IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,505
- 5,343
Mtimueni Mbowe sasa tujue kweli mko seriuos.Two wrongs don't make a right.
Yule taahira wa ubelegiji kwenye hili utakuta yupo kimyaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtimueni Mbowe sasa tujue kweli mko seriuos.Two wrongs don't make a right.
Mnyika si ndio mlaji mwenyeweNgoja Jemadari Mnyika aungurume
Lowassa kakuambia?Kuna unafki kama ule wa kula hela za Lowassa?
Mnyika kala nini?Mnyika si ndio mlaji mwenyewe
Sasa hivi chadema ipo madarakani kupitia Samia ila ccm ilikufa na Magufuli au hujaona hilo? Hujona wenzio wanavyoshangilia mama samia kwamba inainua maovu ya ccm kupitia CAG?Mkuu mimi nilijua chama kimekufa kama fisiemu walivyokuwa wanasema, kumbe bado kinawapa kiwewe[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Ahaaa.. Misukule ya Mbowe!Kitu ambacho mmeshindwa kung'amua hapa ni kuwa huu sio upigaji. Hapo umeeleza kabisa matumizi ya hizo pesa kuwa zilitumika kununua magari, nyumba na kufanyia shughuli nyingine za chama.
Maana yake hizo hela zipo accountable for.
Kosa hapo ni baraza kuu la chama kutohusishwa lakini hakuna hela iliyopigwa, yote imetumika kwa manufaa ya chama.
MATAGA mnahangaika sana.
Sasa si kwa sababu umemuomba kwa masihara ila ukiomba serious anakupa...😄😄Wizi ni matokeo ya ubinafsi. Binadamu woooote, na mimi nikiwa mmoja wapo, wana mentality ya ubinafsi ndio maana hata ukimnunulia mtoto wako baiskweli au mdoli baada ya masaa kadhaa ukimuomba kwa masihara atakataa kukupa ilhali pesa ya kununulia ulitoa wewe mwenyewe.
Kwahiyo wizi wa chadema ni safi?Magari 5 ya CDM ni million 277 gari Moja ya mkurugenzi 400 million nani fisadi sasa??
Asee dunia haiishiwi maajabuMagari 5 ya CHADEMA ............................................................................................ sh. 227M
Gari 1 la Mkurugenzi wa Halmashauri aliyesamehewa na JPM ...................... sh. 400M
Haha ucha utoto wewe,huu mwaka wa ngapi hadi sasa mnaangaika kuitoa ccm halafu CDM ikibolonga tunakitoa kwa baada ya miaka mingapi tena? Kwanza kwanini unafikiri Chadema inafaa hebu nipe sababu za msingi.Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinaweza tukipe ridhaa kweni kikiboronga si tunakitoa tu
Hivi wewe ni mwanchama wa cdm? I'd yako ya uanachama ni mamba ngapi vile?Wanatia wasiwasi hawa watu hata kabla ya kupewa nchi wanafanya ubadhilifu wa namna hii?
Chadema kilinunua magari matano yenye thamani ya Sh. 227.43 milioni na nyumba moja Sh. 50 milioni iliyopo Serengeti bila idhini ya Baraza Kuu la Chama.
Pia, Sh.100 milioni zilitumika kwenye matumizi ya kawaida ya chama bila ya idhini ya baraza kuu la chama.
Kwahiyo na Mbowe ni hakali yake ama siyo? Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake! Basi sawa.CCM mlifanya ubadhirifu wa kiasi gani ndio mkapewa nchi?
Hii ripoti ya CAG ina walakin. Kwanza, kwenye summary yasema wamepata hati safi. Je hii ni safi? Pili, vitimaalum walilalamika kwamba stahiki zao za kupunguziwa kodi kama wabunge zilitumika visivyo, yaani magari siyo yao ni ya chama au ya "wakubwa". Je, hii ni kweli? Nakumbuka waliburutwa TAKUKURU kundi zina kwa kughushi misamaha ya kodi, je, imeishaishaje?Chadema na wizi wa ruzuku ni kama mgonjwa na uji!
Chadema haiwezi kununua nyumba sh milioni 50 huko porini.
Kwa ile gear iliyobadilishwa angani bado tu unasubiri uambiwe? Yani Mbowe hana akili akamchukue fisadi kumfanya kuwa mgombea wake?Lowassa kakuambia?
Na wewe leta sababu za kwanini ccm ni wezi wa Kodi za wananchi?Haha ucha utoto wewe,huu mwaka wa ngapi hadi sasa mnaangaika kuitoa ccm halafu CDM ikibolonga tunakitoa kwa baada ya miaka mingapi tena? Kwanza kwanini unafikiri Chadema inafaa hebu nipe sababu za msingi.
Kwani hapa tunaongelea nini?Mnyika kala nini?
Ccm kwa sasa inatumia nguvu ya Dola kama inataka ushindani uache kutumia mabavu.Haha ucha utoto wewe,huu mwaka wa ngapi hadi sasa mnaangaika kuitoa ccm halafu CDM ikibolonga tunakitoa kwa baada ya miaka mingapi tena? Kwanza kwanini unafikiri Chadema inafaa hebu nipe sababu za msingi.
Saccos ya mwenyekiti mtukufu.Chadema na wizi wa ruzuku ni kama mgonjwa na uji!
Chadema haiwezi kununua nyumba sh milioni 50 huko porini.