Risasi ikipigwa juu angani inaweza kudhuru mtu ikishuka? Bunduki inaweza kupiga risasi na kudhuru kwa umbali gani?

Risasi ikipigwa juu angani inaweza kudhuru mtu ikishuka? Bunduki inaweza kupiga risasi na kudhuru kwa umbali gani?

Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Hapa wanazungumzia risasi mkuu, sio rocket. Take it easy, risasi haiwezi kutoka nje ya dunia
 
Kama unataka ya wasomali kawaulize wasomalia! Sheria ya matumizi ya silaha duniani! Siyo ruhusa kurusha risasi kwenye tafrija! Bali ZINAZOPIGWA NI BRANKOO, FATAKI N.K
Branko ni baruti spesho zinazolipuka kwa mlio kama wa risasi!

Kwahiyo hakuna risasi inayopigwa kwenye sherehe labda kama kuna mharifu
Madhara si yaleyale hata ikipigwa na muarabu, mzungu au msomali. Nauliza kama risasi ikipigwa juu hewani, inaweza mdhuru au hata kumuua mtu inaposhuka?
 
Kila silaha ina renji tofauti ya umbali, lakini kwa ufupi tu ni kwamba, risasi endapo itaelekea juu na kurudi chini basi huwa imefikia maximum velocity ya zero (sifuri) hivyo hurudi chini kama ilivyo kitu chochote kinachoshuka kwa gravity mfano, goroli,jiwe, n.k!

Endapo kitampiga mtu madhara yake huwa siyo makubwa na hutegemea kitampiga mtu sehem gan ya mwili either kichwani au mahala pengine!

Matukio ya sherehe huwa hazipigwi risasi ball ni mafataki ambayo huwa hayana madhara!

Ule mlio wa mafataki ni kwa ajili ya usherehejaji tu usikutishe! Yote kwa yote wanarusha mafataki huwa wameomba kibali polisi kwa ajili ya zoezi hilo! Ni salama

Chochote kirushwacho juu (kama hakiondoki kabisa kutoka kwenye uso wa dunia) hupita na speed ile ile kirudipo chini katika kila point kama kilivyopita kikienda juu. Hii within limits of errors za energy losses due to air resistance, friction na discrepancies zingine kama za gravitational force kutokea kwenye uso wa dunia.

Zingatia umbali risasi yenye kutoka kwenye uso wa dunia na velocity 1,200m/s ikiwa fired vertically up itakwenda umbali gani assuming constant g.

Sasa calculate itafika ardhini tena kwa speed gani kutokea umbali huo huo kutokea 0 m/s kwenye turning point ignoring all the undue losses.

Zingatia shape na uzito wa risasi ni ili kuiwezesha kusafiri kwenye mstari ulionyooka ikiepuka air resistance.

IMG_20220825_111128_524.jpg


Kimsingi ilitoka ardhini na 1,200m/s itafika na 1,200m/s ardhini. Ikitua kichwani labda uwe na kichwa cha chuma wala si cha jiwe - wafa!
 
Wakuu, wale wanaopiga risasi angani wakati wa sherehe au kutisha watu. Je, risasi hizo zinaweza safiri umbali gani angani? Wakati wa kushuka zinaweza kumdhuru mtu, na risasi inayopigwa horizontally inaweza kusafiri umbali gani na kudhuru mtu?
 
Muongo huyo tu hapo ni kama maximum kuanzia 100km hapo ndio unaanza kuiacha earth atmosphere na earth gravity hio zero points ..point of no return anayoisemea ni kwenye altitude ya 30000 Huko ambapo mtu ndio unaanza ku float hauwezi vutwa chini na earth gravity

Sasa bunduki gani inafika umbali huo
Kama ndivyo mbona ndege huwa zinaruka umbali huo na ikitokea zikipata ajali watu waliofariki hushuka mpaka chini kwenye earth surface kwa nini wasielee huko huko wasikutwe chini?just curious
 
Wakuu, wale wanaopiga risasi angani wakati wa sherehe au kutisha watu. Je, risasi hizo zinaweza safiri umbali gani angani? Wakati wa kushuka zinaweza kumdhuru mtu, na risasi inayopigwa horizontally inaweza kusafiri umbali gani na kudhuru mtu?
Muulize afande aliyemuua Akwirina
 
Naona wanakuchanganya na ma gravity na acceleration hawakupi majibu sahihi


Jibu sahihi ikipigwa juu risasi yeyote ile ikitua chini haina madhara waambie hao wapuuzi waache kukuzungusha


Mfano upo na mfungwa shambani mfungwa akianza kukimbia kutoroka risasi inapigwa juu kwanza kumuonya asimame ... akiendelea ndio unaruhusiwa ufanye yako mwaisa
Mkuu vp kuhusu mshale?
 
