Ripoti ya CAG juu ya kutohuisha upembuzi yakinifu mradi wa JNHPP ni upotoshaji mkubwa, kuna uwezekano CAG anatumika kisiasa

Ripoti ya CAG juu ya kutohuisha upembuzi yakinifu mradi wa JNHPP ni upotoshaji mkubwa, kuna uwezekano CAG anatumika kisiasa

CCM inapasuka vipande vipande.

Ukifuatilia malumbano huku mitandaoni utadhani ni kati ya chama tawala na upinzani, asilimia kubwa ni ccm wenyewe kwa wenyewe.

Upinzani wangekuwa smart wakatumia huu mwanya 2025 wangechukua nchi.
CCM haiwezi kkupasuka! Hawa CHAWA aka "Sukuma Gang" ni kikundi kidogo sana mitandaoni na hakina mashiko wala mizizi ndani ya chama. 2025 watakuwa wamezima kama moto wa makaratasi, na hili wanalijua wazi. Nafasi walizonazo walizipata kwa kubebwa na mfalume wao. Sasa amekufa, wanatapatapa mitandaoni kutaka kuuaminisha umma kuwa wanaweza kuitikisa CCM. JPM alivurunda, hilo liko wazi na kadri wanavyojaribu kumsafisha ndo wanamchafua zaidi. Watulie SSH aijenge nchi.
 
Najua upembuzi yakinifu Ni feasibility study..mi nimesoma mambo ya miradi hivyo usitake kunifundisha vitu usivyovijua. Tunajua kabisa upembuzi yakinifu uliofanywa na Mashirika makubwa ulionyesha uharibifu utakaofanywa na huo mradi Ni sawa na kukata miti eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam na ripot hiyo ilikataliwa na Jiwe akisema Ni wa mabeberu..na akaenda kumchukua professor uchwara hapo UD ili aandike kitu kinachomfurahisha
Ahaaa, nafikiri umeamua kuhamisha magoli, kwa hiyo sasa hivi miti ya ukubwa wa eneo la Dar es salaam imekatwa? Jikite kwenye mada, je vipengele muhimu havikuhuishwa?
 
Ukiisoma kwa umakini ripoti ya CAG miradi ya maendeleo ukurasa wa 98 utagundua kuwa kuna upotoshaji mkubwa kuwa upembuzi yakinifu haukuhuishwakabisa na hivyo data zinazotumika kutekeleza huu mradi ni za mwaka 1970 na mwaka 1980. Jambo ambalo sio kweli.

Huu mradi unaosimamiwa na TANESCO kupitia kitengo chake cha ushauri wa kihandisi una umuhimu kwa taifa letu.

Ni kweli upembuzi yakinifu ulifanyika mwaka 1970 na ule wa utalaamu wa kiufundi ulifanyika mwaka 1980. Kampuni ya Ms Norconsult na M s Norplan zote za Norway.

Lakini taarifa aliyotoa CAG kuwa upembuzi yakinifu haukuhuishwa na sasa watu wanajua ule wa mwaka 1970 na 1980 unatumika sio kweli.

Kwa mujibu wa ripoti ya CAG huu mradi unatakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria ya umeme ya mwaka 2008, sheria usimamizi vyanzo vya maji ya mwaka 2009 na sheria ya mazingira ya mwaka 2004. Hivyo kuutekeleza bila kuhuisha upembuzi yakinifu ilikuwa ni vigumu.

Kwa uharaka wa mradi wenyewe vipengere muhimu vya upembuzi yakinifu kama, tathimini ya mazingira,usanifu wa kiufundi,utafiti wa kitaamamu na ufanisi wa miamba ulihuishwa. Hivyo vipengere vingine kama umuhimu wa kiuchumi na uwezo wa kutekelezeka vilibaki kama awali sababu ni mambo ambayo yanaonekana kuwa yapo vilevile. Hii ipo ukurasa wa 98 wa ripoti ya CAG miradi ya mendeleo.

Kwa mantiki hii hivi inaingia akilini kuwa watalaamu wa CAG mlienda kufanya ukaguzi na kudai kuwa kwa sababu upembuzi yakinifu wote haukuhuishwa kwa vipengele vyote hivyo huu mradi hauwezi kutekelezeka?

Yaani kwa akili ya kawaida mnataka kampuni ipewe kazi ya kufanya feasibility study kujua kama maji yatatosha kuzalisha umeme mto rufiji? Kwamba huu mradi una umuhimu gani kwa uchumi wa taifa letu?

Hata kama ni fitina za kisiasa muwe na aibu.
Toka mwaka 1970 hadi sasa Kuna mabadiliko mengi ambayo yangeweza kuathiri mradi na nitatoa michache.
1) Ujenzi wa mabwawa ya mtera na kidatu kwenye mto Ruaha
2) Ujenzi wa miradi mikubwa ya umwagiliaji ya Kapunga, Mbarali na Madubira.
3)Uvamizi wa bonde la Kilombero na wafugaji iliyosababisha upungufu wa maji
4) Ongezeko kubwa la wakazi katika bonde la Kilombero lililoambatana na ongezeko la mahitaji ya maji
5) Miradi midogomidogo ya umwagiliaji na ule wa shamba la kotaco bonde la mti Kilombero
Kwa kuzingatia hayo hakika kulikuwa na haja kubwa kuhaulisha mradi kabla ya kuanza. Haraka ilikuwa ya nini kuanza mradi unaotumia hela nyingi hivyo bila ya kuzingatia hayo mabadiliko?
 
