Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Bora CCM kuna wahizi..Chadema ikipata nchi itakuwa chama cha majambazai na majangili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama mlinunua paso??Magari 5 ya CHADEMA ............................................................................................ sh. 227M
Gari 1 la Mkurugenzi wa Halmashauri aliyesamehewa na JPM ...................... sh. 400M
Hapa Slowslow anahitajika na zile hesabu zake za madiagram. 😂Magari 5 ya CHADEMA ............................................................................................ sh. 227M
Gari 1 la Mkurugenzi wa Halmashauri aliyesamehewa na JPM ...................... sh. 400M
Na mwendazake ni kubwa la maaduikumpe kwenye maswali ya hela serikali inatambua chadema ila kisiasa wapinzani hawana nafasi ,hii ni kali🙂
Mmepata kichaka cha kujambiaAhaaaa, wanatia ukakasi.
Risiti za Manunuzi zipo, zilizokiukwa ni taratibu za ndani ya Chama ambazo watakaobainika hatua za kinidhamu zitachukuliwa.Kuna uhamishaji pesa.
Sisi huwa tunawajibika na hatunaga unafikiAhaaa, acha kupoza moto kijanja.
Wawajibike! Tafadhali lete na report ya matumizi ya CCM hapa, usilete habar nusunusu hapa.Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?
Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.
Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
Two wrongs don't make a right.Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?
Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.
Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
Ngoja tusikize na upande wa pili mimi sio mataga wa kutetea na kusifu hata kama ni uharo mbichi.Unataka kutukumbusha machungu?
Ngoja Jemadari Mnyika aungurumeAhaaa, basi tulia.
leo ndiyo unajuwa hiliSwala la ubadhirifu halina chama, yeyote aliefanya ubadhirifu awe chadema au ccm achukuliwe hatua