Zile zinazopigwa misibani kwenye mazishi ya polisi huwa sio risasi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Blanks zile zinatoa mlio ila hazina kale kabullet yaani kale kakichwa kalikochongoka kama penseli mbele ambako kanatoka na kwenda kuingia kwenye target.

Kale kabullet hutengenezwa madini ya lead. Madini ambayo huipatia risasi ufanisi wa kutoka kwa kunyooka. Kitoka kwenye bunduki hadi kwenye target bila kuyumba sababu ya friction na resistance ndogo katika ya madini haya na hewa tofauti na madini mengine kama iron, silver, aluminum, etc.

Ndani ya risasi kuna ile gunpowder ambayo ndio utoa mlipuko na kufyatua bullet kutoka katika kasha la lake. So ikiwa bila kile kibullet inakuwa haina shida.
 
Ni kweli, baada ya kufika maximum height (velocity = 0 m/s), itaanza kushuka na velocity ikiongezeka due to acceleration due to gravity (g = 9.81 m/s/s). Sasa itategemea imeenda juu umbali gani, maana hiyo object itaposhuka itakuwa inaongezeka speed kila sekunde. Kwa hivi velocity yake itakuwa maximum itakapopiga chini. Madhara atakayoyapata mtu atayepigwa na hiyo object yatategemea uzito (weight) na velocity itakayotua nayo (momentum). Kwa hiyo kitachokudhuru ni momentum au impact, ambayo ni zao la velocity na mass (momentum = m * v).
Kwa nadharia ya physics ni kuwa kama imetoka kwenye bunduki na velocity ya 100km/s basi itakuwa inaenda juu huku ikipungua spidi hadi 0km/s kisha inaanza kuanguka huku inaongezeka spidi kiasi kwamba hadi ikifika chini itakuwa na spidi ile ile iliyotoka nayo ya 100km/s ambayo ni hatari
 
Kwa nadharia ya physics ni kuwa kama imetoka kwenye bunduki na velocity ya 100km/s basi itakuwa inaenda juu huku ikipungua spidi hadi 0km/s kisha inaanza kuanguka huku inaongezeka spidi kiasi kwamba hadi ikifika chini itakuwa na spidi ile ile iliyotoka nayo ya 100km/s ambayo ni hatari
Hii ina-apply hata tunapojisaidia? /Pooh/?
 
Kwa nadharia ya physics ni kuwa kama imetoka kwenye bunduki na velocity ya 100km/s basi itakuwa inaenda juu huku ikipungua spidi hadi 0km/s kisha inaanza kuanguka huku inaongezeka spidi kiasi kwamba hadi ikifika chini itakuwa na spidi ile ile iliyotoka nayo ya 100km/s ambayo ni hatari
Kinachobaki constant ni acceleration (g = 9.81 m/s/s), lakini velocity itabadilika (kuongezeka) kila sekunde wakati wa kushuka.
 
Kuhusu umbali nitaongopa, kuna sehemu nilisoma zinaenda mpaka umbali wa kilometa 5. Naamini zipo chini ya hapo


Kuhusu bunduki kupigwa juu, risasi kawaida huwa na speed ya mita 500 kwa sekunde niliwahi soma sehemu,

Sasa ile risasi inapokwenda juu itaenda, umbali gani hapo ni kutegemea na resistace ya hewa, force of gravity na speed yake.
Itafika hatua itakuwa na 0 velocity, kitu ukikirusha juu kabla ya kuanza kurudi chini huwa kinafanya kama kuganda hivi, ndio 0m/s ile..

Kuanzia hapo factor ya uzito wa risasi ambayo imasemekana huwa ni 6.5g(tufanye 10g kabisa), force of gravity na umbali ambao risasi ilifika 0m/s(ilipoanzia kurudi)

Ukitoa distace, hapo utapata Force, F
Ambayo
F=mass(m) × acceleration ( gravitational foce)
Hivyo vitu ndio vitakupa jawabu kwamba risasi itarudi na nguvu gani

P.E =mgh
M. Mass
G. Gravity
H. Height

Ukizidisha unapata jibu, hiyo ni physics ndoogo niijuayo hapo ni energy..

Ukitaka for
AK 47 ndio inakwenda umbali mrefu lakini haifiki kilometre 5, acheni masihara.
 
Back
Top Bottom