Mkuu yani risasi ipigwe juu mpaka ishinde gravity iingie hadi kwenye space? Never everSi kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Brankoo(blanks)ni risasi baridi hazina madhara.SIYO risasi, Zinazopigwa misibani zinaitwa Brankoo ni baruti maalum ambazo hutoa mlio baada ya kupigwa! Hazina madhara kabisa labda kwa wasioenda mlio tu ambao pia nayo hutolewa tahadhali kwa wenye magonjwa ya moyo kukaa mbali kidogo!
mkuu sizungumzii fataki. nazungumzia risasi. Umeona kwenye harusi za wasomali au waarabu? na hata sehemu za Africa utakuta wanapiga risasi juu kusherekea. Pia polisi hupiga risasi juu kutawanya na kutisha watu.SIYO risasi, Zinazopigwa misibani zinaitwa Brankoo ni baruti maalum ambazo hutoa mlio baada ya kupigwa! Hazina madhara kabisa labda kwa wasioenda mlio tu ambao pia nayo hutolewa tahadhali kwa wenye magonjwa ya moyo kukaa mbali kidogo!
Inaposhuka huwa kasi yake inaongezeka kwa kila sekunde. By time inafika chini haitakuwa imepata kasi ya kutosha kuleta madhara?
Duh. 😂😂Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Kuhusu umbali nitaongopa, kuna sehemu nilisoma zinaenda mpaka umbali wa kilometa 5. Naamini zipo chini ya hapo
Kuhusu bunduki kupigwa juu, risasi kawaida huwa na speed ya mita 500 kwa sekunde niliwahi soma sehemu,
Sasa ile risasi inapokwenda juu itaenda, umbali gani hapo ni kutegemea na resistace ya hewa, force of gravity na speed yake.
Itafika hatua itakuwa na 0 velocity, kitu ukikirusha juu kabla ya kuanza kurudi chini huwa kinafanya kama kuganda hivi, ndio 0m/s ile..
Kuanzia hapo factor ya uzito wa risasi ambayo imasemekana huwa ni 6.5g(tufanye 10g kabisa), force of gravity na umbali ambao risasi ilifika 0m/s(ilipoanzia kurudi)
Ukitoa distace, hapo utapata Force, F
Ambayo
F=mass(m) × acceleration ( gravitational foce)
Hivyo vitu ndio vitakupa jawabu kwamba risasi itarudi na nguvu gani
P.E =mgh
M. Mass
G. Gravity
H. Height
Ukizidisha unapata jibu, hiyo ni physics ndoogo niijuayo hapo ni energy..
Ukitaka for
Physics hatuikumbuki bali tunaishi nayo kila sikuUmenikumbusha physics
Spid ni ile ile hata iende juu kiasi gan any free falling body spid yake n 9.8 au 10 m/s²Ni kweli, baada ya kufika maximum height (velocity = 0 m/s), itaanza kushuka na velocity ikiongezeka due to acceleration due to gravity (g = 9.81 m/s/s). Sasa itategemea imeenda juu umbali gani, maana hiyo object itaposhuka itakuwa inaongezeka speed kila sekunde. Kwa hivi velocity yake itakuwa maximum itakapopiga chini. Madhara atakayoyapata mtu atayepigwa na hiyo object yatategemea uzito (weight) na velocity itakayotua nayo (momentum). Kwa hiyo kitachokudhuru ni momentum au impact, ambayo ni zao la velocity na mass (momentum = m * v).
[emoji28][emoji28]ushafika kwa aquilineHivi Ile iliyomuua Aquilina ilikuwaje
Kama unataka ya wasomali kawaulize wasomalia! Sheria ya matumizi ya silaha duniani! Siyo ruhusa kurusha risasi kwenye tafrija! Bali ZINAZOPIGWA NI BRANKOO, FATAKI N.Kmkuu sizungumzii fataki. nazungumzia risasi. Umeona kwenye harusi za wasomali au waarabu? na hata sehemu za Africa utakuta wanapiga risasi juu kusherekea. Pia polisi hupiga risasi juu kutawanya na kutisha watu.
.Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Mkuu turudishie chenji zetu....Si kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Ko ndege hazifikagi km 100 angani?Muongo huyo tu hapo ni kama maximum kuanzia 100km hapo ndio unaanza kuiacha earth atmosphere na earth gravity hio zero points ..point of no return anayoisemea ni kwenye altitude ya 30000 Huko ambapo mtu ndio unaanza ku float hauwezi vutwa chini na earth gravity
Sasa bunduki gani inafika umbali huo
Brankoo ndani ya mita ishirini na tano inaua,take it from meBrankoo(blanks)ni risasi baridi hazina madhara.
Madhara ya risasi ni kulingana na aina ya siraha iliyotumika kama ni Glock, AK,SAR,LMG etc kuna umbali ambao risasi inamadhara na kuna umbali hauna madhara risasi inafika inaanguka2
Hiyo siyo spidi bali ni rate ya kubadilika kwa spidi(acceleration). Maana yake kila sekunde moja spidi(velocity) inaongezeka kwa 9.8m/sSpid ni ile ile hata iende juu kiasi gan any free falling body spid yake n 9.8 au 10 m/s²
Mfano hata ukielekezwa kwenye mguu wa mtu hawezi dhurika?Kama unataka ya wasomali kawaulize wasomalia! Sheria ya matumizi ya silaha duniani! Siyo ruhusa kurusha risasi kwenye tafrija! Bali ZINAZOPIGWA NI BRANKOO, FATAKI N.K
Branko ni baruti spesho zinazolipuka kwa mlio kama wa risasi!
Kwahiyo hakuna risasi inayopigwa kwenye sherehe labda kama kuna mharifu