Risasi ikipigwa juu angani inaweza kudhuru mtu ikishuka? Bunduki inaweza kupiga risasi na kudhuru kwa umbali gani?

Risasi ikipigwa juu angani inaweza kudhuru mtu ikishuka? Bunduki inaweza kupiga risasi na kudhuru kwa umbali gani?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Wakuu, wale wanaopiga risasi angani wakati wa sherehe au kutisha watu. Je, risasi hizo zinaweza safiri umbali gani angani? Wakati wa kushuka zinaweza kumdhuru mtu, na risasi inayopigwa horizontally inaweza kusafiri umbali gani na kudhuru mtu?
 
Kila silaha ina renji tofauti ya umbali, lakini kwa ufupi tu ni kwamba, risasi endapo itaelekea juu na kurudi chini basi huwa imefikia maximum velocity ya zero (sifuri) hivyo hurudi chini kama ilivyo kitu chochote kinachoshuka kwa gravity mfano, goroli,jiwe, n.k!

Endapo kitampiga mtu madhara yake huwa siyo makubwa na hutegemea kitampiga mtu sehem gan ya mwili either kichwani au mahala pengine!

Matukio ya sherehe huwa hazipigwi risasi ball ni mafataki ambayo huwa hayana madhara!

Ule mlio wa mafataki ni kwa ajili ya usherehejaji tu usikutishe! Yote kwa yote wanarusha mafataki huwa wameomba kibali polisi kwa ajili ya zoezi hilo! Ni salama
 
Kila silaha ina renji tofauti ya umbali, lakini kwa ufupi tu ni kwamba, risasi endapo itaelekea juu na kurudi chini basi huwa imefikia maximum velocity ya zero (sifuri) hivyo hurudi chini kama ilivyo kitu chochote kinachoshuka kwa gravity mfano, goroli,jiwe, n.k!
Endapo kitampiga mtu madhara yake huwa siyo makubwa na hutegemea kitampiga mtu sehem gan ya mwili either kichwani au mahala pengine!

Matukio ya sherehe huwa hazipigwi risasi ball ni mafataki ambayo huwa hayana madhara!
Ule mlio wa mafataki ni kwa ajili ya usherehejaji tu usikutishe! Yote kwa yote wanarusha mafataki huwa wameomba kibali polisi kwa ajili ya zoezi hilo! Ni salama
Inaposhuka huwa kasi yake inaongezeka kwa kila sekunde. By time inafika chini haitakuwa imeoata kasi ya kutosha kuketa madhara?
 
Kila silaha ina renji tofauti ya umbali, lakini kwa ufupi tu ni kwamba, risasi endapo itaelekea juu na kurudi chini basi huwa imefikia maximum velocity ya zero (sifuri) hivyo hurudi chini kama ilivyo kitu chochote kinachoshuka kwa gravity mfano, goroli,jiwe, n.k!

Endapo kitampiga mtu madhara yake huwa siyo makubwa na hutegemea kitampiga mtu sehem gan ya mwili either kichwani au mahala pengine!

Matukio ya sherehe huwa hazipigwi risasi ball ni mafataki ambayo huwa hayana madhara!

Ule mlio wa mafataki ni kwa ajili ya usherehejaji tu usikutishe! Yote kwa yote wanarusha mafataki huwa wameomba kibali polisi kwa ajili ya zoezi hilo! Ni salama
Umenikumbusha physics
 
Kila silaha ina renji tofauti ya umbali, lakini kwa ufupi tu ni kwamba, risasi endapo itaelekea juu na kurudi chini basi huwa imefikia maximum velocity ya zero (sifuri) hivyo hurudi chini kama ilivyo kitu chochote kinachoshuka kwa gravity mfano, goroli,jiwe, n.k!

Endapo kitampiga mtu madhara yake huwa siyo makubwa na hutegemea kitampiga mtu sehem gan ya mwili either kichwani au mahala pengine!

Matukio ya sherehe huwa hazipigwi risasi ball ni mafataki ambayo huwa hayana madhara!

Ule mlio wa mafataki ni kwa ajili ya usherehejaji tu usikutishe! Yote kwa yote wanarusha mafataki huwa wameomba kibali polisi kwa ajili ya zoezi hilo! Ni salama
Zile zinazopigwa misibani kwenye mazishi ya polisi huwa sio risasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaposhuka huwa kasi yake inaongezeka kwa kila sekunde. By time inafika chini haitakuwa imeoata kasi ya kutosha kuketa madhara?

Zile zinazopigwa misibani kwenye mazishi ya polisi huwa sio risasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
SIYO risasi, Zinazopigwa misibani zinaitwa Brankoo ni baruti maalum ambazo hutoa mlio baada ya kupigwa! Hazina madhara kabisa labda kwa wasioenda mlio tu ambao pia nayo hutolewa tahadhali kwa wenye magonjwa ya moyo kukaa mbali kidogo!
 
