Riwaya ya Kijasusi Mabaduni wa serikali

Achana nayo usitume
 

Taarifa!!

Nitumie fursa hii kuwaomba radhi wapenzi na wafuatiliaji wa kigongo cha MABADUNI WA SERIKALI, kwa kukawia kuleta Sehemu ya 3.
Na hii ni kutokana na tatizo la kiafya nililo nalo, but hope Mungu atajaalia baada ya siku kadhaa tutaendelea.

Ahsanteni.
Wenu katika utunzi, Sonko Bibo.
 
Ikitokea umedanja usisahau kunishtua ili nikusanye pesa za rambirambi[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Pole mkuu
 
Ikitokea umedanja usisahau kunishtua ili nikusanye pesa za rambirambi[emoji41][emoji41][emoji41]
Wakati unakusanya rambi rambi, hakikisha unaanzia, Lugalo, Airwing, Kizuka, Ngere Ngere, Nyashana, Nyegezi, 602 njia ya Igombe.
Amini utapewa fungu hadi utaomba nifufuke halafu nife tena.
 
Wakati unakusanya rambi rambi, hakikisha unaanzia, Lugalo, Airwing, Kizuka, Ngere Ngere, Nyashana, Nyegezi, 602 njia ya Igombe.
Amini utapewa fungu hadi utaomba nifufuke halafu nife tena.
Nitaenda ngome tu hao wote uliowataja wataonyesha ushirikiano
 
Jumatatu saa 15:30 Mzigo unashuka, na fidia ya wiki hii itafanyika siku hiyo.
Ahsanteni kwa uvumilivu. wenu katika utunzi Sonko Bibo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…