Hapa wanazungumzia risasi mkuu, sio rocket. Take it easy, risasi haiwezi kutoka nje ya duniaSi kweli, Napitia comments apa naona Mnaandika uongo, Risasi ikipigwa Juu, Kuna Point inafika inaitwa "A point of no Return " Gravity inakua 0. Kwahy haiwezi kurudi tena duniani inabaki kwenye space huko
Madhara si yaleyale hata ikipigwa na muarabu, mzungu au msomali. Nauliza kama risasi ikipigwa juu hewani, inaweza mdhuru au hata kumuua mtu inaposhuka?Kama unataka ya wasomali kawaulize wasomalia! Sheria ya matumizi ya silaha duniani! Siyo ruhusa kurusha risasi kwenye tafrija! Bali ZINAZOPIGWA NI BRANKOO, FATAKI N.K
Branko ni baruti spesho zinazolipuka kwa mlio kama wa risasi!
Kwahiyo hakuna risasi inayopigwa kwenye sherehe labda kama kuna mharifu
Tunazungumzia bunduki hapa
Kila silaha ina renji tofauti ya umbali, lakini kwa ufupi tu ni kwamba, risasi endapo itaelekea juu na kurudi chini basi huwa imefikia maximum velocity ya zero (sifuri) hivyo hurudi chini kama ilivyo kitu chochote kinachoshuka kwa gravity mfano, goroli,jiwe, n.k!
Endapo kitampiga mtu madhara yake huwa siyo makubwa na hutegemea kitampiga mtu sehem gan ya mwili either kichwani au mahala pengine!
Matukio ya sherehe huwa hazipigwi risasi ball ni mafataki ambayo huwa hayana madhara!
Ule mlio wa mafataki ni kwa ajili ya usherehejaji tu usikutishe! Yote kwa yote wanarusha mafataki huwa wameomba kibali polisi kwa ajili ya zoezi hilo! Ni salama
Wakuu, wale wanaopiga risasi angani wakati wa sherehe au kutisha watu. Je, risasi hizo zinaweza safiri umbali gani angani? Wakati wa kushuka zinaweza kumdhuru mtu, na risasi inayopigwa horizontally inaweza kusafiri umbali gani na kudhuru mtu?
Kama ndivyo mbona ndege huwa zinaruka umbali huo na ikitokea zikipata ajali watu waliofariki hushuka mpaka chini kwenye earth surface kwa nini wasielee huko huko wasikutwe chini?just curiousMuongo huyo tu hapo ni kama maximum kuanzia 100km hapo ndio unaanza kuiacha earth atmosphere na earth gravity hio zero points ..point of no return anayoisemea ni kwenye altitude ya 30000 Huko ambapo mtu ndio unaanza ku float hauwezi vutwa chini na earth gravity
Sasa bunduki gani inafika umbali huo
Muulize afande aliyemuua AkwirinaWakuu, wale wanaopiga risasi angani wakati wa sherehe au kutisha watu. Je, risasi hizo zinaweza safiri umbali gani angani? Wakati wa kushuka zinaweza kumdhuru mtu, na risasi inayopigwa horizontally inaweza kusafiri umbali gani na kudhuru mtu?
Mkuu vp kuhusu mshale?Naona wanakuchanganya na ma gravity na acceleration hawakupi majibu sahihi
Jibu sahihi ikipigwa juu risasi yeyote ile ikitua chini haina madhara waambie hao wapuuzi waache kukuzungusha
Mfano upo na mfungwa shambani mfungwa akianza kukimbia kutoroka risasi inapigwa juu kwanza kumuonya asimame ... akiendelea ndio unaruhusiwa ufanye yako mwaisa
Blanks zile zinatoa mlio ila hazina kale kabullet yaani kale kakichwa kalikochongoka kama penseli mbele ambako kanatoka na kwenda kuingia kwenye target.Zile zinazopigwa misibani kwenye mazishi ya polisi huwa sio risasi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapoelekeza kwenye mguu unatafta nini? Hata presha ya maji ya kuoshea gari ukiitumia kujitawazia maliwatoni itakuchana makalio! Ingawa haina madharaMfano hata ukielekezwa kwenye mguu wa mtu hawezi dhurika?