Inaposhuka huwa kasi yake inaongezeka kwa kila sekunde. By time inafika chini haitakuwa imeoata kasi ya kutosha kuketa madhara?
Ni kweli, baada ya kufika maximum height (velocity = 0 m/s), itaanza kushuka na velocity ikiongezeka due to acceleration due to gravity (g = 9.81 m/s/s). Sasa itategemea imeenda juu umbali gani, maana hiyo object itaposhuka itakuwa inaongezeka speed kila sekunde. Kwa hivi velocity yake itakuwa maximum itakapopiga chini.

Madhara atakayoyapata mtu atayepigwa na hiyo object yatategemea uzito (weight) na velocity itakayotua nayo (momentum). Kwa hiyo kitachokudhuru ni momentum au impact, ambayo ni zao la velocity na mass (momentum = m * v).
 
Ni kweli, baada ya kufika maximum height (velocity = 0 m/s), itaanza kushuka na velocity ikiongezeka due to acceleration due to gravity (g = 9.81 m/s/s). Sasa itategemea imeenda juu umbali gani, maana hiyo object itaposhuka itakuwa inaongezeka speed kila sekunde. Kwa hivi velocity yake itakuwa maximum itakapopiga chini. Madhara atakayoyapata mtu atayepigwa na hiyo object yatategemea uzito (weight) na velocity itakayotua nayo (momentum). Kwa hiyo kitachokudhuru ni momentum au impact, ambayo ni zao la velocity na mass (momentum = m * v).

Ifahamike kuwa kwa speed ya kuondokea hadi 1,700m/s sasa angalia itakwenda juu kiasi gani. Kisha ona itafika chini na spidi gani.

Kwa hakika itauwa.
 
Kuhusu umbali nitaongopa, kuna sehemu nilisoma zinaenda mpaka umbali wa kilometa 5. Naamini zipo chini ya hapo


Kuhusu bunduki kupigwa juu, risasi kawaida huwa na speed ya mita 500 kwa sekunde niliwahi soma sehemu,

Sasa ile risasi inapokwenda juu itaenda, umbali gani hapo ni kutegemea na resistace ya hewa, force of gravity na speed yake.

Itafika hatua itakuwa na 0 velocity, kitu ukikirusha juu kabla ya kuanza kurudi chini huwa kinafanya kama kuganda hivi, ndio 0m/s ile.

Kuanzia hapo factor ya uzito wa risasi ambayo imasemekana huwa ni 6.5g(tufanye 10g kabisa), force of gravity na umbali ambao risasi ilifika 0m/s(ilipoanzia kurudi)

Ukitoa distace, hapo utapata Force, F
Ambayo
F=mass(m) × acceleration (gravitational foce)
Hivyo vitu ndio vitakupa jawabu kwamba risasi itarudi na nguvu gani

P.E =mgh
M. Mass
G. Gravity
H. Height

Ukizidisha unapata jibu, hiyo ni physics ndoogo niijuayo hapo ni energy..

Ukitaka for
 
Kwa siraha za kawaida kv. SMG au SR ikipigwa juu wakati WA kushuka haiwezi kuwa na madhara makubwa Kwa sababu itadondoka Tu kama vitu vingine ikumbukwe kuwa uzito wa risasi NI kama grams 50 Tu uzito ambao ni mdogo Sana.

Endapo itapigwa holizontal, uwezo WA kuuwa NI kuanzia Mita 0 mpaka Mita 1500, baada ya hapo itaweza kujeruhi Tu ambapo NI kuanzia mita zaidi ya 1500 mpaka 2500, baada ya hapo itadondoka Tu kawaida.
 
Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
 
Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Chief Katika umbali gani gravity inakuwa 0?
 
Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
samahani mkuu kwani kutoka hapa ardhini mpaka nianze kuikuta space ni umbali gani, na hizi bunduki za kawaida zaweza kwenda umbali gani?
 
Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Kwaiyo kwenye huo umbali kutakaua na risasi nyingi zipo huko sio😕
 
Naona wanakuchanganya na ma gravity na acceleration hawakupi majibu sahihi


Jibu sahihi ikipigwa juu risasi yeyote ile ikitua chini haina madhara waambie hao wapuuzi waache kukuzungusha


Mfano upo na mfungwa shambani mfungwa akianza kukimbia kutoroka risasi inapigwa juu kwanza kumuonya asimame ... akiendelea ndio unaruhusiwa ufanye yako mwaisa
 
samahani mkuu kwani kutoka hapa ardhini mpaka nianze kuikuta space ni umbali gani,

na hizi bunduki za kawaida zaweza kwenda umbali gani?
Muongo huyo tu hapo ni kama maximum kuanzia 100km hapo ndio unaanza kuiacha earth atmosphere na earth gravity hio zero points ..point of no return anayoisemea ni kwenye altitude ya 30000 Huko ambapo mtu ndio unaanza ku float hauwezi vutwa chini na earth gravity

Sasa bunduki gani inafika umbali huo
 
Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
khe heh heh he...
nimeipendaa hii hapa.
 
Back
Top Bottom