Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Huu ndio ushauri wangu, vinginevyo ubadhirifu huu wa kila mwaka hautaishi kwani wanajua hata wakituhumiwa, hakuna kitachofanyika, na kama ni kuchukua hatua basi, itategemea na utashi wa Raisi.
Binafsi siku hizi sina hata hamu tena ya kufuatilia ripoti za CAG kwasababu naona ni kama kutufanya watanzania wajinga kwani tuhuma huibuliwa kila mwaka huku hakuna jambo serious linalofanyika iwe ni kufanya uchunguzi, watu kusimamishwa kazi au kufanya special auditing katika maeneo yanayotajwa hasa yale yanayohusu ubadhirifu mkubwa au uhujumu uchumi.
Ripoti teyari zinaonyesha madudu,halafu vyombo kama TAKUKURU vinasubiri Raisi au Makama Mwenyekiti wa CCM Bara atoe tamko ndio hatua zichukuliwe!! Bora hizi ripoti wasitusomee na wakae nazo, na kama ni kutosomea, basi watusomee tukishapata Tume Huru ili wananchi waje wachukue hatua uchaguzi unapofika kwa kuondoa watawala au chama kinacholea ufisadi.
Tusichoshane, teyari inflation inatutesa, hivyo msituongezee mauzauza. Kaeni na maripoti yenu.
Binafsi siku hizi sina hata hamu tena ya kufuatilia ripoti za CAG kwasababu naona ni kama kutufanya watanzania wajinga kwani tuhuma huibuliwa kila mwaka huku hakuna jambo serious linalofanyika iwe ni kufanya uchunguzi, watu kusimamishwa kazi au kufanya special auditing katika maeneo yanayotajwa hasa yale yanayohusu ubadhirifu mkubwa au uhujumu uchumi.
Ripoti teyari zinaonyesha madudu,halafu vyombo kama TAKUKURU vinasubiri Raisi au Makama Mwenyekiti wa CCM Bara atoe tamko ndio hatua zichukuliwe!! Bora hizi ripoti wasitusomee na wakae nazo, na kama ni kutosomea, basi watusomee tukishapata Tume Huru ili wananchi waje wachukue hatua uchaguzi unapofika kwa kuondoa watawala au chama kinacholea ufisadi.
Tusichoshane, teyari inflation inatutesa, hivyo msituongezee mauzauza. Kaeni na maripoti yenu.