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Kwa nadharia ya physics ni kuwa kama imetoka kwenye bunduki na velocity ya 100km/s basi itakuwa inaenda juu huku ikipungua spidi hadi 0km/s kisha inaanza kuanguka huku inaongezeka spidi kiasi kwamba hadi ikifika chini itakuwa na spidi ile ile iliyotoka nayo ya 100km/s ambayo ni hatariNi kweli, baada ya kufika maximum height (velocity = 0 m/s), itaanza kushuka na velocity ikiongezeka due to acceleration due to gravity (g = 9.81 m/s/s). Sasa itategemea imeenda juu umbali gani, maana hiyo object itaposhuka itakuwa inaongezeka speed kila sekunde. Kwa hivi velocity yake itakuwa maximum itakapopiga chini. Madhara atakayoyapata mtu atayepigwa na hiyo object yatategemea uzito (weight) na velocity itakayotua nayo (momentum). Kwa hiyo kitachokudhuru ni momentum au impact, ambayo ni zao la velocity na mass (momentum = m * v).
Ulipata ngapi hiyo PHYSICS? Na vp maendeleo hapo International Atomic Energy Agency, Switzerland?Umenikumbusha physics
Hii ina-apply hata tunapojisaidia? /Pooh/?Kwa nadharia ya physics ni kuwa kama imetoka kwenye bunduki na velocity ya 100km/s basi itakuwa inaenda juu huku ikipungua spidi hadi 0km/s kisha inaanza kuanguka huku inaongezeka spidi kiasi kwamba hadi ikifika chini itakuwa na spidi ile ile iliyotoka nayo ya 100km/s ambayo ni hatari
Kinachobaki constant ni acceleration (g = 9.81 m/s/s), lakini velocity itabadilika (kuongezeka) kila sekunde wakati wa kushuka.Kwa nadharia ya physics ni kuwa kama imetoka kwenye bunduki na velocity ya 100km/s basi itakuwa inaenda juu huku ikipungua spidi hadi 0km/s kisha inaanza kuanguka huku inaongezeka spidi kiasi kwamba hadi ikifika chini itakuwa na spidi ile ile iliyotoka nayo ya 100km/s ambayo ni hatari
Kila kituHii ina-apply hata tunapojisaidia? /Pooh/?
Muongo weweBrankoo ndani ya mita ishirini na tano inaua,take it from me
AK 47 ndio inakwenda umbali mrefu lakini haifiki kilometre 5, acheni masihara.Kuhusu umbali nitaongopa, kuna sehemu nilisoma zinaenda mpaka umbali wa kilometa 5. Naamini zipo chini ya hapo
Kuhusu bunduki kupigwa juu, risasi kawaida huwa na speed ya mita 500 kwa sekunde niliwahi soma sehemu,
Sasa ile risasi inapokwenda juu itaenda, umbali gani hapo ni kutegemea na resistace ya hewa, force of gravity na speed yake.
Itafika hatua itakuwa na 0 velocity, kitu ukikirusha juu kabla ya kuanza kurudi chini huwa kinafanya kama kuganda hivi, ndio 0m/s ile..
Kuanzia hapo factor ya uzito wa risasi ambayo imasemekana huwa ni 6.5g(tufanye 10g kabisa), force of gravity na umbali ambao risasi ilifika 0m/s(ilipoanzia kurudi)
Ukitoa distace, hapo utapata Force, F
Ambayo
F=mass(m) × acceleration ( gravitational foce)
Hivyo vitu ndio vitakupa jawabu kwamba risasi itarudi na nguvu gani
P.E =mgh
M. Mass
G. Gravity
H. Height
Ukizidisha unapata jibu, hiyo ni physics ndoogo niijuayo hapo ni energy..
Ukitaka for
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inategemea imepigwa na Nani.
Kama Ni polisi wa Tanzania lolote laweza kutokea.
Wabongo weupe sana physics. Tena ya form 2 hiiShikamoo Physics