ArtificialIntelligence
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 377
- 734
Unanifundisha AI? Alafu ulichokisema kuhusu marekani si kweli, acha ushenzi, sina muda na vilaza tafuta mtu mwingine wa kumpotezea muda, huna hata hadhi ya kujaribu kunifundisha chochote mara mia niambiwe kitu na mtoto wa miaka mitano sio jitu zima jinga. Endeleea kumkumbatia Jiwe si anakutekenya balls jinga, nina big house ndani na nje ya bongo, good life naweza ondoka anytime nikawaachia shithole sina muda na ***** ka wewe unayemuota jiwe usiku huku bundle tu unaomba kwa wazazi shenziNdiyo maana unajiita Artificial intelligence! Wamarekani walipigwa na Osama kwa sababu ya kutegemea artificial intelligence sasa wameona bado umuhimu wa human intelligence upo. Sasa wewe bado unawaza kizamani sana. Eti utamtoa kwa nguvu!! You are kidding, we are so smart than you bro. Just wait and see after 28/10/2020 how human intelligence works!!