Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Ushauri huo chukuenj Adam aliendeleza mwanamke akaanguka, Samsoni aliendekeza mwanamke akaanguka uhalisia haufi hata wewe bwana mdogo ukiendekeza wanawake utaanguka na ukianguka unaachwa kama kawaida, jijenge mwenyewe kama mnavoshauriwa, panga familia yako na mtu sahihi na usiwe mtumwa utaumia, mkisikia wanapigania haki sawa mnakenua meno huku inakula kwenu, utadaka stress then utakufa ghafla hakikisha unailinda amani yako hakuna atakaekupa furaha isipokua wewe mwenyewe, Taikon kamaliza kila kitu,
Ukweli wa wazi upo. Si umeona ya Simba (Diamond) chitaki na Najua kuendea nimejaliwa papuc.. Nampa atakacho (ChuZu)!! Ungeamini yangekuwa haya Kwa kadogo aka??!
 
Mwambieni huyo huyo Robert Heriel....Kuwa kuna mwanzo na mwisho. Anajua hivyo. Mwisho wake wa kubwatuka bwatuka na kumwaga sumu katika Jamii, unafikia taamati.

Tukaneni matusi yote tu, mkiishiwa na hoja ndivyo mulivyo!!!...maanake ndio mmefikia mbio za sakafuni.

SUMU zake kwenye Jamii ndio zinawawasha, ndizo zinawafumba mach na masikio.


Narudi tena, Robert Heriel ni Mwongo, yaani ni mtu wa kujificha kwenye chaka la Ushetani, ni Shetani. He is a Misogynist twaat Racist and a Bigot.

Kwa mtu "Anayejifanya ndiye" sie.
We ni X wake nini mbona upo too emotional na too invested kwenye kumind maandiko yake huyu bwana Taikuni?!
 
We ni X wake nini mbona upo too emotional na too invested kwenye kumind maandiko yake huyu bwana Taikuni?!
Wewe ndiye yeye mwenyewe? hata hivyo Sikushangai, kwani unataka kuendeleza tu hili liwe Trending.

Hana utaikun wa aina yeyote ile zaidi ya kuwa Tapeli.

He has articulated Racism, Mysoginism and Bigotry. And :-

1000% sure ni Tapeli. Deal with it.

Mwambie aweke picha yake hapa, weka wasifu wake hapa, na makala zake, Je unajuwa ni gazeti gani ameshawahi kuchapisha makala zake, Je wajuwa ni tafiti gani ameshawahi kufanya? na zimechapishwa wapi? Je, Kwa jinsi anavyojiuza unajua kama ana tovuti zake? .



Mtu yeyote anayeandika katika taaluma anakuwa anajulikana katika taaluma hiyo...nimeona mmoja wenu kaandika ati anapatikana facebuk!! Ni vipi Vitabu vyake viuzwe kwenye Airtel peke yake?

Sikushangai na majibu yako. na Yatayofuata
 
Usinipangie naloweza kutumia.

Najua Racism ni nini.
Acha jeuri za kishamba. Sasa kama unakosea tusikuhoji, wewe Great Thinker wa namna gani bana alaaah.

Nimekuuliza hivyo nikiwa na maana ya kuelewa connection ya ubaguzi wa rangi na Robert Heria vimekaaje?

Haiwezekani mtu aandike maandiko yahusuyo mahusiano halafu wewe umtuhumu kuwa ni racist, connection ipo wapi ?!

Na pia umemwita misogyny kwa maudhui yake mimi nakupinga vikali. Misogynist ni mtu anayechukia uanamke yaani ile ya kuchukia mwanamke kindakindaki si kwa mazuri si kwa mabaya yaani vyote anakuchukia mazima. Kwa kuzingatia msingi huo wa maana ya neno misogyny naona wazi ni kuwa si kweli kuwa jamaa anachukia wanawake bali anajaribu kuwapa wanaume wenzake elimu ya werevu juu ya kuishi na wanawake kwa tahadhali. Hiyo elimu ni masculinity ambacho ni kinyume cha ufeminist.


