana.
Kwa hiyo yuko dubai na akili zao.Ndio maana mwenyekiti kajichimbia Dubai anakula kuku, huku akiwaacha wapambe wake wakichanika midomo kujaribu kuutetea ufisadi wake. Ukiweza kutembea na akili za nyumbu wa ufipa mfukoni kama mwenyekiti ni raha sana
The funds are accountable for kwa kuwa vimetajwa vilivyonunuliwa na hayo matumizi mengine.Sasa kamanda kama baraza kuu halikujurishwa hata hizo mali zitakuwepo? Hapo ni upigaji wa hali ya juu.
Kama zile zilizotumika kujenga mahospital, shule, kujenga na kuboresha viwanja vya ndege, barabara za juu na chini, stend za kisasa bila kusahau na hii mpya ya mbezi, bwawa la Nyerere na mengine mengi mazuri ambayo naamini yanafahamika na kuonekanaKitu ambacho mmeshindwa kung'amua hapa ni kuwa huu sio upigaji. Hapo umeeleza kabisa matumizi ya hizo pesa kuwa zilitumika kununua magari, nyumba na kufanyia shughuli nyingine za chama.
Maana yake hizo hela zipo accountable for.
Kosa hapo ni baraza kuu la chama kutohusishwa lakini hakuna hela iliyopigwa, yote imetumika kwa manufaa ya chama.
MATAGA mnahangaika sana.
Kama baraza halikuhusishwa, tutajuaje "there is value for money". Hayo magari matano sijui ni mgari gani na ni mapya au used. Je, ilitangazwa tenda ya manunuzi au ni mjanja mmopja alipatana na wauzaji kwa bei ya kuruka na tofauti ikaingia mfukoni kwa katibu mkuu na mwenyekiti.Kitu ambacho mmeshindwa kung'amua hapa ni kuwa huu sio upigaji. Hapo umeeleza kabisa matumizi ya hizo pesa kuwa zilitumika kununua magari, nyumba na kufanyia shughuli nyingine za chama.
Maana yake hizo hela zipo accountable for.
Kosa hapo ni baraza kuu la chama kutohusishwa lakini hakuna hela iliyopigwa, yote imetumika kwa manufaa ya chama.
MATAGA mnahangaika sana.
Wizi ni matokeo ya ubinafsi. Binadamu woooote, na mimi nikiwa mmoja wapo, wana mentality ya ubinafsi ndio maana hata ukimnunulia mtoto wako baiskweli au mdoli baada ya masaa kadhaa ukimuomba kwa masihara atakataa kukupa ilhali pesa ya kununulia ulitoa wewe mwenyewe.Hii nchi kila kona ni wizi mtupu!
Soma report ya CAG vizuri. Miradi mingi imetumia fedha nyingi kuliko ilivyoainishwa kwenye budget.Kama zile zilizotumika kujenga mahospital, shule, kujenga na kuboresha viwanja vya ndege, barabara za juu na chini, stend za kisasa bila kusahau na hii mpya ya mbezi, bwawa la Nyerere na mengine mengi mazuri ambayo naamini yanafahamika na kuonekana
Rudisheni hela za wananchi mataga.Kama baraza halikuhusishwa, tutajuaje "there is value for money". Hayo magari matano sijui ni mgari gani na ni mapya au used. Je, ilitangazwa tenda ya manunuzi au ni mjanja mmopja alipatana na wauzaji kwa bei ya kuruka na tofauti ikaingia mfukoni kwa katibu mkuu na mwenyekiti.
Meku chadema inanuka wiziHakuna upigaji hapo
Chadema chama cha majiziTwo wrongs don't make a right.
Mimi sio Meku na Chadema itashughulikia wezi wake nyie jee?Meku chadema inanuka wizi
Kineumana meku chadema ni wezi wa mchana kweupeMkuu mimi nilijua chama kimekufa kama fisiemu walivyokuwa wanasema, kumbe bado kinawapa kiwewe[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]