Roadmap2023 Kwa Vijana: Wapuuze Wanawake yaani Usiwazingatie!

Humo humo, 2023 naishi humo.
 
Wakiwapuuza nyege watazitoaje?
 
Kauli mbiu ile ile “Kataa ndoa”
 
Dah kama Naopitavile
Shemejiii aminaaa njoo huku maramoja naomba
 
Wanawake ni ajabu sana Tena umesema yote.

Imagine anakupenda mwenyewe baadae anataka pesa ya kumtunza hii kitaalam inaitwa "kujiajiri". Kwamba anataka kila kitu kwako umuhudumie na pesa ya matumizi.

Hua tunaita natural exploitation, wao issue ya cost sharing hawana vichwani mwao hivo akili kichwani nyege zikikubana nunua unaeona anafaa fanya nae ngono salama huku ukilinda afya yako, mambo ya kuambatana na natural exploiter achana nayo kuna jamaa alijisifu mrembo kakubali laki kila mwezi hapo wanakutana loji na kila wakionana itaisha laki wakikutana mara nne kwa mwezi inakua laki tano, wakati ifakara laki na nusu unakodi shamba mwezi wa saba sehemu nzuri unalima ekari moja ukiihudumia vyema haitazidi laki tano utavuna gunia 20 , akili kichwani, bora uchukue pesa ukanunue hata ardhi ruangwa ulime korosho zitakusaidia uzeeni wakati nguvu za kiume hauna mwenzako atakua busy kutafuta vijana wampelekee moto,
 
MI NTAJIZATITI NA BIASHARA YANGU YA KUJENGA MAJENEZA WAPENDWA TUPEANE KAZI
KARIBUNISANA MANZESE KWA MPWA...
HUTOJUTIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…