Mwanamke akiandika mambo ya kifeminist hapa mnasema anaempower wanawake wenzake ila mwanaume akiandika mambo ya kimasculinists mnasema anachukia wanawake. Khaaaaaah.
 
Usinipangie naloweza kutumia.

Najua Racism ni nini.
Acha jeuri za kishamba. Sasa kama unakosea tusikuhoji, wewe Great Thinker wa namna gani bana alaaah.

Nimekuuliza hivyo nikiwa na maana ya kuelewa connection ya ubaguzi wa rangi na Robert Heria vimekaaje?

Haiwezekani mtu aandike maandiko yahusuyo mahusiano halafu wewe umtuhumu kuwa ni racist, connection ipo wapi ?!

Na pia umemwita misogyny kwa maudhui yake mimi nakupinga vikali. Misogynist ni mtu anayechukia uanamke yaani ile ya kuchukia mwanamke kindakindaki si kwa mazuri si kwa mabaya yaani vyote anakuchukia mazima. Kwa kuzingatia msingi huo wa maana ya neno misogyny naona wazi ni kuwa si kweli kuwa jamaa anachukia wanawake bali anajaribu kuwapa wanaume wenzake elimu ya werevu juu ya kuishi na wanawake kwa tahadhali. Hiyo elimu ni masculinity ambacho ni kinyume cha ufeminist.


Mwanamke akiandika mambo ya kifeminist hapa mnasema anaempower wanawake wenzake ila mwanaume akiandika mambo ya kimasculinists mnasema anachukia wanawake. Khaaaaaah.
 
Usinipangie naloweza kutumia.

Najua Racism ni nini.
Acha jeuri za kishamba. Sasa kama unakosea tusikuhoji, wewe Great Thinker wa namna gani bana alaaah.
Nimekuuliza hivyo nikiwa na maana ya kuelewa connection ya ubaguzi wa rangi na Robert Heria vimekaaje?
Haiwezekani mtu aandike maandiko yahusuyo mahusiano halafu wewe umtuhumu kuwa ni racist, connection ipo wapi ?!
Na pia umemwita misogyny kwa maudhui yake mimi nakupinga vikali. Misogynist ni mtu anayechukia uanamke yaani ile ya kuchukia mwanamke kindakindaki si kwa mazuri si kwa mabaya yaani vyote anakuchukia mazima. Kwa kuzingatia msingi huo wa maana ya neno misogyny naona wazi ni kuwa si kweli kuwa jamaa anachukia wanawake bali anajaribu kuwapa wanaume wenzake elimu ya werevu juu ya kuishi na wanawake kwa tahadhali. Hiyo elimu ni masculinity ambacho ni kinyume cha ufeminist.
Mwanamke akiandika mambo ya kifeminist hapa mnasema anaempower wanawake wenzake ila mwanaume akiandika mambo ya kimasculinists mnasema anachukia wanawake. Khaaaaaah.
 
Wewe ndiye yeye mwenyewe? hata hivyo Sikushangai, kwani unataka kuendeleza tu hili liwe Trending.

Hana utaikun wa aina yeyote ile zaidi ya kuwa Tapeli.

He has articulated Racism, Mysoginism and Bigotry. And :-

1000% sure ni Tapeli. Deal with it.

Mwambie aweke picha yake hapa, weka wasifu wake hapa, na makala zake, Je unajuwa ni gazeti gani ameshawahi kuchapisha makala zake, Je wajuwa ni tafiti gani ameshawahi kufanya? na zimechapishwa wapi? Je, Kwa jinsi anavyojiuza unajua kama ana tovuti zake? .



Mtu yeyote anayeandika katika taaluma anakuwa anajulikana katika taaluma hiyo...nimeona mmoja wenu kaandika ati anapatikana facebuk!! Ni vipi Vitabu vyake viuzwe kwenye Airtel peke yake?