Toka mwaka 1970 hadi sasa Kuna mabadiliko mengi ambayo yangeweza kuathiri mradi na nitatoa michache.
1) Ujenzi wa mabwawa ya mtera na kidatu kwenye mto Ruaha
2) Ujenzi wa miradi mikubwa ya umwagiliaji ya Kapunga, Mbarali na Madubira.
3)Uvamizi wa bonde la Kilombero na wafugaji iliyosababisha upungufu wa maji
4) Ongezeko kubwa la wakazi katika bonde la Kilombero lililoambatana na ongezeko la mahitaji ya maji
5) Miradi midogomidogo ya umwagiliaji na ule wa shamba la kotaco bonde la mti Kilombero
Kwa kuzingatia hayo hakika kulikuwa na haja kubwa kuhaulisha mradi kabla ya kuanza. Haraka ilikuwa ya nini kuanza mradi unaotumia hela nyingi hivyo bila ya kuzingatia hayo mabadiliko?
Bora usingechangia unaharibu muda wako na bando lako
 
Nimeisha kujibu, unataka nikujibu tena Nini.. 1. nimekwambia kipengele cha gharama kufanya mradi Ni za miaka 50 iliyopita 2. Upatikanaji wa maji wa kuendesha mradi ni wa miaka 50 iliyopita. Sasa unawezaje ukafanya mradi ukitegemea data za miaka 50 iliyopita katika mambo muhimu kiasi hicho.. hivi Magu aliwapumbaza kiasi gani hadi hamuoni ukweli ulio wazi kuwa hivyo vitu ambavyo ameacha kufanya hapo juu ndo muhimu zaidi!
Ahaaa, nafikiri umeamua kuhamisha magoli, kwa hiyo sasa hivi miti ya ukubwa wa eneo la Dar es salaam imekatwa? Jikite kwenye mada, je vipengele muhimu havikuhuishwa
 
Msitake mniaminishe kuwa baada ya msiba tarehe 25/3 CAG kaanda ripot ndani ya masaa 48 ndio kaibua ripot ndefu hivi.
 
Wasukuma msahau tena nafasi za juu kwenye nchi hii,,mwendazake kawaharibia,, Twende Na Samia hadi #2045___utaki hama Nchi"
Dada mbona mimi mchimba dhahabu mdogo, nipo Segese Kahama, usidhani kila mtu mpuuzi kama wewe unaetafuta mabwana
 
Nimeisha kujibu, unataka nikujibu tena Nini.. 1. nimekwambia kipengele cha gharama kufanya mradi Ni za miaka 50 iliyopita 2. Upatikanaji wa maji wa kuendesha mradi ni wa miaka 50 iliyopita. Sasa unawezaje ukafanya mradi ukitegemea data za miaka 50 iliyopita katika mambo muhimu kiasi hicho.. hivi Magu aliwapumbaza kiasi gani hadi hamuoni ukweli ulio wazi kuwa hivyo vitu ambavyo ameacha kufanya hapo juu ndo muhimu zaidi!
Iyo misukule ya Magu, mwenzao mwendazake saiz anachezea marungu ya utosi kwa kukatisha uhai wa kina Azory gwanda na wengi wengineo
 
Kasome ripoti ya CAG miradi ya mendeleo ukurasa wa 98.

Mkuu unatumia nguvu kubwa kumtetea poti...lakini hujaweka hata fact moja mbadala. Utafiti hupingwa kwa utafiti. Kiufupi umeandika kama typical politician. This lowers your credibility.
 
Nimeisha kujibu, unataka nikujibu tena Nini.. 1. nimekwambia kipengele cha gharama kufanya mradi Ni za miaka 50 iliyopita 2. Upatikanaji wa maji wa kuendesha mradi ni wa miaka 50 iliyopita. Sasa unawezaje ukafanya mradi ukitegemea data za miaka 50 iliyopita katika mambo muhimu kiasi hicho.. hivi Magu aliwapumbaza kiasi gani hadi hamuoni ukweli ulio wazi kuwa hivyo vitu ambavyo ameacha kufanya hapo juu ndo muhimu zaidi!
Kila mwaka mto rufiji unafurika mpaka watu wanahama makazi yao, sasa kwa akili yako ndodo sijui lini trend ya upatikanaji maji imepungua. Kukosa elimu ni janga kubwa sana hapa Tanzania
 
Ukiisoma kwa umakini ripoti ya CAG miradi ya maendeleo ukurasa wa 98 utagundua kuwa kuna upotoshaji mkubwa kuwa upembuzi yakinifu haukuhuishwakabisa na hivyo data zinazotumika kutekeleza huu mradi ni za mwaka 1970 na mwaka 1980. Jambo ambalo sio kweli.

