Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Kwamba lzm awe amelelewa na wazazi wote,hasa babanakazia ila hawa vijana wenye mapepo hawawezi elewa mpaka yawakute
Km baba alikufa? Au mama alitelekiezwa je?
Maana kuna ambao baba zao hawako nao Kwa sbb mbalimbali sio km mama zao walitaka kuwalea peke Yao....
Unawaweka kundi Gani?