Ripoti ya CAG imefichua madudu mengi ya awamu ya tano, kulikuwa na ufisadi wa kutisha


Babu Tale aka Building Financier ndio anaenda kuchambua ripoti ya CAG ,Aisee JIWE alikuwa halitakii mema hili TAIFA.
 
Hakuna KITU kibaya Kama KUDHULUMU KULA HALALI ZA WAJANE,WAZEE NA WAMAMA,UKAZIGEUZA JUU CHINI...ZIKAWA ZAKO USIZOZISTAHILI...hi laana ITAKUTAFUNA MPAKA KIZAZI CHAKO CHA 7..TUTAENDELEA KUONA MENGI KABLA YA 40
 
Nimekuelewa
 
Ndugai kaanza kutumia ubongo?
 
Swali zuri sanaaa, una akili mno unless unajua ninachokijua ila itoshe kusema kuna mambo hayatoweza kutangazwa itakuwa fedheha kubwa mnoo.
 
Atahukumiwa siku ya mwisho kulingana na matendo yake.
 
Tatizo hizi taarifa asingezipata... maana kwake, yeyote aliyekuwa anamkosoa au anamueleza mabaya yake au ya watendaji wake alikuwa adui yake... Kuna wakati ofisi zingine zinazotajwa kuwa na makorokocho leo, ZILIHAMISHIWA IKULU... na huko tunajua CAG haingii
 
Swali zuri sanaaa, una akili mno unless unajua ninachokijua ila itoshe kusema kuna mambo hayatoweza kutangazwa itakuwa fedheha kubwa mnoo.
Statement kama hii, wakati wa yale makashfa (Nadhani wakati anaongelea MEREMETA) Pinda akiwa PM, alishawahi itoa ... kwamba kuna watu hawagusiki
 
Labda zipo kwa wachache kwenye masandarusi na mandoo huko majumbani... Au zipo benki za nje
 
Ulishawahi sikia report zingine za CAG au hii ndio ya kwanza?
Report hii ni peculiar kwakuwa ni ya shujaa wa Africa anayemtanguliza mungu Mbere! Halafu alishasema haibiwi! Imetushangaza sana
 
Wakati madudu haya yanatendeka alikuwa wapi? Mbona hakusikiliza hoja za wapinzani? Aache kujipendekeza kwa SSH. Kilangila.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…