Sikushangai na majibu yako. na Yatayofuata
Khaaaaaah sasa mbona kama unajaribu kupambana na kivuli cha hisia zako. Why unakuwa kama upo nae personal unamuwaza hivi yaani unataka ile kumuandama kwa kila hoja zake ambazo kiukweli zinamashiko.
 
Wewe ndiye yeye mwenyewe? hata hivyo Sikushangai, kwani unataka kuendeleza tu hili liwe Trending.

Hana utaikun wa aina yeyote ile zaidi ya kuwa Tapeli.

He has articulated Racism, Mysoginism and Bigotry. And :-

1000% sure ni Tapeli. Deal with it.

Mwambie aweke picha yake hapa, weka wasifu wake hapa, na makala zake, Je unajuwa ni gazeti gani ameshawahi kuchapisha makala zake, Je wajuwa ni tafiti gani ameshawahi kufanya? na zimechapishwa wapi? Je, Kwa jinsi anavyojiuza unajua kama ana tovuti zake? .



Mtu yeyote anayeandika katika taaluma anakuwa anajulikana katika taaluma hiyo...nimeona mmoja wenu kaandika ati anapatikana facebuk!! Ni vipi Vitabu vyake viuzwe kwenye Airtel peke yake?

Sikushangai na majibu yako. na Yatayofuata
Khaaaaaah sasa mbona kama unajaribu kupambana na kivuli cha hisia zako. Why unakuwa kama upo nae personal unamuwaza hivi yaani unataka ile kumuandama kwa kila hoja zake ambazo kiukweli zinamashiko.
 
Khaaaaaah sasa mbona kama unajaribu kupambana na kivuli cha hisia zako. Why unakuwa kama upo nae personal unamuwaza hivi yaani unataka ile kumuandama kwa kila hoja zake ambazo kiukweli zinamashiko.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni chizi.
Sasa anasema niweke picha yangu Wakati Username ndio jina langu halisi na Avatar image ndio picha yangu. Alafu umuone MTU huyo anaakili timamu.

Huyo muache atoe mawazo yake ili naye ajione anamawazo ndani ya jamii. Sio kosa kuwa na machizi ndani ya jamii.
 
Khaaaaaah sasa mbona kama unajaribu kupambana na kivuli cha hisia zako. Why unakuwa kama upo nae personal unamuwaza hivi yaani unataka ile kumuandama kwa kila hoja zake ambazo kiukweli zinamashiko.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni chizi.
Sasa anasema niweke picha yangu Wakati Username ndio jina langu halisi na Avatar image ndio picha yangu. Alafu umuone MTU huyo anaakili timamu.

Huyo muache atoe mawazo yake ili naye ajione anamawazo ndani ya jamii. Sio kosa kuwa na machizi ndani ya jamii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni chizi.
Sasa anasema niweke picha yangu Wakati Username ndio jina langu halisi na Avatar image ndio picha yangu. Alafu umuone MTU huyo anaakili timamu.

Huyo muache atoe mawazo yake ili naye ajione anamawazo ndani ya jamii. Sio kosa kuwa na machizi ndani ya jamii.
 
ROADMAP2023 KWA VIJANA: WAPUUZE WANAWAKE YAANI USIWAZINGATIE!

Anaandika Robert Heriel
Kuhani.

Hili ndio andiko ninalofungulia nalo Mwaka 2023. Ni Mahususi Kwa Vijana walio Chini ya miaka 40.

Hii ndio Roadmap yenu Vijana. Pitieni humohumo. Mkitoka mtajijua wenyewe.

Ninapenda kuwausia Vijana Kwa sababu wengi Zama hizi kuna mafunzo hamkuyapata Kutokana na sababu mbalimbali. Mojawapo kutokulelewa na Wazazi Wawili.

