Risasi ikipigwa juu angani inaweza kudhuru mtu ikishuka? Bunduki inaweza kupiga risasi na kudhuru kwa umbali gani?

Risasi ikipigwa juu angani inaweza kudhuru mtu ikishuka? Bunduki inaweza kupiga risasi na kudhuru kwa umbali gani?

Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Mkuu yani risasi ipigwe juu mpaka ishinde gravity iingie hadi kwenye space? Never ever
 
Unaongelea risasi ya aina gan,maana Kuna risasi za bunduki mbalimbali kama AK-47,huzi gun,G3,SKS,12,sabasita ,14 eeeh zote izo ni bunduki na zinaujazo wake wa risasi na speed ya risasi inaendana pia na ujazo wa baruti kwenye risasi kwa mfano light mashine gun inaspeed kuliko smg
 
SIYO risasi, Zinazopigwa misibani zinaitwa Brankoo ni baruti maalum ambazo hutoa mlio baada ya kupigwa! Hazina madhara kabisa labda kwa wasioenda mlio tu ambao pia nayo hutolewa tahadhali kwa wenye magonjwa ya moyo kukaa mbali kidogo!
Brankoo(blanks)ni risasi baridi hazina madhara.

Madhara ya risasi ni kulingana na aina ya siraha iliyotumika kama ni Glock, AK,SAR,LMG etc kuna umbali ambao risasi inamadhara na kuna umbali hauna madhara risasi inafika inaanguka2
 
SIYO risasi, Zinazopigwa misibani zinaitwa Brankoo ni baruti maalum ambazo hutoa mlio baada ya kupigwa! Hazina madhara kabisa labda kwa wasioenda mlio tu ambao pia nayo hutolewa tahadhali kwa wenye magonjwa ya moyo kukaa mbali kidogo!
mkuu sizungumzii fataki. nazungumzia risasi. Umeona kwenye harusi za wasomali au waarabu? na hata sehemu za Africa utakuta wanapiga risasi juu kusherekea. Pia polisi hupiga risasi juu kutawanya na kutisha watu.
 
Kuhusu umbali nitaongopa, kuna sehemu nilisoma zinaenda mpaka umbali wa kilometa 5. Naamini zipo chini ya hapo


Kuhusu bunduki kupigwa juu, risasi kawaida huwa na speed ya mita 500 kwa sekunde niliwahi soma sehemu,

Sasa ile risasi inapokwenda juu itaenda, umbali gani hapo ni kutegemea na resistace ya hewa, force of gravity na speed yake.
Itafika hatua itakuwa na 0 velocity, kitu ukikirusha juu kabla ya kuanza kurudi chini huwa kinafanya kama kuganda hivi, ndio 0m/s ile..

Kuanzia hapo factor ya uzito wa risasi ambayo imasemekana huwa ni 6.5g(tufanye 10g kabisa), force of gravity na umbali ambao risasi ilifika 0m/s(ilipoanzia kurudi)

Ukitoa distace, hapo utapata Force, F
Ambayo
F=mass(m) × acceleration ( gravitational foce)
Hivyo vitu ndio vitakupa jawabu kwamba risasi itarudi na nguvu gani

P.E =mgh
M. Mass
G. Gravity
H. Height

Ukizidisha unapata jibu, hiyo ni physics ndoogo niijuayo hapo ni energy..

Ukitaka for

Pata mnyumbuliko kupata picha kamili.

IMG_20220825_111128_524.jpg


https://en.m.wikipedia.org/wiki/Muzzle_velocity/
 
Ni kweli, baada ya kufika maximum height (velocity = 0 m/s), itaanza kushuka na velocity ikiongezeka due to acceleration due to gravity (g = 9.81 m/s/s). Sasa itategemea imeenda juu umbali gani, maana hiyo object itaposhuka itakuwa inaongezeka speed kila sekunde. Kwa hivi velocity yake itakuwa maximum itakapopiga chini. Madhara atakayoyapata mtu atayepigwa na hiyo object yatategemea uzito (weight) na velocity itakayotua nayo (momentum). Kwa hiyo kitachokudhuru ni momentum au impact, ambayo ni zao la velocity na mass (momentum = m * v).
Spid ni ile ile hata iende juu kiasi gan any free falling body spid yake n 9.8 au 10 m/s²
 
mkuu sizungumzii fataki. nazungumzia risasi. Umeona kwenye harusi za wasomali au waarabu? na hata sehemu za Africa utakuta wanapiga risasi juu kusherekea. Pia polisi hupiga risasi juu kutawanya na kutisha watu.
Kama unataka ya wasomali kawaulize wasomalia! Sheria ya matumizi ya silaha duniani! Siyo ruhusa kurusha risasi kwenye tafrija! Bali ZINAZOPIGWA NI BRANKOO, FATAKI N.K
Branko ni baruti spesho zinazolipuka kwa mlio kama wa risasi!

Kwahiyo hakuna risasi inayopigwa kwenye sherehe labda kama kuna mharifu
 
Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
.
20220813_010853.jpg
 
Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Mkuu turudishie chenji zetu....
 
Inategemea imepigwa na Nani.
Kama Ni polisi wa Tanzania lolote laweza kutokea.
 
Muongo huyo tu hapo ni kama maximum kuanzia 100km hapo ndio unaanza kuiacha earth atmosphere na earth gravity hio zero points ..point of no return anayoisemea ni kwenye altitude ya 30000 Huko ambapo mtu ndio unaanza ku float hauwezi vutwa chini na earth gravity

Sasa bunduki gani inafika umbali huo
Ko ndege hazifikagi km 100 angani?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Brankoo(blanks)ni risasi baridi hazina madhara.

Madhara ya risasi ni kulingana na aina ya siraha iliyotumika kama ni Glock, AK,SAR,LMG etc kuna umbali ambao risasi inamadhara na kuna umbali hauna madhara risasi inafika inaanguka2
Brankoo ndani ya mita ishirini na tano inaua,take it from me
 
Spid ni ile ile hata iende juu kiasi gan any free falling body spid yake n 9.8 au 10 m/s²
Hiyo siyo spidi bali ni rate ya kubadilika kwa spidi(acceleration). Maana yake kila sekunde moja spidi(velocity) inaongezeka kwa 9.8m/s
 
Kama unataka ya wasomali kawaulize wasomalia! Sheria ya matumizi ya silaha duniani! Siyo ruhusa kurusha risasi kwenye tafrija! Bali ZINAZOPIGWA NI BRANKOO, FATAKI N.K
Branko ni baruti spesho zinazolipuka kwa mlio kama wa risasi!

Kwahiyo hakuna risasi inayopigwa kwenye sherehe labda kama kuna mharifu
Mfano hata ukielekezwa kwenye mguu wa mtu hawezi dhurika?

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom