Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Bado unabishana na mm? Mbna nishakuweka kwenye "ignore list" zaman sana??? Hua sibishani na wajinga mana ntakua napoteza mda wangu for nothing!!!!
 
Taikoni #andiko lako halitakiwi kupingwa.
 
Hapo nimemuita muda kweli, hajatokea. Ana kazi ya kunisengenya tu huku na kwanini hanimention?

kajekudya Honga Hisense huko acha janja janja! πŸ˜… Na ukihonga tu huko na mimi napiga parefu! Ila nimekumbuka nina deni πŸ€”πŸ€­
Na dawa ya ahadi ni kuitimiza, embu njoo kwa waziri mkuu huku tafadhali binti kiziwi
 
Mimi nimekuelewa mkuu[emoji120]
 
Bado unabishana na mm? Mbna nishakuweka kwenye "ignore list" zaman sana??? Hua sibishani na wajinga mana ntakua napoteza mda wangu for nothing!!!!
Weka kwenye listi yeyote ili.
Ndio tabia yako, ndio unavyowafanyia Dada zako, utakuwaje na mwanamke... Huwaheshimu? Mama ako anajua umo humu kuwatukana kucha?

Hivyo Visenti unavyolipwa vitakusaidia kuondoa usongo wa Wanawake unaokusumbua?

Kajitazame kwenye kioo uone kama kuna mwanamke atakutamani. Ebo!
Eniweiyi kabadilishe ID tena
Haibadilishi matatizo yako ya ubongo. Wewe Muongo, wanawake hawakutaki, badala yake unadandia post za Wanaume kuwa katisha tamaa na juhudi zao kuwa nao...You sink onto the same category of Mysogynism twats.
Usiniletee za Kuleta.

Bisha nikupe dongo lako.
 
Mkuu mbna kama umepaniki?
Its your Misogynistic mind that is in a Panic mode. Don't loose yourself. Jibu unayoulizwa.
Huna uwezo wa kunichagiza.

Nenda unywe pombe utulie. Nauitapike. Niadithie kesho ilikiwaje.
Usiku mwema.
 
Its your Misogynistic mind that is in a Panic mode. Don't loose yourself. Jibu unayoulizwa.
Huna uwezo wa kunichagiza.

Nenda unywe pombe utulie. Nauitapike. Niadithie kesho ilikiwaje.
Usiku mwema.
Ona sasa.We nae ni Great thinker?
Shule zifunguliwe tu
 
Mfano ukiwa na tsh million 5 isiyo na kazi, kwenye mawazo yako utawaza kumtoa out mwanaume unaempenda weekend M-spend laki 3 hivi, full bill on u, kuwa honest smaki
 
Sisi mademu wapenda pesa tunakwambia hiviii "Mwanamke ni kama maji tuu usipoyaoga utayachambia"... πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
Tena kwa dunia ya sasa kwa sisi wanaume ukiwa na pesa Nyingi, kama tayari una mke, kitu cha kukaa nacho mbali ni michepuko, kama hujaoa ni kukaa mbali na tabia ya kudate wanawake wengi, maanake Most women will totally destroy a financially successful man Kalpana
 
A hunderd percent sure...if you know that u have a great chance to win life...
Vitabu vya Mungu vimeandika kaa mbali na zinaa...
Kuna kingine kinasema kaa mbali na mwanamke malaya atakufilisi mpka akili πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†
 
A hunderd percent sure...if you know that u have a great chance to win life...
Vitabu vya Mungu vimeandika kaa mbali na zinaa...
Kuna kingine kinasema kaa mbali na mwanamke malaya atakufilisi mpka akili [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Anayefilisiwa na mwanamke ni mlala hoi na si tajiri.

Imagine mtu pesa zake zinaongezeka akifanya zinaa, huyu unamfilisi vipi yaani? Unaanzaje kwa mfano?
 
Shida ni kwamba, hauwezi kuwapuuzia. Na ndio wanafanya tutafute pesa Kwa nguvu na jitihada zote.

Mwanamke akikukataa unaitafuta pesa Kwa hasira zote kuweka heshima.
Umeona mbali..

Pesa ngumu Sana ..ndio.maana zinatafutwa kila mbinu.. .. wanawake Ni maua..na hawazuii mtu kufanya yake.. ..Ni wazembe ..tu ndio wanaharibu! Kanuni zipo toka kale.. ..tuishi nao kwa akili ! ..wa kuelewa watafahamu..mwandishi alimaanisha nini!
 
A hunderd percent sure...if you know that u have a great chance to win life...
Vitabu vya Mungu vimeandika kaa mbali na zinaa...
Kuna kingine kinasema kaa mbali na mwanamke malaya atakufilisi mpka akili πŸ˜† πŸ˜† πŸ˜†

Sema vimwanamke vingine vizuri Daah!
πŸƒπŸƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…