Elewa kuwa Wanawake hawatakuzingatia na watakupuuza kama huna lolote la maana.

Nataka nikuambie kuwa Wanawake ambao ndio Mama zetu, Dada zetu, shangazi zetu na wake zetu ndio viumbe ambavyo ni Materialists kuliko kiumbe chochote hapa Duniani.

Usifanye vitu kuwa- impress Wanawake. Yaani usitafute kupendwa na Wanawake. Elewa kuwa Wanawake hawanaga kitu inaitwa upendo wa kweli. Wanaupendo lakini sio Ile upendo halisi.

Kama hujaoa, kamwe usipoteze nguvu zako Ati kuhonga ili upendwe na Mwanamke.

Utakwama! Ni uzuzu na upumbavu kufanya vitu ili uwa-impress kina Dada.

Vijana wengi WA Zama hizi wanaumizwa na mapenzi Kwa sababu ya ujingaujinga. Eleweni kuwa Wanawake waliowengi wanatamaa(Materialists) utakufa siku sio zako.

Roadmap ya mwaka 2023 ni kuishi Maisha yako Kwa furaha. Bila kutaka kujipendekeza Kwa Watoto wakike.

Kadiri unavyokuwa huna habari nao hawa Wanawake ndivyo unavyokuwa bize na Maendeleo yako. Kadiri unavyojishughulisha nao ndivyo unavyopoteza Focus ya Maisha.

Wanawake wengi Kwa sehemu kubwa ni chombo cha starehe hata kama wapo wanaobisha lakini huo ndio ukweli wenyewe. Iwe ni Kwa wazungu au wachina. Ipo hivyo.

Ukitaka kufanikiwa na kuwa na Utulivu wa Akili na Maisha usiwaendekeze Wanawake. Usipende kuwasikiliza wanataka nini au wanataka uweje.

Usipende wakusifie, Wanawake hawanaga Tabia ya kusifia wao hupenda kusifiwa tuu, ukiona mwanamke anakusifia ujue kuna kitu anapata Kutoka Kwako.
Mwanamke hawezi kukusifia hivihivi.

Roadmap ya Mwaka huu ni kutokuwa mtumwa wa kuwatumikia Watu ambao ni Materialists, yaani bila Pesa huwezi kuishi Naye.

Mwanamke WA hivyo fukuza. Usipomfukuza ukiwa na nguvu watakufukuza wewe Kwa kusaidizana na watoto wake siku utakapokuwa Mzee usiye na nguvu.

Wanaume mliondoani, msiwaendekeze Wake zenu, mtakufa siku si zenu kisa ujinga. Anataka kwenda kwao kisa mambo yenu magumu, hakuna cha kumbembeleza mwambie Aende. Mpe msimamo kuwa ukiondoka kinaingia Chuma kingine. Akileta maneno ya kashfa mpuuze.

Sijakataza kuhonga, nimekataza MTU kuhonga ili ati apendwe. Huo ni uzuzu. Upendo haununuliwi.

Pesa zako hazikufanyi upendwe, ila zinakufanya uonekane mtumwa wa Wanawake, msukule, mgodi au shamba la Bibi.

Huwaga nashauri, kama Mwanamke anahitaji umpe Pesa ndio mahusiano ya-exist ni Bora ukanunua Makahaba ya bei za rejareja kwani utatumia siku ukilihitaji.

Lakini sio ujibebeshe zigo la misumari Kwa ujinga,
Nataka nikuambie kuwa Kabla hujamweka Mwanamke ndani unayemhonga ili uwe kwenye mahusiano naye, elewa kuwa sio kila Siku utafanya naye Mapenzi.

Ndani ya siku 30 tuu utakuwa ushamchoka, na katika hizo siku 30 ninauhakika hautafanya kila Siku.

Hivyo kuingia kwenye relationship na Mwanamke WA namna hiyo ni kujigeuza Msukule Mbele ya Kigagula.

