Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Ukweli wa wazi upo. Si umeona ya Simba (Diamond) chitaki na Najua kuendea nimejaliwa papuc.. Nampa atakacho (ChuZu)!! Ungeamini yangekuwa haya Kwa kadogo aka??!
 
We ni X wake nini mbona upo too emotional na too invested kwenye kumind maandiko yake huyu bwana Taikuni?!
 
We ni X wake nini mbona upo too emotional na too invested kwenye kumind maandiko yake huyu bwana Taikuni?!
Wewe ndiye yeye mwenyewe? hata hivyo Sikushangai, kwani unataka kuendeleza tu hili liwe Trending.

Hana utaikun wa aina yeyote ile zaidi ya kuwa Tapeli.

He has articulated Racism, Mysoginism and Bigotry. And :-

1000% sure ni Tapeli. Deal with it.

Mwambie aweke picha yake hapa, weka wasifu wake hapa, na makala zake, Je unajuwa ni gazeti gani ameshawahi kuchapisha makala zake, Je wajuwa ni tafiti gani ameshawahi kufanya? na zimechapishwa wapi? Je, Kwa jinsi anavyojiuza unajua kama ana tovuti zake? .



Mtu yeyote anayeandika katika taaluma anakuwa anajulikana katika taaluma hiyo...nimeona mmoja wenu kaandika ati anapatikana facebuk!! Ni vipi Vitabu vyake viuzwe kwenye Airtel peke yake?

Sikushangai na majibu yako. na Yatayofuata
 
Usinipangie naloweza kutumia.

Najua Racism ni nini.
Acha jeuri za kishamba. Sasa kama unakosea tusikuhoji, wewe Great Thinker wa namna gani bana alaaah.

Nimekuuliza hivyo nikiwa na maana ya kuelewa connection ya ubaguzi wa rangi na Robert Heria vimekaaje?

Haiwezekani mtu aandike maandiko yahusuyo mahusiano halafu wewe umtuhumu kuwa ni racist, connection ipo wapi ?!

Na pia umemwita misogyny kwa maudhui yake mimi nakupinga vikali. Misogynist ni mtu anayechukia uanamke yaani ile ya kuchukia mwanamke kindakindaki si kwa mazuri si kwa mabaya yaani vyote anakuchukia mazima. Kwa kuzingatia msingi huo wa maana ya neno misogyny naona wazi ni kuwa si kweli kuwa jamaa anachukia wanawake bali anajaribu kuwapa wanaume wenzake elimu ya werevu juu ya kuishi na wanawake kwa tahadhali. Hiyo elimu ni masculinity ambacho ni kinyume cha ufeminist.


Mwanamke akiandika mambo ya kifeminist hapa mnasema anaempower wanawake wenzake ila mwanaume akiandika mambo ya kimasculinists mnasema anachukia wanawake. Khaaaaaah.
 
Usinipangie naloweza kutumia.

Najua Racism ni nini.
Acha jeuri za kishamba. Sasa kama unakosea tusikuhoji, wewe Great Thinker wa namna gani bana alaaah.

Nimekuuliza hivyo nikiwa na maana ya kuelewa connection ya ubaguzi wa rangi na Robert Heria vimekaaje?

Haiwezekani mtu aandike maandiko yahusuyo mahusiano halafu wewe umtuhumu kuwa ni racist, connection ipo wapi ?!

Na pia umemwita misogyny kwa maudhui yake mimi nakupinga vikali. Misogynist ni mtu anayechukia uanamke yaani ile ya kuchukia mwanamke kindakindaki si kwa mazuri si kwa mabaya yaani vyote anakuchukia mazima. Kwa kuzingatia msingi huo wa maana ya neno misogyny naona wazi ni kuwa si kweli kuwa jamaa anachukia wanawake bali anajaribu kuwapa wanaume wenzake elimu ya werevu juu ya kuishi na wanawake kwa tahadhali. Hiyo elimu ni masculinity ambacho ni kinyume cha ufeminist.


Mwanamke akiandika mambo ya kifeminist hapa mnasema anaempower wanawake wenzake ila mwanaume akiandika mambo ya kimasculinists mnasema anachukia wanawake. Khaaaaaah.
 
Usinipangie naloweza kutumia.

