Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye ujasusi kunakitu kinaitwa uwazi na kuaminiana kwa washirika wa pamojaNingefurahi zaidi kama hii mipango ya kumuua elvis ingekuja baada ya kifo chake ndo kulubule angeturudisha kwenye mipango jinsi ilivyo pangwa nafikiri kwenye kifo hata sisi wasomaji tungesikitika sana na tungekuja kupata morals tena baada ya kuturudisha nyuma mipango ilivyofanywa kwa usiri angalia elvis nae kamwambia na mchepuko wake kila kitu ukizingatia binafsi huwa siwaamini viumbe hawa ila ni utunzi mzuri na unahamasisha hasa kwa sisi wengine wa sekta hizo Asante
Tupo pamoja kaka usijali ngoma ipo poa sanaKwenye ujasusi kunakitu kinaitwa uwazi na kuaminiana kwa washirika wa pamoja
UmeonaeeMambo ni moto
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji8] [emoji8]Pole sana kwa m-banano
Nmekuhamu hatare mnoo hapa!
Shikamooo[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]Usaliti, ufisadi, matumizi mabaya ya madaraka hizi ni baadhi ya dhima kwenye hii riwaya ( enzi hizo o level [emoji23][emoji23])
Ha ha ha, hebu niambie dhima katika hii riwaya mpaka hapa, kabla sijaja katika Mambo ya fani[emoji1] [emoji1]Shikamooo[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Mie mgeni mtaa huuHa ha ha, hebu niambie dhima katika hii riwaya mpaka hapa, kabla sijaja katika Mambo ya fani[emoji1] [emoji1]
Haha, na science zenu, mi mzima , natumaini na ww vivyo hivyoMie mgeni mtaa huu
Vp uko mzima