Ooh! Sasa nahitaji MKE wakuoa ili tusaidiane Maisha. Hakuna aliyekukataza kuoa, Ola elewa kuwa Kuoa Mwanamke materialist(mwenye tamaa ya vitu kama Pesa/Mali, magari) huyo hamsaidizani Maisha huyo anakudidimiza.

Ooh! Sasa Nani atanipikia, naoa ili anipikie. Acha ujinga.

Hizo Pesa ulizompangia nyumba nzima au unayomlipia Kodi ilhali wewe bado unajitafuta ni Bora ununue Pressure Cooker ya Tsh 150,000/= au Majiko ya oven Yale yenye kupikia hapohapo.

Kisha nunua Mashine ya kufulia ya laki tano(Tsh 500,000/=) Nunua na Zile Mashine za kuwatishia nyumba ni laki tatu tu.

Huna haja ya kusema Nani atanifulia, kwani kazi za Mashine ni nini boya wewe. Ni kweli huwezi kutengeneza wala kubuni Mashine. Basi hata kununua zile za bei chee ushindwe?

Penda Kula, hiyo Pesa unayofanywa Msukule nazo na Wanawake watakaokupa Ukimwi na UTI ni Bora ununulie Nyama au pombe alafu Asubuhi umeweka Bill ya maziwa Lita moja. Fanya kazi Kula bata.

Mbona Vijana mnapesa hata kama ni ndogondogo lakini mnaweza Kula Maisha ni vile mnaendekeza upumbavu na uzuzu alafu mnataka Taikon niwachekee na kuwaambia Kwa upole. Mimi sipo hivyo, hata mnichukie au hao Wanawake Materialists wanachukie huwaga Mimi sio MTU wa kujali majitu mazuzu

Unataka Watoto wazuri, nenda Casino, nenda club chagua mtoto mkali mlipie siku tatu, kisha mkiachana endelea na Maisha mengine. Fanya Maisha yako.

Waza kujenga nchi, sio kuwaza Wanawake kama lijinga jinga.
Hakuna ujana mwingine zaidi ya huo ulionao, kijana mdogo miaka 30 alafu unateswa kwa upuuzi upuuzi!

Roadmap ya Mwaka huu ni Kupiga Pesa, Kula bata upendavyo, Maisha ni leo tuu.

Kumbuka; Wakati wewe unawazingatia wanawake, wao hawakuzingatii wewe isipokuwa vitu ilivyo navyo. AMKA!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam.
Mawakala wa uchoko mnalipwa bei gani pale bagamoyo?

Mnataka vijana wapuuze wanawake wabanduane wenyewe.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni chizi.
Sasa anasema niweke picha yangu Wakati Username ndio jina langu halisi na Avatar image ndio picha yangu. Alafu umuone MTU huyo anaakili timamu.

Huyo muache atoe mawazo yake ili naye ajione anamawazo ndani ya jamii. Sio kosa kuwa na machizi ndani ya jamii.
Huna Ualisi wowote we Tapeli. Na ni kosa kuwa na mtu kama wewe popote pale...

Narudia, You are a Mysoginist, Racist and Bigoted Twaat!

hayo juu si mawazo, ni Jamii inavyokuchukulia.

Andika basi Makala katika gazeti lelote Tanzania...tuyaone.. hutaki unatuma vibaraka wako au niseme vi id vyako vingine isitoshe mwekee mtu Gazeti lelote lile lenye Makala yako, zako...wapi hata linki?. Huna



zaidi ya hapo sina huo 'Uchizi' unaonitungia wewe ndio chizi na hayo sio mawazo yangu tu ni ya wana taaluma na wajuvi wa watu kama wewe, na sumu zenu Mtandaoni.... nitakuita ninavyokuita kwani haya maandiko yako na makala yako uchwara yana dhana hizo. Umejaa sumu hatari kwa Jamii yeyote ile....


