Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Achana nae huyo kuoa ni 2050 mwezi wa sabaUmesomeka mabachelor mpite hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana nae huyo kuoa ni 2050 mwezi wa sabaUmesomeka mabachelor mpite hapa
Usitegemee wife material kwa mwanamke aliyelelewa na mama pekee/single mom. Usitegemee husband material kwa aliyelelewa na single momKaalndika ujinga mtupu
Mke mwema hupatikana Kwa kuomba Mungu sio Kwa kumkodolea macho tu
Eti ohh wewe ndie uwe unemtia mimba huyo single mother mwanamke Gani mwenye heshima zake atakubali umtie mimba Kwa Rushwa laghai kuwa utamuoa? Wako kibao wametiwa mimba na wanaume wametelekeza
Tatu eti awe anakaa Kwa wazazi wake sio getto mjinga mkubwa mtu wazazi wake wako Mwanza yeye kapangiwa kazi Arusha atakaa Kwa mzazi wapi Mleta mada mjinga tu
Eti asiwe kalalewa na mama peke yake na kijana kama kalelewa na mama yake vipi.Kigezancha kulelewa na mama. Peke yake viko vingi kingine unakuta mtu alifiwa na mumewe kamwachia watoto
Kiujumla alichoandika ansonyesha hajakomaa akili baodo Mleta mada ni playboy mjinga Fulani hivi
sawa ila vijiji utavyo orodhesha vitokee manyara na usukumaniWaoe vijana, waoe.!!
Wanawake wenye sifa hizo wako wengi bush, waseme tuwape majina ya vijiji wakaoe
Tupo mkuu na bado tunaendelea kuwasisitiza vijanaVipi vijana wa "kataa ndoa"?
😂😂😂😂sawa ila vijiji utavyo orodhesha vitokee manyara na usukumani
usicheke madam nipo seriously maana huku mjini hatar 😂😂😂😂😂
Leta ushuhuda kidogo ili waamini,rafiki.Tupo mkuu na bado tunaendelea kuwasisitiza vijana
NDOA NI UTAPELI
Wa mjini ndo wazuri, sema uwe na pesausicheke madam nipo seriously maana huku mjini hatar 😂
Unaka kula puru, nyie ndio mnaonge za mashoga mjiniKanuni ni ile ile...
Taasisi ya ndoa lazima iheshimiwe, ilindwe na kutunzwa kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo.
Usipooa, utaolewa. Wanaume wote wasiotaka kuoa tutawafanya michepuko/nyumba ndogo
View attachment 2890114
Mapenzi yote yanaanza na project, hukuona Eva alivyomuona Adam kazubaa bustanini karidhika na matunda ya bure, akaamua amcheck shetani (nyoka) wayajenge..!!Mwongozo wa mapenzi ya kweli ni kusikilizana , kuheshimiana, na kujitolea , hii miongozo mingine sio miongozo ya mapenzi ya kweli bali ni ya project fulani kati ya me na ke watakao amua kuishi pamoja.
Aaaaaaa weeee mimi sina mke ila nina wanawake 😅😅Mapenzi yote yanaanza na project, hukuona Eva alivyomuona Adam kazubaa bustanini karidhika na matunda ya bure, akaamua amcheck shetani (nyoka) wayajenge..!!
Sasa ww kaa hapo hapo km hujabebewa huyo mkeo ulie 😂😂
HAPANA,rafiki😅Mkuu wewe ni kataa ndoa??
Ndio ni lazima watuone wabaya, kwa sababu hata wao wanapokuwa wanaweka standards zao katika umri mdogo huwa tunawaona wabaya, ni mwendo wa kuonana wabaya tu..Men is Financial Being And Women is Biological Being
Ubora wa mwanaume unapimwa Kiuchumi na Ubora wa mwanamke unapimwa kibailojia
Standard yoyote atayoweka mwanamke itampiga mwanaume asiye na uchumi imara na Standard yoyote atayoweka mwanaume itamtandika mwanamke kibailojia.
But, Financia tend to rise time go n Biological things tend to downfall as time goes.
Mwanamke aliyechagua wanaume kifedha akiwa na umri wa 21 atahitaji mwanaume yeyote akifika 29 ikiwa kibailohia kashashuka na wewe mwanaume ukiwa na 29 kiuchumi umeimarika usimkubali wa 29 kachague yule aliye na umri wa 21mwenye ubora kibaiolojia.
Mwanamke rahisi kueleza Standard zake mbele ya jamii kwasababu ni zina base kiuchumi
mfano "staki mwanaume mwenye pesa"
Ila mwanaume ni ngumu sana na hata waliona uthubutu wanajistukia
Mfano "Sitaki mwanamke asiye na Bikra"
"Sitaki mwanamke mwenye K Pana aliyetumika sana, sitaki mwenye maziwa ndala.
Lakini hizi Standard ndio mwanaume inabidi awe nazo.
Kitu cha ku-note hili suala la Standard wanaanzisha wanawake tukiw na 20-26 ila tukifika 27-30 mwanaume muda wako wa kufanya Standard unaonekan mbaya.
Mkuu mimi naona wanawake wa kizazi hiki hawajali tena wanaume ndio itabidi tujipange, nina wasiwasi itafikia kipindi wanaume ndio tutaanza kushusha vigezo maana tunaowataka hawatakuwepo tena, itakuwa ni either uoe hawa hawa au usioe kabisa kitu ambacho ni kigumu..Wanawake kuna kitu watasema mwaka huu maana sio kwa hizo attacks.