Road map 2024: Muongozo kwa vijana wanaotaka kuoa mwaka huu

Road map 2024: Muongozo kwa vijana wanaotaka kuoa mwaka huu

Hizo sheria zako zote zinaweza vunjwa tu, natoa mifano;

Ke akiishi geto haimaanishi ana tabia zozote mbaya, wapo wabaya wanaoishi kwao

SIngle mother anaweza kutulia

Mtoto kulelewa na mzazi mmoja hakumharibu, inategemea huyo mzazi mmoja aliachana vipi na mwingine

Ngumu sana me kugharamikia familia peke yake hivi sasa

Bora ukachukue ushauri wa ndoa kwa wazazi na ndugu kwanza, jf watu hawaandiki uhalisia, wanaandika wanachoona ni sawa vichwani mwao
Usipo oa utaolewa. Kua makini
 
Men is Financial Being And Women is Biological Being


Ubora wa mwanaume unapimwa Kiuchumi na Ubora wa mwanamke unapimwa kibailojia


Standard yoyote atayoweka mwanamke itampiga mwanaume asiye na uchumi imara na Standard yoyote atayoweka mwanaume itamtandika mwanamke kibailojia.


But, Financia tend to rise time go n Biological things tend to downfall as time goes.


Mwanamke aliyechagua wanaume kifedha akiwa na umri wa 21 atahitaji mwanaume yeyote akifika 29 ikiwa kibailohia kashashuka na wewe mwanaume ukiwa na 29 kiuchumi umeimarika usimkubali wa 29 kachague yule aliye na umri wa 21mwenye ubora kibaiolojia.

Mwanamke rahisi kueleza Standard zake mbele ya jamii kwasababu ni zina base kiuchumi
mfano "staki mwanaume mwenye pesa"
Ila mwanaume ni ngumu sana na hata waliona uthubutu wanajistukia
Mfano "Sitaki mwanamke asiye na Bikra"
"Sitaki mwanamke mwenye K Pana aliyetumika sana, sitaki mwenye maziwa ndala.

Lakini hizi Standard ndio mwanaume inabidi awe nazo.

Kitu cha ku-note hili suala la Standard wanaanzisha wanawake tukiw na 20-26 ila tukifika 27-30 mwanaume muda wako wa kufanya Standard unaonekan mbaya.
 
Back
Top Bottom