Huu mradi unaosimamiwa na TANESCO kupitia kitengo chake cha ushauri wa kihandisi una umuhimu kwa taifa letu.

Ni kweli upembuzi yakinifu ulifanyika mwaka 1970 na ule wa utalaamu wa kiufundi ulifanyika mwaka 1980. Kampuni ya Ms Norconsult na M s Norplan zote za Norway.

Lakini taarifa aliyotoa CAG kuwa upembuzi yakinifu haukuhuishwa na sasa watu wanajua ule wa mwaka 1970 na 1980 unatumika sio kweli.

Kwa mujibu wa ripoti ya CAG huu mradi unatakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia sheria ya umeme ya mwaka 2008, sheria usimamizi vyanzo vya maji ya mwaka 2009 na sheria ya mazingira ya mwaka 2004. Hivyo kuutekeleza bila kuhuisha upembuzi yakinifu ilikuwa ni vigumu.

Kwa uharaka wa mradi wenyewe vipengere muhimu vya upembuzi yakinifu kama, tathimini ya mazingira,usanifu wa kiufundi,utafiti wa kitaamamu na ufanisi wa miamba ulihuishwa. Hivyo vipengere vingine kama umuhimu wa kiuchumi na uwezo wa kutekelezeka vilibaki kama awali sababu ni mambo ambayo yanaonekana kuwa yapo vilevile. Hii ipo ukurasa wa 98 wa ripoti ya CAG miradi ya mendeleo.

Kwa mantiki hii hivi inaingia akilini kuwa watalaamu wa CAG mlienda kufanya ukaguzi na kudai kuwa kwa sababu upembuzi yakinifu wote haukuhuishwa kwa vipengele vyote hivyo huu mradi hauwezi kutekelezeka?

Yaani kwa akili ya kawaida mnataka kampuni ipewe kazi ya kufanya feasibility study kujua kama maji yatatosha kuzalisha umeme mto rufiji? Kwamba huu mradi una umuhimu gani kwa uchumi wa taifa letu?

Hata kama ni fitina za kisiasa muwe na aibu.
Report ya CAG iliishiaga wapi???
 
Kila mwaka mto rufiji unafurika mpaka watu wanahama makazi yao, sasa kwa akili yako ndodo sijui lini trend ya upatikanaji maji imepungua. Kukosa elimu ni janga kubwa sana hapa Tanzania
naona blah blah. leta data zinazoonyesha maji hujaa mto rufiji kila mwaka mpaka watu wanahama?
with document kabisa
 
Mkuu unatumia nguvu kubwa kumtetea poti...lakini hujaweka hata fact moja mbadala. Utafiti hupingwa kwa utafiti. Kiufupi umeandika kama typical politician. This lowers your credibility.
Unataka utafiti gani kama vipengele muhimu vilihuishwa? Tatizo lenu mnadanganywa kwa kuwa hamjui nini maana ya upembuzi yakinifu na kufanya updating. Kwani huu mradi ni mali ya hayati JPM? Huu mradi ni mali ya watanzania.
 
Kila mwaka mto rufiji unafurika mpaka watu wanahama makazi yao, sasa kwa akili yako ndodo sijui lini trend ya upatikanaji maji imepungua. Kukosa elimu ni janga kubwa sana hapa Tanzania
Sasa hapa wewe ndo unaleta feasibility study yako uliyofanya binafsi baada ya kushindwa hoja au unataka kuniambia jina la kampuni iliyofanya feasibility study ya upatikanaji wa maji na gharama za mradi? Mbona kama umevurugwa baada ya kushindwa hoja😂😂😂
 
Nimeisha kujibu, unataka nikujibu tena Nini.. 1. nimekwambia kipengele cha gharama kufanya mradi Ni za miaka 50 iliyopita 2. Upatikanaji wa maji wa kuendesha mradi ni wa miaka 50 iliyopita. Sasa unawezaje ukafanya mradi ukitegemea data za miaka 50 iliyopita katika mambo muhimu kiasi hicho.. hivi Magu aliwapumbaza kiasi gani hadi hamuoni ukweli ulio wazi kuwa hivyo vitu ambavyo ameacha kufanya hapo juu ndo muhimu zaidi!

CAG kuna makosa kafanya kwani siye pekee anaye kagua pekeyake nchi nzima kuna watu chini yake wanaweza kuwa vibaraka hivi kwa akili ndogo ukisema gharama za mradi ni za miaka 50 unajua pesa yake ilikuwa mgapi na sasa ni ngapi inalipwa vipo sawa kweli ?
 
Niulize tu, hivi mbona hatusomi chochote kuhusu report ya CAG kutoka ofisi mbili, ofisi ya makamu wa raisi na ofisi ya waziri wa fedha?

Kwamba ofiri aliyokuwepo SSH ilikuwa safi au ofisi aliyokuwepo mpango ilikuwa safi? Nchi ngumu sana hii.
Ofisi yake haina chochote zaid ya kero za muungano na Mazingira.vitu vyote vya Hela mwendazake aliviweka chin yake.Ni Mara ngapi mama ameomba kujiudhuru Ili amuachie serikali yake lakn wenye busara wakamuambia subir
 
Back
Top Bottom