Ripoti ya CAG juu ya kutohuisha upembuzi yakinifu mradi wa JNHPP ni upotoshaji mkubwa, kuna uwezekano CAG anatumika kisiasa

Miradi ya Mazingira iliyotajwa ilikuwa Ofisi ya Zimamoto.
Mbona hawaulizi ilipo ripoti ya ofisi ya Magufuli kama kweli CAG alikuwa na nia ya kumchafua Malaika wao?
jamaa wameonesha udhaifu mkubwa sana wa kupima na kuchanganua mambo, ni tanzania pekee CAG haaminiki...
 
Wanajaribu kuvunja legacy yote ya Hayati lakini inawabidi wajipange sana.

Wanautaka umeme wa gas ambao unit moja ni karibu shilingi 150 ili biashara zao ziweze kufanikiwa.

Rais Samia ajipange vizuri ili aweze kusimamia ile ahadi ya kuhakikisha urithi wa waliomtangulia unakwenda kuifaidisha Tanzania ya kesho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…