Ripoti ya CAG imefichua madudu mengi ya awamu ya tano, kulikuwa na ufisadi wa kutisha

Ripoti ya CAG ni sawa na repoti ya matokeo ya final exams
Sio wote wanapata A, B, C wapo pia wa D, E....... na yote hayo ni matokeo

Tusubiri hati safi na chafu tujue wale walioPass na walioDisco
Unashangaza sana, matokeo ya mitihani na wizi wa mali ya umma ni vitu viwili tofauti, ccm mnajitoa ufahamu hata kwenye mambo ya msingi yanayohusu maslahi ya Taifa
 
Labda utafute ya mwaka 2015 au kabla yake. Zote kuanzia 2016 zinaonesha mambo ni shwari. Mamiradi tu yanatekelezwa masgr, JNHP, n.k si unajua tena serikali ya kiongozi wa Malaika[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] mr perfect...malaika mkuu
 
Unashangaza sana, matokeo ya mitihani na wizi wa mali ya umma ni vitu viwili tofauti, ccm mnajitoa ufahamu hata kwenye mambo ya msingi yanayohusu maslahi ya Taifa
Unashangaza wewe usiyejua ukaguzi lazima uje na matokeo
 
Nchi bila kuweka sheria kali za kuwadhibiti wezi wizi hautokwisha hata aje nani kungoza, pia mfumo wetu ubadilike
 
Tena huko TRC huko sijui tu..
 
Au wewe ndie Bwana fulan wa kule Twittan?😁😁😁
 
Unashangaza wewe usiyejua ukaguzi lazima uje na matokeo
Kwa lugha nyingine kwa sababu ukaguzi lazima uje na matokeo basi haijalishi hayo matokeo ni ya namna gani, ifike mahali kila sekta iwe na hati safi, kila mwaka ubadhirifu unaongezeka na hakuna anaewajibishwa halafu tunatiana moyo kwamba hii ni sawa na mtihani
 
Ndio tusubiri hizo hati safi na chafu wahusika wawajibishwee
 
dada/mama huwa nakuheshimu sana lakini leo umeniangusha. tuzungumze kwa mustakabli mkubwa wa serikali yetu tuache maswala ya uchama.
Ripoti ya CAG ni sawa na repoti ya matokeo ya final exams
Sio wote wanapata A, B, C wapo pia wa D, E....... na yote hayo ni matokeo

Tusubiri hati safi na chafu tujue wale walioPass na walioDisco
 
Mataga na waimba mapambio hawana kwa kuweka sura zao maana walijiona wazalendo kuunga juhudi kila kitu

mataga hawawezi kuficha sura maana maendeleo ya vitu mliyobwabwaja si kipaumbele yapo.


tatizo ni pale ufisadi utakapokuwepo na hivyo visionekane.ndio mtajua mataga hawajawahi kuwa watu wabaya,ni ujinga wenu tu.
 
dada/mama huwa nakuheshimu sana lakini leo umeniangusha. tuzungumze kwa mustakabli mkubwa wa serikali yetu tuache maswala ya uchama.
Ndio tusubiri hati safi na chafu
Waliochafua wawajibike na kuwajibishwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…