Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MOST WANTED
View attachment 1079
WATAJWA HAPO JUU NI WATUHUMIWA WA UFUJAJI WA MABILIONI YA PESA ZA WATANZANIA KWA KUTUMIA KAMPUNI HEWA.YEYOTE MWENYE TAARIFA ZITAKAZO SAIDIA KUKAMATWA KWAO ANAOMBWA KUTOA TAAFIRA MARA MOJA KWA WATANZANIA
mpaka kieleweke,
Unajua duniani kuna mengi- pia kuna kulipiza visasi, kukumoana, au to represent reality!
Kwa hiyo hii reporti yawezekana kuna mengine yamefichika- sisi hatujui! Unajua ni mara ya kwanza kupata ripoti kama hii tena toka Mwkiti wa kamati akiwa mwana CCM!
Pia yawezekana Mwakyembe amesema ukweli kama inavyopasa! I just want to look into the matter in a larger picture!
Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi wamesema kamati hiyo haikuwatendea haki kwa kuwa haikuwapa nafasi ya kutoa maoni yao kama Watanzania wengine. Akizungumza na Mwananchi jana mara baada ya ripoti hiyo kusomwa Bungeni, Waziri Karamagi alisema anasikitishwa na Kamati hiyo kwani haikumtendea haki kwa kuwa haikumpa nafasi ya kumuita na kumuhoji juu ya ufisadi huo hivyo Kamati hiyo ilitoa matokeo yake kwa hisia tu.
Napenda kuwa taarifu kwamba baada ya kile kikao cha kwanza kumalizika sasa kikao cha Wabunge wote wa CCM ndiyo kimeanza . Kimya kimetawala hofu imetanda . Kikao kina anza bila ya waziri Mkuu kuwepo Ukumbini . Habari nilizo nazo na za uhakika kwamba Lowasa kaitwa Ikulu na hatujui nini kinaendelea huko Ikulu .Nitaendelea kuwapa maendeleo ama mwana JF mwingine tafadhali tupe yanayo jiri kama una habari ama upo hapa Dodoma kama mimi .
Kaitwa Ikulu Dar au Chamwino? maana nilisikia muungwana yupo Dom
Spika wa Bunge ilibidi kuingilia kati na kusema kuwa kwa taratibu za Bunge hoja inapaswa kuwasilishwa kwa muda wa saa moja hivyo kama wanataka hoja hiyo iendelee ni lazima wabadili kanuni za Bunge hilo ambapo hata hivyo taratibu zinaruhusu kuongezwa kwa dakika 30 pekee.
Dk Willibrod Slaa aliomba muongozo wa Spika na kutaka hoja hiyo iendelee kwakusema kuwa
Waziri Karamagi alalamika kamati ya Richmond haikumtendea haki
Alisema wanachotakiwa kukifanya wabunge, ni kutumia sasa mamlaka yao kufuta ajira ya Lowassa waliyoithibitisha baada ya rais kuwasilisha jina lake bungeni.Vilevile alishauri wote waliohusika na kashfa ya Richmond wafikishwe mahakamani haraka iwezekanavyo ili kudhibiti wasitoroke nchini, ikiwa ni pamoja na kutaifisha mali zao
mwanachi
mzeee lunyungu hata mie mzee mwenzio nnaomba uniwie radhi ni kweli kikao hakiongozwi na mzee ambaye mnamwita mimvi
nisameheeee eeh mzee mwenzangu ukija zenji nitakuchunjia bata si unampenda(jokes)
Napenda kuwa taarifu kwamba baada ya kile kikao cha kwanza kumalizika sasa kikao cha Wabunge wote wa CCM ndiyo kimeanza . Kimya kimetawala hofu imetanda . Kikao kina anza bila ya waziri Mkuu kuwepo Ukumbini . Habari nilizo nazo na za uhakika kwamba Lowasa kaitwa Ikulu na hatujui nini kinaendelea huko Ikulu .Nitaendelea kuwapa maendeleo ama mwana JF mwingine tafadhali tupe yanayo jiri kama una habari ama upo hapa Dodoma kama mimi .