Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Badala ya kutumia muda kuongelea ya wenzenu si angalau mngekua mnaongelea ya timu yenu?Chiba aliwaambia viongozi wa simba hataki kumuona CCC msimu ujao, viongozi nao wakamwambia Chiba chama haendi popote, kama vipi bora wampe thank you yeye, chiba. Chiba kaona isiwe tabu, jana kaamua kurudi kwao Brazil.
Gadiola mnene muda si muda anachukua tena timu
Ujinga ni hali ya kutojua kitu tu,ila ukielekzwa unaelewa na unaitwa mwerevu,sasa wewe inabidi uwaskize viongozi wanasemaje kuhusu kocha ili uwe mwerevu manake sasa hivi huelewi kaenda kufanya nini.Sasa ujinga wangu mimi ni upi?Wajinga ni viongozi wa simba waliomuachia Chiba aondoke
Chezea mchawi mnene wewe?Kocha aliwaambia viongozi wa simba hataki kumuona CCC msimu ujao, viongozi nao wakamwambia Chama haendi popote, kama vipi bora wampe thank you yeye Kocha. Kocha kaona isiwe tabu, jana kaamua kurudi kwao Brazil.
Gadiola mnene muda si muda anachukua tena timu
Ana supplement.Ujinga ni hali ya kutojua kitu tu,ila ukielekzwa unaelewa na unaitwa mwerevu,sasa wewe inabidi uwaskize viongozi wanasemaje kuhusu kocha ili uwe mwerevu manake sasa hivi huelewi kaenda kufanya nini.
Yuko Ghana anakula fufu na egusi. Kwa hiyo nyie kolowizad mmeajiri wachawi?Chezea mchawi mnene wewe?
Hapo hatakaa kocha mwingine zaidi yake...
Hivi Matola ile superglue ya msimbazi yuko wapi?
Kwani simba mna viongozi pale? Rage kuwaita mbumbumbu hakukosea.Ujinga ni hali ya kutojua kitu tu,ila ukielekzwa unaelewa na unaitwa mwerevu,sasa wewe inabidi uwaskize viongozi wanasemaje kuhusu kocha ili uwe mwerevu manake sasa hivi huelewi kaenda kufanya nini.
Upo dunia gani?Hivi ni kweli ?!!
Unauliza makofi Polisi?Hivi ni kweli ?!!
Sheria mpya ya CAF na iliyotangazwa juzi kati na TFF inawataka makocha wote wa zamani kusoma hii refresher courseTulichoambiwa ni kwamba kocha kaacha timu Uturuki kaenda refresher course Brazil. Hii ya kwako hatuiamini japokuwa kitendo cha Mwalimu kuacha timu ikiwa kwenye mafunzo ya kujenga timu kinafikirisha kidogo.
Gadiola mnene anacheeeekaaYaache yavurugane