King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hadi ripoti ya CAG inafika bungeni ni kwamba kila mhusika ameshapewa nafasi ya kutoa maelezo na utetezi wake sehemu alipohitajika kufanya hivyo. CAG kashamaliza kazi, sasa ni kazi ya bunge la kina Musukuma, Gwajima, Babu Tale, Kibajaji n.k kuziwajibisha hizo taasisi.
Babu Tale aka Building Financier ndio anaenda kuchambua ripoti ya CAG ,Aisee JIWE alikuwa halitakii mema hili TAIFA.