Kabisahalafu zitaanza stori za majini
Mashindano hayanga mwenyewe ndo mana yakaitwa mashindano
π€£πππUmekazana Alhly ili usijipe presha ee?? Haha kwani usiseme Petro de luanda? Kisa Alhly ni timu pinzani kwetu..utajua hujui π π
Ila umenichekesha sana...yy ndo ana king'amuzi ..basi sawa i think utaenjoy
Muda wa malipo umefika uto mmesumbua sanaWasijesema Mamelodi mbovuπ
Kiasi Gani natamani Simba timu yangu itoboe hii hatua. Hawa Utopolo wametutia sana unyonge Aisee! Japo tupate hata cha kujipongeza.Nashangaa sana kuwaogopa hao mamelodi,, hii hatua kuna kigogo au vigogo wataaga mashindano,, alafu kuna ambaye humzanii anatoboa,,
Unafikiri hii ni Afconπ€£π€£Nashangaa sana kuwaogopa hao mamelodi,, hii hatua kuna kigogo au vigogo wataaga mashindano,, alafu kuna ambaye humzanii anatoboa,,
Kaka hii Hawa mamelodi ntawapiga kama ngoma hawaMuda wa malipo umefika uto mmesumbua sanaView attachment 2932762
hapa tunapita hawatoamini macho yao isiwe kama timu zetu hazina wakubwa!Kabisa mtani..tunaweza tukiamua..mbona ilionekana tunachechemea makundi ila tukapita na humu tutapita..
Ameenhapa tunapita hawatoamini macho yao isiwe kama timu zetu hazina wakubwa!
Kazi kwetu...hapa tunapita hawatoamini macho yao isiwe kama timu zetu hazina wakubwa!
Njia nyeupe kwa Simba na Uto kukutana fainali ... kila mmoja ashinde mechi zake tu.TotalEnergies CAF Champions League Quarter-Finals Draw Outcome:
First Leg: 29 β 30 March 2024
QF 1 | Simba FC (TAN) vs Al Ahly SC (EGY)
QF 2 | TP Mazembe (DRC) vs Atletico de Petroleos (ANG)
QF 3 | Esperance Sportive de Tunis (TUN) vs Asec Mimosas (CIV)
QF 4 | Young Africans (TAN) vs Mamelodi Sundowns (RSA)
Second Leg: 05 β 06 April 2024
QF 1 | Al Ahly SC (EGY) vs Simba FC (TAN)
QF 2 | Atletico de Petroleos (ANG) vs TP Mazembe (DRC)
QF 3 | vs Asec Mimosas (CIV) vs Esperance Sportive de Tunis (TUN)
QF 4 | Mamelodi Sundowns (RSA) vs Young Africans (TAN)
Semi-Finals Draw Outcome:
SF 1: QF 3 Winner vs QF 4 Winner
SF 2: QF 2 Winner vs QF 1 Winner
cc: Mahondaw ulikuwa ukiulizia tarehe
Baada ya kuifunga Buoulzdad ukajua kila timu unaweza kuifungaππππUzuri wa sisi Yanga tunajiweza yeyote tunamkalisha
Hata wakituletea Man Cityπ€ΈββοΈπππ
Yanga kwa mchezaji mmoja mmoja ni wazuri kuliko mamelodiNashangaa sana kuwaogopa hao mamelodi,, hii hatua kuna kigogo au vigogo wataaga mashindano,, alafu kuna ambaye humzanii anatoboa,,
Hii hatua bahati nayo inachangia,Kiasi Gani natamani Simba timu yangu itoboe hii hatua. Hawa Utopolo wametutia sana unyonge Aisee! Japo tupate hata cha kujipongeza.