Uchaguzi 2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

Unanifundisha AI? Alafu ulichokisema kuhusu marekani si kweli, acha ushenzi, sina muda na vilaza tafuta mtu mwingine wa kumpotezea muda, huna hata hadhi ya kujaribu kunifundisha chochote mara mia niambiwe kitu na mtoto wa miaka mitano sio jitu zima jinga. Endeleea kumkumbatia Jiwe si anakutekenya balls jinga, nina big house ndani na nje ya bongo, good life naweza ondoka anytime nikawaachia shithole sina muda na ***** ka wewe unayemuota jiwe usiku huku bundle tu unaomba kwa wazazi shenzi
 
what Amstadarm and his allies doing to Tanzania is direct interfearence with our democratic election, we are aware they may use other techniques before and after election so it's a duty for our Government to safeguard our election.
hiyo barua yake ya "mapenzi" haiwezi kuwateteresha watanzania trh 28/10 tunaenda kupiga kura ya amani na kumchagua rais kipenzi cha watanzania Magufuli.
 

Mi nadhani ndio ulichokisema ni kweli kwamba jamaa haogopwi lakini ma-barua kama haya hutia doa Taifa ni lazima ujue huwa tunawapigia mabeberu magoti kuomba misaada sasa tukikwama kwenye democracy na haki za binadamu unadhani tutapata misaada ?
 
🤣🤣🤣, Mkuu mambo hayako kama unavyodhani. Kwahiyo unategemea kukaa kambi moja Mo Dewji, Bakharesa, na Magufuli au?
 
🤣🤣🤣, Mkuu mambo hayako kama unavyodhani.Kwahiyo unategemea kukaa kambi moja Mo dewji,bakharesa, na Magufuli au?
Huyu bwana alikua waziri wa serikali dhalim kule Libya Sasa ni mjasiria Mali Misri anapiga Kazi tu
Hao kina dewji na Bakhresa tayari Wana wigo mpana Wana biashara zao kila nchi
Mimi nasema mtu kama Siro au wanasiasa wakikimbilia nchi zingine wanakua waosha magari tu
 

Attachments

  • IMG_20201025_085656.jpg
    129.9 KB · Views: 1
mi nadhani ndio ulichokisema ni kweli kwamba jamaa haogopwi lakini ma-balua kama haya hutia dowa taifa ni lazima ujuwe huwa tunawapigia mabeberu magoti kuomba misaada sasa tukikwama kwenye democracy na haki za binadamu unadhani tutapata misaada ?
Hivi beberu anahitaji sana demokrasia yetu? Saudia ni taifa rafiki wa mabeberu ulishafatilia rekodi yao ya demokrasia ikoje?
 
Hawa ni wale wajinga wasiojua kujiandalia mazingira, Mimi pamoja na kwamba si mwanasiasa lakini kikinuka kwa namna yoyote ile siwezi kuteseka na hela zangu. Nikienda hata Kenya tu hapo naishi maisha mstarehe nikiwaacha kapuku wachache wanaotamani vita ilhali hawana chochote cha kuwazuia wasiwe wahanga wa moja kwa moja (wewe ukiwa mmoja wao)

Vita visikieni kwa wenzenu tu, mtateseka sana.
 
Kuna mateso zaidi ya haya ya Magufuli?
Leo siku ya tatu kule Pemba vijana Wana kamatwa na mabinti kudhalilishwa bila sababu
Imefika watu wanajuta kuwa watanzania
Watu wa libya sio wajinga... Walichoka mnanyanyaso
Mabeberu wanajua hapa Mali ni nyingi Sasa waje wachukue watupe silaha tutafutane
Baadhi ya watu eti mapolisi na jeshi Ndio Wana silaha lakini raia hatuna Ndio wanatutesa
 

Usikariri tafuta namna yako ya kutoushi kama muosha magari endapo utaamua kukimbia.
 
Nakwambia sisi tunataka silaha beberu achukue madini na gesi
Tumechoka kunyanyaswa ndani ya nchi yetu
Safari hii wazee wa Mavi 8 watakua waosha magari
 
No Way! Kitakachomuokoa Magufuli ni kutenda haki tu kama alivyouaminisha ulimwengu!
 
Kwahiyo Libya wameepukana manyanyaso kumbe?
 
mi nadhani ndio ulichokisema ni kweli kwamba jamaa haogopwi lakini ma-balua kama haya hutia dowa taifa ni lazima ujuwe huwa tunawapigia mabeberu magoti kuomba misaada sasa tukikwama kwenye democracy na haki za binadamu unadhani tutapata misaada ?
Toka waanze kupiga makelele inakwenda zaidi ya miezi miwili.

Ijumaa tu iliyopita Tanzania imepokea msaada wa mabillioni kutoka Switzerland ndani ya mwezi huu huo ni msaada wa tatu.

Switzerland ni nchi mwanachama wa European Union na hiyo jumuiya wanamakubaliano ya joint international policies, bunge lao likisema nchi fulani tusiisaidie hakuna nchi itafanya biashara na wewe.

Ndio ujue hakuna mtu yeyote anaemsikiliza huyo Amsterdam hizo nchi zinawatu wao on the ground wa kuangalia facts, awawezi shinikizwa na zwazwa kama Amsterdam kwenye maamuzi yao.
 
Kwahiyo Lybia wameepukana manyanyaso kumbe?
No! Libya kuna kilio cha wengi na matanga ya wengi harusi... Wazee wa Mavi 8 wapo kwenye kambi za wakimbizi
Ipo siku waziri wa... Atajikuta anauza mitumba
Hapa kwetu kuna matabaka kuna wengine wapo Libya wengine wapo New York.... Hapa hapa
Kama New York tuwepo wote au kama Libya wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…