Wacha Ugaidi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni chizi.
Sasa anasema niweke picha yangu Wakati Username ndio jina langu halisi na

Avatar image ndio picha yangu. Alafu umuone MTU huyo anaakili timamu.
Picha iliyorudia rudia katika kila picha? Picha isiyo na masikio, vitabu je, umeviona hivyo vitabu vilivyogeuka maandshi? ulipiga kwenye kioo nini hiyo selfie ukiwa umeshika vitabu vitatu....?wewe acha uchizi bwana umeunga unga hiyo picha. wacha uchizi wewe
Huyo muache atoe mawazo yake ili naye ajione anamawazo ndani ya jamii. Sio kosa kuwa na machizi ndani ya jamii.
 
ROADMAP2023 KWA VIJANA: WAPUUZE WANAWAKE YAANI USIWAZINGATIE!

Anaandika Robert Heriel
Kuhani.

Hili ndio andiko ninalofungulia nalo Mwaka 2023. Ni Mahususi Kwa Vijana walio Chini ya miaka 40.

Hii ndio Roadmap yenu Vijana. Pitieni humohumo. Mkitoka mtajijua wenyewe.

Ninapenda kuwausia Vijana Kwa sababu wengi Zama hizi kuna mafunzo hamkuyapata Kutokana na sababu mbalimbali. Mojawapo kutokulelewa na Wazazi Wawili.

Elewa kuwa Wanawake hawatakuzingatia na watakupuuza kama huna lolote la maana.

Nataka nikuambie kuwa Wanawake ambao ndio Mama zetu, Dada zetu, shangazi zetu na wake zetu ndio viumbe ambavyo ni Materialists kuliko kiumbe chochote hapa Duniani.

Usifanye vitu kuwa- impress Wanawake. Yaani usitafute kupendwa na Wanawake. Elewa kuwa Wanawake hawanaga kitu inaitwa upendo wa kweli. Wanaupendo lakini sio Ile upendo halisi.

Kama hujaoa, kamwe usipoteze nguvu zako Ati kuhonga ili upendwe na Mwanamke.

Utakwama! Ni uzuzu na upumbavu kufanya vitu ili uwa-impress kina Dada.

Vijana wengi WA Zama hizi wanaumizwa na mapenzi Kwa sababu ya ujingaujinga. Eleweni kuwa Wanawake waliowengi wanatamaa(Materialists) utakufa siku sio zako.

Roadmap ya mwaka 2023 ni kuishi Maisha yako Kwa furaha. Bila kutaka kujipendekeza Kwa Watoto wakike.

Kadiri unavyokuwa huna habari nao hawa Wanawake ndivyo unavyokuwa bize na Maendeleo yako. Kadiri unavyojishughulisha nao ndivyo unavyopoteza Focus ya Maisha.

Wanawake wengi Kwa sehemu kubwa ni chombo cha starehe hata kama wapo wanaobisha lakini huo ndio ukweli wenyewe. Iwe ni Kwa wazungu au wachina. Ipo hivyo.

Ukitaka kufanikiwa na kuwa na Utulivu wa Akili na Maisha usiwaendekeze Wanawake. Usipende kuwasikiliza wanataka nini au wanataka uweje.

Usipende wakusifie, Wanawake hawanaga Tabia ya kusifia wao hupenda kusifiwa tuu, ukiona mwanamke anakusifia ujue kuna kitu anapata Kutoka Kwako.
Mwanamke hawezi kukusifia hivihivi.

Roadmap ya Mwaka huu ni kutokuwa mtumwa wa kuwatumikia Watu ambao ni Materialists, yaani bila Pesa huwezi kuishi Naye.

Mwanamke WA hivyo fukuza. Usipomfukuza ukiwa na nguvu watakufukuza wewe Kwa kusaidizana na watoto wake siku utakapokuwa Mzee usiye na nguvu.