Najua Racism ni nini.
Acha jeuri za kishamba. Sasa kama unakosea tusikuhoji, wewe Great Thinker wa namna gani bana alaaah.
Nimekuuliza hivyo nikiwa na maana ya kuelewa connection ya ubaguzi wa rangi na Robert Heria vimekaaje?
Haiwezekani mtu aandike maandiko yahusuyo mahusiano halafu wewe umtuhumu kuwa ni racist, connection ipo wapi ?!
Na pia umemwita misogyny kwa maudhui yake mimi nakupinga vikali. Misogynist ni mtu anayechukia uanamke yaani ile ya kuchukia mwanamke kindakindaki si kwa mazuri si kwa mabaya yaani vyote anakuchukia mazima. Kwa kuzingatia msingi huo wa maana ya neno misogyny naona wazi ni kuwa si kweli kuwa jamaa anachukia wanawake bali anajaribu kuwapa wanaume wenzake elimu ya werevu juu ya kuishi na wanawake kwa tahadhali. Hiyo elimu ni masculinity ambacho ni kinyume cha ufeminist.
Mwanamke akiandika mambo ya kifeminist hapa mnasema anaempower wanawake wenzake ila mwanaume akiandika mambo ya kimasculinists mnasema anachukia wanawake. Khaaaaaah.
 
Khaaaaaah sasa mbona kama unajaribu kupambana na kivuli cha hisia zako. Why unakuwa kama upo nae personal unamuwaza hivi yaani unataka ile kumuandama kwa kila hoja zake ambazo kiukweli zinamashiko.
 
Khaaaaaah sasa mbona kama unajaribu kupambana na kivuli cha hisia zako. Why unakuwa kama upo nae personal unamuwaza hivi yaani unataka ile kumuandama kwa kila hoja zake ambazo kiukweli zinamashiko.
 
Khaaaaaah sasa mbona kama unajaribu kupambana na kivuli cha hisia zako. Why unakuwa kama upo nae personal unamuwaza hivi yaani unataka ile kumuandama kwa kila hoja zake ambazo kiukweli zinamashiko.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni chizi.
Sasa anasema niweke picha yangu Wakati Username ndio jina langu halisi na Avatar image ndio picha yangu. Alafu umuone MTU huyo anaakili timamu.

Huyo muache atoe mawazo yake ili naye ajione anamawazo ndani ya jamii. Sio kosa kuwa na machizi ndani ya jamii.
 
Khaaaaaah sasa mbona kama unajaribu kupambana na kivuli cha hisia zako. Why unakuwa kama upo nae personal unamuwaza hivi yaani unataka ile kumuandama kwa kila hoja zake ambazo kiukweli zinamashiko.
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni chizi.
Sasa anasema niweke picha yangu Wakati Username ndio jina langu halisi na Avatar image ndio picha yangu. Alafu umuone MTU huyo anaakili timamu.

Huyo muache atoe mawazo yake ili naye ajione anamawazo ndani ya jamii. Sio kosa kuwa na machizi ndani ya jamii.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni chizi.
Sasa anasema niweke picha yangu Wakati Username ndio jina langu halisi na Avatar image ndio picha yangu. Alafu umuone MTU huyo anaakili timamu.

Huyo muache atoe mawazo yake ili naye ajione anamawazo ndani ya jamii. Sio kosa kuwa na machizi ndani ya jamii.
 
Mawakala wa uchoko mnalipwa bei gani pale bagamoyo?

Mnataka vijana wapuuze wanawake wabanduane wenyewe.
 
Huna Ualisi wowote we Tapeli. Na ni kosa kuwa na mtu kama wewe popote pale...

Narudia, You are a Mysoginist, Racist and Bigoted Twaat!

hayo juu si mawazo, ni Jamii inavyokuchukulia.

Andika basi Makala katika gazeti lelote Tanzania...tuyaone.. hutaki unatuma vibaraka wako au niseme vi id vyako vingine isitoshe mwekee mtu Gazeti lelote lile lenye Makala yako, zako...wapi hata linki?. Huna



zaidi ya hapo sina huo 'Uchizi' unaonitungia wewe ndio chizi na hayo sio mawazo yangu tu ni ya wana taaluma na wajuvi wa watu kama wewe, na sumu zenu Mtandaoni.... nitakuita ninavyokuita kwani haya maandiko yako na makala yako uchwara yana dhana hizo. Umejaa sumu hatari kwa Jamii yeyote ile....


Wacha Ugaidi
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo ni chizi.
Sasa anasema niweke picha yangu Wakati Username ndio jina langu halisi na

Avatar image ndio picha yangu. Alafu umuone MTU huyo anaakili timamu.
Picha iliyorudia rudia katika kila picha? Picha isiyo na masikio, vitabu je, umeviona hivyo vitabu vilivyogeuka maandshi? ulipiga kwenye kioo nini hiyo selfie ukiwa umeshika vitabu vitatu....?wewe acha uchizi bwana umeunga unga hiyo picha. wacha uchizi wewe
Huyo muache atoe mawazo yake ili naye ajione anamawazo ndani ya jamii. Sio kosa kuwa na machizi ndani ya jamii.
 
Nitakuja ipitia japo nimechelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…