Wanaume mliondoani, msiwaendekeze Wake zenu, mtakufa siku si zenu kisa ujinga. Anataka kwenda kwao kisa mambo yenu magumu, hakuna cha kumbembeleza mwambie Aende. Mpe msimamo kuwa ukiondoka kinaingia Chuma kingine. Akileta maneno ya kashfa mpuuze.

Sijakataza kuhonga, nimekataza MTU kuhonga ili ati apendwe. Huo ni uzuzu. Upendo haununuliwi.

Pesa zako hazikufanyi upendwe, ila zinakufanya uonekane mtumwa wa Wanawake, msukule, mgodi au shamba la Bibi.

Huwaga nashauri, kama Mwanamke anahitaji umpe Pesa ndio mahusiano ya-exist ni Bora ukanunua Makahaba ya bei za rejareja kwani utatumia siku ukilihitaji.

Lakini sio ujibebeshe zigo la misumari Kwa ujinga,
Nataka nikuambie kuwa Kabla hujamweka Mwanamke ndani unayemhonga ili uwe kwenye mahusiano naye, elewa kuwa sio kila Siku utafanya naye Mapenzi.

Ndani ya siku 30 tuu utakuwa ushamchoka, na katika hizo siku 30 ninauhakika hautafanya kila Siku.

Hivyo kuingia kwenye relationship na Mwanamke WA namna hiyo ni kujigeuza Msukule Mbele ya Kigagula.

Ooh! Sasa nahitaji MKE wakuoa ili tusaidiane Maisha. Hakuna aliyekukataza kuoa, Ola elewa kuwa Kuoa Mwanamke materialist(mwenye tamaa ya vitu kama Pesa/Mali, magari) huyo hamsaidizani Maisha huyo anakudidimiza.

Ooh! Sasa Nani atanipikia, naoa ili anipikie. Acha ujinga.

Hizo Pesa ulizompangia nyumba nzima au unayomlipia Kodi ilhali wewe bado unajitafuta ni Bora ununue Pressure Cooker ya Tsh 150,000/= au Majiko ya oven Yale yenye kupikia hapohapo.

Kisha nunua Mashine ya kufulia ya laki tano(Tsh 500,000/=) Nunua na Zile Mashine za kuwatishia nyumba ni laki tatu tu.

Huna haja ya kusema Nani atanifulia, kwani kazi za Mashine ni nini boya wewe. Ni kweli huwezi kutengeneza wala kubuni Mashine. Basi hata kununua zile za bei chee ushindwe?

Penda Kula, hiyo Pesa unayofanywa Msukule nazo na Wanawake watakaokupa Ukimwi na UTI ni Bora ununulie Nyama au pombe alafu Asubuhi umeweka Bill ya maziwa Lita moja. Fanya kazi Kula bata.

Mbona Vijana mnapesa hata kama ni ndogondogo lakini mnaweza Kula Maisha ni vile mnaendekeza upumbavu na uzuzu alafu mnataka Taikon niwachekee na kuwaambia Kwa upole. Mimi sipo hivyo, hata mnichukie au hao Wanawake Materialists wanachukie huwaga Mimi sio MTU wa kujali majitu mazuzu

Unataka Watoto wazuri, nenda Casino, nenda club chagua mtoto mkali mlipie siku tatu, kisha mkiachana endelea na Maisha mengine. Fanya Maisha yako.

Waza kujenga nchi, sio kuwaza Wanawake kama lijinga jinga.
Hakuna ujana mwingine zaidi ya huo ulionao, kijana mdogo miaka 30 alafu unateswa kwa upuuzi upuuzi!

Roadmap ya Mwaka huu ni Kupiga Pesa, Kula bata upendavyo, Maisha ni leo tuu.

Kumbuka; Wakati wewe unawazingatia wanawake, wao hawakuzingatii wewe isipokuwa vitu ilivyo navyo. AMKA!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam.
Nitakuja ipitia japo nimechelewa
 
Back
Top Bottom